Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Duuh, kumbe uislam nayo ni dini,!! Yaan mim huwa naona ni kikundi cha wajinga na wapumbavu walojaa upofu wa akili. Nakumbuka miaka fulani hapo nyuma nilikuwa zanzibar sehemu moja inaitwa Fuoni-Meli tano, nilienda duka moja kununua mahitaji eti yule muuzaji akakataa kuwa vitu navyovitaka havipo wakati mim naviona!!. Ikabid nifuatilie kwanini kakataa kunihudumia, kumbe eti wakati nafika dukan kwake sikuanza na kumsalimia "SALAMALLEKO" (sijui kama nimepatia inavyoandikwa)

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]

Wana upuuzi sana, ntaleta kisa changu kimoja kuwahusu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji54][emoji51]
FB_IMG_16138280675305691.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dini moja inanifundisha UPENDO kama kitu kikubwa kuliko vyote.
Inanifundisha Kumpenda Jirani yangu kama nafsi yangu BILA KUBAGUA.
Inanifundisha kutokulipiza kisasi kwani kisasi ni cha Mungu.
Inanifundisha mtu akinipiga Kofi moja nimgeuzie na la pili(yaani niwe mtu wa Amani asiyelipiza kisasi)



Dini nyingine inanifundisha Jino kwa Jino. Inanifundisha kuwa ndugu yangu ni yule mtu wa imani yangu. ("mwislam ndugu yake ni mwislam").
Inanifundisha Jihad(kuua) pale ambapo naona kuna watu wanapinga mafundisho ya hii dini.


KATI YA MAFUNDISHO HAYO YA HIZO DINI MBILI , IPI INAONEKANA KUWA INATOKA KWA MUNGU?
Matt 23:25 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang'anyi na kutokuwa na kiasi.
 
Personally nilikuwa muhuni...and I came to know Christ... I came to accept Him as my Lord and Saviour.

And from that day, nikapata AMANI ya kweli ambayo sijawahi kuipata popote pale.

So kama wewe umeipata peace kwa Mohamad, that's good of you.
Ila mimi nimeipata Amani ya kutosha SANA kwa Yesu... Na huku kwa huyu Yesu sitoki hata siku moja

Nb:
kwa Imani yako ya Islam unayoipigia chapuo hapa, siidharau na ninaiheshimu ila frankly sijawahi kuielewa wala kuitamani.
Mimi nilimtafuta Mungu kwa miaka 7+ bila kwenda kanisani wala msikitikini
Kwa kipindi chote hicho niliweza kusoma Biblia kama 93% na vile vile Qurani (taafsiri yake) kama 87%. Pila niliweza kuhudhuria makongamano yoote makubwa ya kikristo na ya Kiislam yaliyofanyika mjini (nilipo)
Baada ya utafiti wangu huo wa kina wa miaka 7, Nilijiridhisha kabisa kuwa Dini inayo nifaa ni UISLAM hivyo kwa sasa ni Muislam na naamini ni njia sahihi kabisa kwa utafiki wa Kina niliofanya na wala mtu hawezi kunidanganya kitu kwa kuwa NIMESOMA.
Narudia kusema kuwa NILISOMA MWENYEWE na sikutegemea mafundisho ya viongozi wa dini pekee kwani wengi husoma tu ile mistari ya kufurahisha watu.
Hapa najiandaa kusoma - kumalizia hizo % ndogo za Vitabu zilizobakia
 
Mimi nilimtafuta Mungu kwa miaka 7+ bila kwenda kanisani wala msikitikini
Kwa kipindi chote hicho niliweza kusoma Biblia kama 93% na vile vile Qurani (taafsiri yake) kama 87%. Pila niliweza kuhudhuria makongamano yoote makubwa ya kikristo na ya Kiislam yaliyofanyika mjini (nilipo)
Baada ya utafiti wangu huo wa kina wa miaka 7, Nilijiridhisha kabisa kuwa Dini inayo nifaa ni UISLAM hivyo kwa sasa ni Muislam na naamini ni njia sahihi kabisa kwa utafiki wa Kina niliofanya na wala mtu hawezi kunidanganya kitu kwa kuwa NIMESOMA.
Narudia kusema kuwa NILISOMA MWENYEWE na sikutegemea mafundisho ya viongozi wa dini pekee kwani wengi husoma tu ile mistari ya kufurahisha watu.
Hapa najiandaa kusoma - kumalizia hizo % ndogo za Vitabu zilizobakia
Allah akbar, ma shaa allah, asante kwa kunisaidia na bora sisi revert tuwe msaada kwa ndugu zetu wakristo waijue haki na kuifwata
 
Mimi nilimtafuta Mungu kwa miaka 7+ bila kwenda kanisani wala msikitikini
Kwa kipindi chote hicho niliweza kusoma Biblia kama 93% na vile vile Qurani (taafsiri yake) kama 87%. Pila niliweza kuhudhuria makongamano yoote makubwa ya kikristo na ya Kiislam yaliyofanyika mjini (nilipo)
Baada ya utafiti wangu huo wa kina wa miaka 7, Nilijiridhisha kabisa kuwa Dini inayo nifaa ni UISLAM hivyo kwa sasa ni Muislam na naamini ni njia sahihi kabisa kwa utafiki wa Kina niliofanya na wala mtu hawezi kunidanganya kitu kwa kuwa NIMESOMA.
Narudia kusema kuwa NILISOMA MWENYEWE na sikutegemea mafundisho ya viongozi wa dini pekee kwani wengi husoma tu ile mistari ya kufurahisha watu.
Hapa najiandaa kusoma - kumalizia hizo % ndogo za Vitabu zilizobakia
Hata mjinga huona fahamu katika ujinga wake.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Zanzibar sio Tanzania
In Nchi inayoendeshwa kwa Sheria za Kiislamu ndani ya Jamhuri was Muungano was Tanzania yenye Uhuru kwa MTU kufuata Imani apendayo bila kukwazwa na kushurutishwa!
Hawa ndugu wanakwaza...![emoji34]
 
Mimi nilimtafuta Mungu kwa miaka 7+ bila kwenda kanisani wala msikitikini
Kwa kipindi chote hicho niliweza kusoma Biblia kama 93% na vile vile Qurani (taafsiri yake) kama 87%. Pila niliweza kuhudhuria makongamano yoote makubwa ya kikristo na ya Kiislam yaliyofanyika mjini (nilipo)
Baada ya utafiti wangu huo wa kina wa miaka 7, Nilijiridhisha kabisa kuwa Dini inayo nifaa ni UISLAM hivyo kwa sasa ni Muislam na naamini ni njia sahihi kabisa kwa utafiki wa Kina niliofanya na wala mtu hawezi kunidanganya kitu kwa kuwa NIMESOMA.
Narudia kusema kuwa NILISOMA MWENYEWE na sikutegemea mafundisho ya viongozi wa dini pekee kwani wengi husoma tu ile mistari ya kufurahisha watu.
Hapa najiandaa kusoma - kumalizia hizo % ndogo za Vitabu zilizobakia
Tuje kwenye mada husika hoja za mleta uzi je ni kweli?...na kama ni kweli kwanini mfanye hivyo.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilimtafuta Mungu kwa miaka 7+ bila kwenda kanisani wala msikitikini
Kwa kipindi chote hicho niliweza kusoma Biblia kama 93% na vile vile Qurani (taafsiri yake) kama 87%. Pila niliweza kuhudhuria makongamano yoote makubwa ya kikristo na ya Kiislam yaliyofanyika mjini (nilipo)
Baada ya utafiti wangu huo wa kina wa miaka 7, Nilijiridhisha kabisa kuwa Dini inayo nifaa ni UISLAM hivyo kwa sasa ni Muislam na naamini ni njia sahihi kabisa kwa utafiki wa Kina niliofanya na wala mtu hawezi kunidanganya kitu kwa kuwa NIMESOMA.
Narudia kusema kuwa NILISOMA MWENYEWE na sikutegemea mafundisho ya viongozi wa dini pekee kwani wengi husoma tu ile mistari ya kufurahisha watu.
Hapa najiandaa kusoma - kumalizia hizo % ndogo za Vitabu zilizobakia
Hujawahi kukutana na Yesu, au kwa tafsiri nyingine Yesu hajawahi kujifunua kwako.
Siku mwana wa adamu akijifunua kwako hutaandika haya uliyoyaandika
 
Imani yako isiwe kero kwa wengine. Shida ya nyinyi mkiwa wengi tu mnataka kila mtu afuate mnachofanya nyinyi. Ndiyo maana China hataki hata kuwaona kwasbb mkiwa wengi mtaanza kuleta machafuko.
Hapa Tanzania mlianza kuomba kuwepo kwa mahakama ya kadhi, mlianza kuchoma makanisa na kuwadhuru hata kuwaua viongozi wa dini nyingine.
Tangu wale magaidi wa UAMSHO kukamatwa mpaka leo kimya watu wanasali kwa amani.
Sasa kama huwezi kufunga unalalamika nini?

Jisomee huyu "father", sijui wa msikiti gani vile? Aliifanya nini shule nzima huko Soni:

 
Imani yako isiwe kero kwa wengine. Shida ya nyinyi mkiwa wengi tu mnataka kila mtu afuate mnachofanya nyinyi. Ndiyo maana China hataki hata kuwaona kwasbb mkiwa wengi mtaanza kuleta machafuko.
Hapa Tanzania mlianza kuomba kuwepo kwa mahakama ya kadhi, mlianza kuchoma makanisa na kuwadhuru hata kuwaua viongozi wa dini nyingine.
Tangu wale magaidi wa UAMSHO kukamatwa mpaka leo kimya watu wanasali kwa amani.
Kufunga afunge mwengine kero uone wewe? Au kutokuwa na imani kwako wewe ndio sawa kuwa kero kwa wengine wenye imani zao?

Mji ya watu 98% wanakwambia wewe mgeni mmoja usile nje wakati huu sisi tumefunga, wewe unataka kulazimisha kufakamia nje? Ulikatazwa kula kwako? Ulikatazwa kuingia hoteli zenye stara kwenda kufakamia huko? Au ndio iuchokozi wenyewe huo?

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - Courtesy, JF owner.
 
Kila kitu ni elimu kaka. Ukikosa elimu utasema usilokua na uhakika nalo. Kama unasema uislam una chuki na wakristo kwa nini mtume muhamad ece be upon him alikufa na deni la mkristo? Hii inaonesha alikua akishirikiana nao vyema. Na tunaimizwa kushirikiana na kila mwanadamu chino ya jua bila kuvuka mipaka. Mfano majirani ni wakristo yan napaswa kushirikiana nao kwa kila kitu kama msiba isipokua kwenye maswala ya ibada zao ili usije kuwa corrupted na kufanya yasliyo nje ya dini yako. Kama ni mgonjwa nitampeleka hospitali wa kikristo, kama ni kumsomesha nikiwa na uwezo nitafanya hivyo, kama ni chakula nitamkririmu na nitakula kwake mradi tu nisile nilichoharamishiwa na Allah nisile.
Ini dini ya amani ukisoma lkn si kukurupuka kufanya mambo bila ya elimu.
Elimu ndio jambo la kwanza kabla ya kufanya ibada yeyote ktk uislam. Iwe ni swala, zaka, iwe funga chchote kila lazima uwe na elima sasa ukikuta mtu anamchukia mkristo ana shida zake binafsi si uislam. Tena tunaamrushwa kyisha na kila kwa wema ili muige kwetu na sio shari. Yani napaswa matendo yangu yakuvutie wewe mpk mwenyewe ukubali uislma na si porojo. Mfano hata kipindi cha mtume kuna waliotumwa kummuua mtume muhamad s.a.w lkn walivyofika waliathirika kwa wema wake na ukarimu mok wakaishia kuslimu badala ya kuua kama ilivyokua lengo.
Mfano hapo juu kuna mtu katukana sana uislam sasa em fikiria matendo yake yana athari gani kwa asiekua mkristo? Je naweza kuvutiwa kuingia ktk ukristo kwa lugha alizotumia? Tabia ipi nitaiga kwake? Njoo kweny mtiririko wa chat zangu wapi ni.meongea lugja chafu kiasi kwamba ukiwa ni mweny akili timamu utaelewa nan ametumia busara ktk mazungumzo na kama ni kushawishi utajua nani anaeweza kukushawishi kwa kauli zake kuifwata dini
Allah akuongoze kaka ktk haki, wewe na wote tunaowapenda
Nashukuru kwa maelezo yako marefu ila hayajajibu nilichouliza.

Nimekupa mifano ya mafundisho ya Dini mbili, na nikakuuliza...Kwa mafundisho ya hizi dini mbili(mafundisho hayo nimeyaweka hapo), NI IPI INAONEKANA KUWA DINI INAYOTOKA KWA MUNGU?

Ningefurahi kama ungejibu nikichouliza.
 
Tatizo lenu, kiongozi wenu alikuwa hajui kusoma na kuandika. Shida ndiyo inaanzia hapo ni hii imeenda mpaka kwa waumini wakiwa wengi tu kosa. Nchi ilikuwa si ya kidini ila kwa kuwa wao ni wengi basi wameifanya nchi ya kidini. Imani zingine ni kero sana.
Fikiria waislam wangekuwa wengi kama wakristo. Kila nchi kungekuwa na vurugu tu, yaan wakifunga wao wanataka nawe ufunge. Siyo km wanafunga ila wanabadilisha ratiba ya chakula tu. Chakula cha asubuhi wanakula saa 1 usiku, chakula cha mchana wanakula saa 4 usiku na chakula cha usiku wanakula saa 8 au 10 usiku.
Mchina alilijua hili mapema kbsa.
Kufunga afunge mwengine kero uone wewe? Au kutokuwa na imani kwako wewe ndio sawa kuwa kero kwa wengine wenye imani zao?

Mji ya watu 98% wanakwambia wewe mgeni mmoja usile nje wakati huu sisi tumefunga, wewe unataka kulazimisha kufakamia nje? Ulikatazwa kula kwako? Ulikatazwa kuingia hoteli zenye stara kwenda kufakamia huko? Au ndio iuchokozi wenyewe huo?

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - Courtesy, JF owner.
 
Tuache masihara kipindi cha ramadhani huku Zanzibar kwa wakristo hasa ukiwa na shughuli zako mbali na nyumbani ni mateso makubwa sana basi tu ndio hivyo tunavumilia
 
Dini moja inanifundisha UPENDO kama kitu kikubwa kuliko vyote.
Inanifundisha Kumpenda Jirani yangu kama nafsi yangu BILA KUBAGUA.
Inanifundisha kutokulipiza kisasi kwani kisasi ni cha Mungu.
Inanifundisha mtu akinipiga Kofi moja nimgeuzie na la pili(yaani niwe mtu wa Amani asiyelipiza kisasi)



Dini nyingine inanifundisha Jino kwa Jino. Inanifundisha kuwa ndugu yangu ni yule mtu wa imani yangu. ("mwislam ndugu yake ni mwislam").
Inanifundisha Jihad(kuua) pale ambapo naona kuna watu wanapinga mafundisho ya hii dini.


KATI YA MAFUNDISHO HAYO YA HIZO DINI MBILI , IPI INAONEKANA KUWA INATOKA KWA MUNGU?
Hilo hapo juu ndio SWALI nililouliza[emoji3516][emoji3516]

Haya hapa chini ndio majibu yako[emoji116][emoji116]
Matt 23:25 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang'anyi na kutokuwa na kiasi.
Mama, Swali langu limekuwa gumu sana?

Hiyo Matt 23:25 mbona haijibu swali nililouliza?

Narudia tena swali langu:

KATI YA MAFUNDISHO HAYO YA HIZO DINI MBILI NILIYOYAONESHA HAPO , DINI IPI INAONEKANA KUWA INATOKA KWA MUNGU?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Huyu mtoa maada amejaa udini tu, hotel nying wanafunga so access ya chakula hamna kma yupo kikaz inamaana yupo temporary mean hotel chakula wanapika sasa kma alizoea kula magengen kakosa anaanza kupiga mayowe,
Mbona ninyi wakristo mnatupigia mikwaya kwenye mabasi huwa hamfahamu kuwa kuna dini tofauti
Mnapenda kulalamika sana, waislam wavumilivu sna wskiweka kaswida tu mnaanza kelele kwa bas ila yenu kimyaaa
 
Back
Top Bottom