Jinsi unavyoweza kuagiza mabelo ya mtumba kutoka China na Dubai kwa bei chee na kupata faida mara 2 au 3 zaidi

Shida ya wabongo mzigo ukitoka China wanaanza kuugrade upya then wanakwambia hili balo ni Grade A kabisa, ni uhuni wa mwisho
 
Wapi huko wanauza grade A kwa 340? [emoji44] au hii bei sio ya mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…