Shida ya wabongo mzigo ukitoka China wanaanza kuugrade upya then wanakwambia hili balo ni Grade A kabisa, ni uhuni wa mwishonimependa ulivyo andika kwa ufafanuzi mzuri. toa ufafanuzi kwa faida ya wote watakao taka kufanya biashara hii, mbona bei ni 600,000 kwa belo la kg100 grade A huko china wkt hapa hapa bongo kwa grade hiyo hiyo na uzito huo huo wanauza 340,000? ufafanuzi pls!!!
Wapi huko wanauza grade A kwa 340? [emoji44] au hii bei sio ya mwaka huu.nimependa ulivyo andika kwa ufafanuzi mzuri. toa ufafanuzi kwa faida ya wote watakao taka kufanya biashara hii, mbona bei ni 600,000 kwa belo la kg100 grade A huko china wkt hapa hapa bongo kwa grade hiyo hiyo na uzito huo huo wanauza 340,000? ufafanuzi pls!!!
a town mkuu. Ila kuna mtu mzoefu kaniambia inaweza kua grade A lkn sio kilo 100 itakua kilo 50 au 45 au ikawa grade B. Ila wabongo ndo maana mambo yetu ni hovyoWapi huko wanauza grade A kwa 340? [emoji44] au hii bei sio ya mwaka huu.
kuna mtu mzoefu kaniambia inaweza kua grade A lkn sio kilo 100 itakua kilo 50 au 45 au ikawa grade B. Ila wabongo ndo maana mambo yetu ni hovyoAnakuja kukujibu, but hyo itakua grade B
hapa una maanisha nn? wanaosort wenyewe ndo wazuri au? na je utawajuaje?Yes, na wachina pia jitahid kuangalia wanaosort wenyewe mzgo kiwandani
very interesting !!!Interesting