Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.

Kwa taarifa yako huo ndio uislamu (waumini wake wanakimbia mahali ambako uislamu umetamalaki kama Pakistan, Afghanistan, Somalia, Egypt, Iran, Iraq, Syria na Saudi Arabia lakini wanakimbilia kule waislamu wanakuita ni kwa makafir kama USA, UK, Australia, Canada na France halafu wakiwa huko wanataka Sharia itawale).
 
Yesu alifunga Wala hakusumbua mtu alienda porini eneo lisilo na watu kabisaaa.Hakushinikiza watu wasile hadharani kisa yeye kafunga!!! Hili la mtu Kufunga na kupangia asiyefumga aleje kisa yeye kafunga mmmmmmm

Ndiyo ujinga ninao ukataa hapa!

Kuna tofauti ya kufunga na kushinda njaa.

Kufunga ni kujinyima vitu ulivyovizoea na kuviacha au kupunguza, huku ukimuomba Mungu.

Na ukifunga ni juu yako na siyo kulazimisha wengine kufunga.

Na hata ukishinda njaa hupaswi kuwaambia wenzako wasile, maana ni utaahira huo!
 
Video zinaweza zikawepo, lakini haina maana kuwa hamna sehemu ya kula mchana kwa wale wasio Waislamu..

Waacheni Wazanzibari na mila na utamaduni wao, acheni chokochoko, Chokochoko hazitasadia isipokuwa zitazidi kuleta chuki..

Zanzibar kuungana na Tanganyika isiwe Nongwa!!!!? Hupendi nini Wazanzibari wanafanya siku ya mwezi wa Ramadhani, basi bora Uhame Zanzibar kwa Muda uwaache Wazanzibari wafanye yao..
Umempa mawazo mazuri,huu uzi ni wa kuwagombanisha waislamu na wenzao wa dini nyingine.
 
Yesu alifunga Wala hakusumbua mtu alienda porini eneo lisilo na watu kabisaaa.Hakushinikiza watu wasile hadharani kisa yeye kafunga!!! Hili la mtu Kufunga na kupangia asiyefumga aleje kisa yeye kafunga mmmmmmm
Ndio maana mkawa wapumbavu, mkaja na kitu inaitwa kwaresima mnafanya mtakavyo. Eti ukiacha kula nyama badala yake ukala matembele pia utakuwa umefunga ! Idiots
 
Ndio maana mkawa wapumbavu, mkaja na kitu inaitwa kwaresima mnafanya mtakavyo. Eti ukiacha kula nyama badala yake ukala matembele pia utakuwa umefunga ! Idiots
Hakuna kitu kama hicho kwenye kufunga kwa wakristo.Kilichopo ni kuwa siku ya ijumaa kuu wakristo hufunga Bila Kula ukifika wakati wa kufuturu hairuhusiwi kufuturu chakula chenye nyama siku hiyo.Na ni amri ya kanisa sio ya Mungu ila inaheshimiwa sana.Hilo lako la matembele hakuna kitu kama hicho kwenye Ukristo
 
Hakuna kitu kama hicho kwenye kufunga kwa wakristo.Kilichopo ni kuwa siku ya ijumaa kuu wakristo hufunga Bila Kula ukifika wakati wa kufuturu hairuhusiwi kufuturu chakula chenye nyama siku hiyo.Na ni amri ya kanisa sio ya Mungu ila inaheshimiwa sana.Hilo lako la matembele hakuna kitu kama hicho kwenye Ukristo
Eenhe ! Hebu tupe utaratibu wa kwaresima mnafungaje fungaje ?
 
Hii ni dhambi kubwa sana ya kuwatesa wale wasiokuwa waislamu kwa kisingizio cha Ramadhan.
BAK brother hii ishu tunakosea sana tunapoamua kuwasukumizia mzigo wa lawama waumini wa dini ya kiislamu wote kwa ujumla, kwa sababu hayo maamuzi ya kupiga marufuku kuuzwa kwa chakula nyakati za asubuhi hadi jioni ya saa 10 naamini ni maamuzi yanayotolewa na serikali tu bila ya kuwashirikisha waislamu japo kwa njia ya sampling.

ikiwa ofisi ya mufti mkuu nayo inahusika kwenye kadhia hii basi na wao watakuwa kwenye makosa kwa sababu mtume rehma na amani ziwe juu yake nyakati za uhai wake kwa nyakati tofauti aliweza kuishi na waumini wa imani tofauti (wakristo,mayahudi, wasioamini uwepo wa mungu a.k.a makafiri) lakini haijawahi kutokezea akaingilia uhuru wa imani zao hususani wakati wa ramadhani.

kwa serikali (zanzibar) inayojitapa kila siku haifungamani na imani yoyote ya kidini kwenye kuendeshwa kwake binafsi naamini inafanya makosa makubwa sana kujivisha joho la mamlaka ya kidini (uislamu) kwa kutumia muamvuli wa kulinda tamaduni za kizanzibari zinazopaswa kufuatwa na wote, kufanya hivi ni kuleta upendeleo kwa imani fulani.
serikali ikiongozwa na mkuu wa mkoa wa mjini magharibi ilipaswa kuendelea kuonyesha msimamo wa kuwa neutrals kwenye ishu zozote za kidini huku ikihakikisha inazuia uvunjaji wa sheria kwenye matukio muhimu ya kidini yanaendeshwa na imani tofauti.

mimi ninapofunga na Khantwe asipofunga kula kwake hadharani hakuniathiri na chochote kwa sababu hata wakati wa funga muhimu ya ARAFA wapo wanaofunga na wasiofunga na hakuna tatizo linalotokezea.

lakini mkuu ukiangalia upande wa pili wa shilingi asilimia kubwa (95%) ya wanaoishi visiwa vya zanzibar ni waislamu, ni tofauti na mazingira ya huko Bara ambako kuna jamii kubwa yenye mchanganyiko wa kiimani tofauti, hivyo basi hata kama ingelitokezea serikali isingejivika muamvuli wa kidini wakati wa mwezi wa ramadhani basi hao raia wenyewe wangelijivika muamvuli huo wa uislamu wa ramadhani.

kwa mfano ukiangalia asilimia kubwa ya wafanya biashara za chakula visiwani zanzibar ni waislamu, vivyo hivyo asilimia kubwa ya wanunuaji wa chakula kwenye migahawa na madukani ni waislamu.

ikiwa wanunuaji wakubwa wapo kwenye mfungo je kuna mfanya biashara wa imani yoyote atakayekuwa tayari kula hasara ya biashara yake kwa mwezi mzima hususani kwa biashara za asubuhi (chai) na mchana(lunch)?

ndio maana kwa kuliona hilo wafanyabiashara wa chakula wakaamua kubadilisha mfumo wa biashara zao kwa kuepuka hasara yenye kuepukika, wafanya biashara wengi wa chakula kwa sasa wameelekeza biashara zao nyakati za jioni kwa sababu ndio muda ambao wanakutana na wateja wao wa kila siku wanaokutana nao kwenye miezi ya kula mchana hususani wale wasiokuwa na familia za kuwaandalia chakula kama muanzilishi wa hii thread au wale wanaocherewa kurudi majumbani mwao/kwao kwa sababu ya majukumu ya kikazi.

nitatoa mfano mwengine mdogo kwa yanayotokezea nyakati za sikukuu za iddi.​
ukija zanzibar siku ya iddi mosi ni ngumu sana kuwakuta wafanya biashara wa chakula wakifanya biashara zao nyakati za asubuhi na hata mchana, na hii ni kwa sababu wanunuaji wakubwa wa chakula hujumuika na familia zao kwa ajili ya kupata chai asubuhi na chakula cha mchana kwa watakachobarikiwa (most inakuwa pilau na biriani).

utamuuzia nani chapati, maandazi, keki, sambusa na vyenginevyo sikukuu ya kwanza haliyakuwa mteja wako atavipata nyumbani kwake/ kwao?

utamuuzia nani pilau au biriani nyakati za mchana sikukuu ya kwanza haliyakuwa wanunuzi wakubwa wanakula majumbani kwao/ mwao?

hivyo basi unakuta tabaka la wanunuzi linabaki lile lile lisilokuwa na familia za uhakika zitakazowawezesha kupata vyakula muda wowote wanaojisikia (tabaka hili ni chache), na bahati mbaya sana visiwani zanzibari majorities ya raia wanaishi majumbani mwao/ kwao pamoja na familia zao ambazo huwawezesha kupata chakula muda wowote wanaojisikia.

nimpe pole sana mleta mada kwa kadhia iliomkuta, namshauri kama ana uwezo atafute msichana muelewa atakayemlipa kwa huduma ya kupikiwa chakula au aishi pamoja na familia yake inapofika mwezi wa ramadhani ili kuepuka usumbufu wa kukumbwa na njaa, kama yote hayo hayawezekani basi ajiandalie chakula chake mwenyewe anapoishi.

sijafurahishwa na haya matusi yanayoelekezwa kwa waislamu wote kwa tatizo ambalo halijasababishwa na waislamu wote, hapa ninapoishi kwa takribani miaka 20 tumezungukwa na nyumba tatu za wakristo ambao tumewakuta mtaani na wazazi wao wapo tokea mapinduzi, tunaheshimiana, kusaidiana, tunapena mialiko ya sherehe mfano harusi kwa kila hali na haijawahi kutokezea kudhihakiwa kwao kwa sababu ya kula au kupika mchana,na ikifika krismasi/ pasaka wanasherehekea kwa uhuru bila ya vitisho vyovyote kutoka kwa majirani.

mara nyingi mgogoro mkubwa zanzibar uliopo dhidi ya watu wanaotoka bara ni ishu za siasa hususani mjadala wa muungano pamoja na uingiaji kiholela wa watu kutoka bara wanaokuja kutafuta ajira na si utofauti wa dini.

Religion is never the problem; it’s the people who use it to gain power. – Julian Casablancas
 
Hayo si ndo matendo ya kigaidi ya serikali inaunga mkono?! Magaidi wanatumia quran kabla ya kutekeleza mambo yao...........
 
Unajua kwamba nchi hii haina dini na raia wake wanaweza kuwa wa dini yoyote au wasiwe nayo kabisa na wanaruhusiwa kuishi popote bila kuvunja sheria?
Kule wanafunga nchi nzima ,na ukikaidi mboko zinakuhusu
 
Acha porojo we nguruwe wa kigalatia
Kila slku mnaimba pambio za bikra maria
Mlete tunajua nyie uko wengi mashoga mnaoana daily makanisani kwenu
Mlete kwa vidume. tuitoe mpate Mungu mwengine kama yesu.
Pamoja na kuwa kwenye mwezi mtukufu lakini bado unatukana? Dini ni propaganda za hapa dunia.
Dini ni sawa na ukabila na siku zote hakuna ugonjwa mbaya duniani kama Dini na Ukabila. Dini ni chanzo cha vita hapa duniani. Na mtu ukiabudu sana dini unakuwa sawa na kichaa. Naona unavyotukana kutetea dini yako. Sipati picha kama ungekuwa karibu hapo ungeua mtu au watu kwa kujilipua au kuwachinja watu.
Anayeamini dini itampeleka mbinguni ni mmoja wa watu wapumbavu sana ambayo hawajawi kutokea tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
Dini na ukabila ni mmoja wa ugonjwa mbaya sana zaidi ya hata UKIMWI
 
Hujui hata maana ya ubaguzi wewe,ficha ujinga wako.
Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Sheria si moja kwenye nchi zilizoungana? Iweje wasio waislamu wasipewe haki wanazopata na kustahili Bara hasa wanaokuwa safarini Zenj mwezi wa Ramadhan?

BAK brother hii ishu tunakosea sana tunapoamua kuwasukumizia mzigo wa lawama waumini wa dini ya kiislamu wote kwa ujumla, kwa sababu hayo maamuzi ya kupiga marufuku kuuzwa kwa chakula nyakati za asubuhi hadi jioni ya saa 10 naamini ni maamuzi yanayotolewa na serikali tu bila ya kuwashirikisha waislamu japo kwa njia ya sampling.

ikiwa ofisi ya mufti mkuu nayo inahusika kwenye kadhia hii basi na wao watakuwa kwenye makosa kwa sababu mtume rehma na amani ziwe juu yake nyakati za uhai wake kwa nyakati tofauti aliweza kuishi na waumini wa imani tofauti (wakristo,mayahudi, wasioamini uwepo wa mungu a.k.a makafiri) lakini haijawahi kutokezea akaingilia uhuru wa imani zao hususani wakati wa ramadhani.

kwa serikali (zanzibar) inayojitapa kila siku haifungamani na imani yoyote ya kidini kwenye kuendeshwa kwake binafsi naamini inafanya makosa makubwa sana kujivisha joho la mamlaka ya kidini (uislamu) kwa kutumia muamvuli wa kulinda tamaduni za kizanzibari zinazopaswa kufuatwa na wote, kufanya hivi ni kuleta upendeleo kwa imani fulani.
serikali ikiongozwa na mkuu wa mkoa wa mjini magharibi ilipaswa kuendelea kuonyesha msimamo wa kuwa neutrals kwenye ishu zozote za kidini huku ikihakikisha inazuia uvunjaji wa sheria kwenye matukio muhimu ya kidini yanaendeshwa na imani tofauti.

mimi ninapofunga na Khantwe asipofunga kula kwake hadharani hakuniathiri na chochote kwa sababu hata wakati wa funga muhimu ya ARAFA wapo wanaofunga na wasiofunga na hakuna tatizo linalotokezea.

lakini mkuu ukiangalia upande wa pili wa shilingi asilimia kubwa (95%) ya wanaoishi visiwa vya zanzibar ni waislamu, ni tofauti na mazingira ya huko Bara ambako kuna jamii kubwa yenye mchanganyiko wa kiimani tofauti, hivyo basi hata kama ingelitokezea serikali isingejivika muamvuli wa kidini wakati wa mwezi wa ramadhani basi hao raia wenyewe wangelijivika muamvuli huo wa uislamu wa ramadhani.

kwa mfano ukiangalia asilimia kubwa ya wafanya biashara za chakula visiwani zanzibar ni waislamu, vivyo hivyo asilimia kubwa ya wanunuaji wa chakula kwenye migahawa na madukani ni waislamu.

ikiwa wanunuaji wakubwa wapo kwenye mfungo je kuna mfanya biashara wa imani yoyote atakayekuwa tayari kula hasara ya biashara yake kwa mwezi mzima hususani kwa biashara za asubuhi (chai) na mchana(lunch)?

ndio maana kwa kuliona hilo wafanyabiashara wa chakula wakaamua kubadilisha mfumo wa biashara zao kwa kuepuka hasara yenye kuepukika, wafanya biashara wengi wa chakula kwa sasa wameelekeza biashara zao nyakati za jioni kwa sababu ndio muda ambao wanakutana na wateja wao wa kila siku wanaokutana nao kwenye miezi ya kula mchana hususani wale wasiokuwa na familia za kuwaandalia chakula kama muanzilishi wa hii thread au wale wanaocherewa kurudi majumbani mwao/kwao kwa sababu ya majukumu ya kikazi.

nitatoa mfano mwengine mdogo kwa yanayotokezea nyakati za sikukuu za iddi.​
ukija zanzibar siku ya iddi mosi ni ngumu sana kuwakuta wafanya biashara wa chakula wakifanya biashara zao nyakati za asubuhi na hata mchana, na hii ni kwa sababu wanunuaji wakubwa wa chakula hujumuika na familia zao kwa ajili ya kupata chai asubuhi na chakula cha mchana kwa watakachobarikiwa (most inakuwa pilau na biriani).

utamuuzia nani chapati, maandazi, keki, sambusa na vyenginevyo sikukuu ya kwanza haliyakuwa mteja wako atavipata nyumbani kwake/ kwao?

utamuuzia nani pilau au biriani nyakati za mchana sikukuu ya kwanza haliyakuwa wanunuzi wakubwa wanakula majumbani kwao/ mwao?

hivyo basi unakuta tabaka la wanunuzi linabaki lile lile lisilokuwa na familia za uhakika zitakazowawezesha kupata vyakula muda wowote wanaojisikia (tabaka hili ni chache), na bahati mbaya sana visiwani zanzibari majorities ya raia wanaishi majumbani mwao/ kwao pamoja na familia zao ambazo huwawezesha kupata chakula muda wowote wanaojisikia.

nimpe pole sana mleta mada kwa kadhia iliomkuta, namshauri kama ana uwezo atafute msichana muelewa atakayemlipa kwa huduma ya kupikiwa chakula au aishi pamoja na familia yake inapofika mwezi wa ramadhani ili kuepuka usumbufu wa kukumbwa na njaa, kama yote hayo hayawezekani basi ajiandalie chakula chake mwenyewe anapoishi.

sijafurahishwa na haya matusi yanayoelekezwa kwa waislamu wote kwa tatizo ambalo halijasababishwa na waislamu wote, hapa ninapoishi kwa takribani miaka 20 tumezungukwa na nyumba tatu za wakristo ambao tumewakuta mtaani na wazazi wao wapo tokea mapinduzi, tunaheshimiana, kusaidiana, tunapena mialiko ya sherehe mfano harusi kwa kila hali na haijawahi kutokezea kudhihakiwa kwao kwa sababu ya kula au kupika mchana,na ikifika krismasi/ pasaka wanasherehekea kwa uhuru bila ya vitisho vyovyote kutoka kwa majirani.

mara nyingi mgogoro mkubwa zanzibar uliopo dhidi ya watu wanaotoka bara ni ishu za siasa hususani mjadala wa muungano pamoja na uingiaji kiholela wa watu kutoka bara wanaokuja kuafuta ajira na si utofauti wa dini.

Religion is never the problem; it’s the people who use it to gain power. – Julian Casablancas
M
 
Kama huwezi kufuata na hupendi sheria ya nchi unayoishi rudi kwenu, zanzibar ni nchi yenye haki zake na kujiamulia mambo yake, zanzibar Co tanganyika
 
Back
Top Bottom