Jinsi Tundu Lissu alivyofanana sana na Hayati Magufuli

Jinsi Tundu Lissu alivyofanana sana na Hayati Magufuli

Jamanieeh sio mimi ninayesema haya bali watu wa kitaaa.

Sasa watu wameanza kutafuta Mbadala wa Dkt. Magufuli na wengine wakisema hakuna wasiwasi Tundu Lissu yupo mambo yatakuwa sawa.

Kwamba ni suala la muda tu Watanzania wavumilie haya yatapita.

Wanawafananisha Tundu Lissu na D John Magufuli kwa mambo mengi lakini machache yakiwa ni haya.
1. Sifa ya kuchapa kazi.

2. Sifa ya kutokata tamaa na kuyumbishwa.

3. Sifa ya kupenda elimu na kujifunza kila wakati.

4. Sifa ya uzalendo( hapa wanasema kuna tofauti ndogo tu)......hii sio mada ya leo.

5. Sifa ya kulinda rasilimali za Nchi.

Kwa jinsi mambo yanavyoenda kuna kila dalili wapenzi wa Magufuli na Wapenzi wa Tundu Lissu ndani ya vyama, nje ya vyama na hadi kule ndani ndani wataunganisha Nguvu mnamo 2025.

Ngoja tuone.
Tundu Will never be magu

Magu hakua domokaya Wala hakujipendekeza kwa mabeberu
 
Jamanieeh sio mimi ninayesema haya bali watu wa kitaaa.

Sasa watu wameanza kutafuta Mbadala wa Dkt. Magufuli na wengine wakisema hakuna wasiwasi Tundu Lissu yupo mambo yatakuwa sawa.

Kwamba ni suala la muda tu Watanzania wavumilie haya yatapita.

Wanawafananisha Tundu Lissu na D John Magufuli kwa mambo mengi lakini machache yakiwa ni haya.
1. Sifa ya kuchapa kazi.

2. Sifa ya kutokata tamaa na kuyumbishwa.

3. Sifa ya kupenda elimu na kujifunza kila wakati.

4. Sifa ya uzalendo( hapa wanasema kuna tofauti ndogo tu)......hii sio mada ya leo.

5. Sifa ya kulinda rasilimali za Nchi.

Kwa jinsi mambo yanavyoenda kuna kila dalili wapenzi wa Magufuli na Wapenzi wa Tundu Lissu ndani ya vyama, nje ya vyama na hadi kule ndani ndani wataunganisha Nguvu mnamo 2025.

Ngoja tuone.
Usodoma
 
Kiburi cha madaraka kinakusumbua.......mkishateuliwa tuvyeo kidogo tu basi mnaona wengine ni Takataka.
Alikuwepo Sabaya na Jeuri kuzidi wewe kiko wapi sasa?
Ni madaraka gani niliyonayo?
Ni cheo gani hicho cha kuteuliwa nilichonacho? Acha kuropoka bwashee.
Ukweli utabaki palepale, JPM huwezi kumlinganisha ni hizi takataka zenu. Kama unaumia nenda kajinyonge.
 
Jamanieeh sio mimi ninayesema haya bali watu wa kitaaa.

Sasa watu wameanza kutafuta Mbadala wa Dkt. Magufuli na wengine wakisema hakuna wasiwasi Tundu Lissu yupo mambo yatakuwa sawa.

Kwamba ni suala la muda tu Watanzania wavumilie haya yatapita.

Wanawafananisha Tundu Lissu na D John Magufuli kwa mambo mengi lakini machache yakiwa ni haya.
1. Sifa ya kuchapa kazi.

2. Sifa ya kutokata tamaa na kuyumbishwa.

3. Sifa ya kupenda elimu na kujifunza kila wakati.

4. Sifa ya uzalendo( hapa wanasema kuna tofauti ndogo tu)......hii sio mada ya leo.

5. Sifa ya kulinda rasilimali za Nchi.

Kwa jinsi mambo yanavyoenda kuna kila dalili wapenzi wa Magufuli na Wapenzi wa Tundu Lissu ndani ya vyama, nje ya vyama na hadi kule ndani ndani wataunganisha Nguvu mnamo 2025.

Ngoja tuone.
Tofauti kubwa baina yao ni kuwa Mwendazake alipuuza kabisa kuongoza Kwa mujibu wa sheria, wakati Tundu Lissu ni muumini mkubwa wa kufuata sheria
 
Back
Top Bottom