Jinsi Utumishi walivyotuzuia watu zaidi 50 tusiingie kufanya usaili wa ajira

Jinsi Utumishi walivyotuzuia watu zaidi 50 tusiingie kufanya usaili wa ajira

Affidavit Kama mfano kwenye cheti cha kuzaliwa unaitwa pau bae na vya elimu unaitwa pau montanna ni hati ya utambulisho ya kukubali majina yote ni yako

Fika mahakamani au ofisi yeyote ya mwanasheria na msimbazi wako unaipata



Deed pol ni kwamba kwenye cheti cha kuzaliwa na pau bae na vya elimu ni pau montane hivyo basi nalikataa jina la pau bae nataka nijulikane na jina moja tuu pau Montana hiyo ndio deep pol unabidil jina

Fika mahakamani au kwa mwanasheria atakupa utaratibu utaenda ofisi ya msajili ardhi utalipia pia kuipata ni after 3 days I guess na gharama zake kubwa kidogo


Sasa hapo wewe utachagua which is which kwa matakwa yako
Mkuu asante sana naona Deedpoll iko poa.
 
Affidavit Kama mfano kwenye cheti cha kuzaliwa unaitwa pau bae na vya elimu unaitwa pau montanna ni hati ya utambulisho ya kukubali majina yote ni yako

Fika mahakamani au ofisi yeyote ya mwanasheria na msimbazi wako unaipata



Deed pol ni kwamba kwenye cheti cha kuzaliwa na pau bae na vya elimu ni pau montane hivyo basi nalikataa jina la pau bae nataka nijulikane na jina moja tuu pau Montana hiyo ndio deep pol unabidil jina

Fika mahakamani au kwa mwanasheria atakupa utaratibu utaenda ofisi ya msajili ardhi utalipia pia kuipata ni after 3 days I guess na gharama zake kubwa kidogo


Sasa hapo wewe utachagua which is which kwa matakwa yako
Gharama ilikuaga kama sh. 31000 sijui kama imepanda.

Hii kitu itakata vichwa wengi sana.

Mwingine mwaka wa kuzaliwa kwenye nida ni tofauti, mwingine herufi zimekosewa yaani tafrani.
 
Gharama ilikuaga kama sh. 31000 sijui kama imepanda.

Hii kitu itakata vichwa wengi sana.

Mwingine mwaka wa kuzaliwa kwenye nida ni tofauti, mwingine herufi zimekosewa yaani tafrani.
Ndio shida hapo kwenye usajili usipokuwa makini makosa ni mengi


Kuhusu gharama imepanda mkuu nasikia ila sijajua ni ngapi
 
Hizo dosari sio ndogo. Mpaka wanaokaribia kustaafu wamehakikiwa na makosa jama hayo yanahitaji hati ta kiapo ..deed poll ... vinginevyo july hakuna mshahara. Usimwachie Mungu omba utaratibu ukarekebishe ili usikwame tena.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Kwenye vyeti vya elimu anatumia Amina Abdallah,
Kwenye nida anatumia Amina Abdallah Msakatonge.
JE MTU KAMA HUYU ATAHITAJIKA KWENDA KUTHIBITISHA MAJINA???

cc Kunguru wa Manzese
 
Hamjaonewa, ni sahihi kabisa ila hapo kwenye cheti cha darasa la saba umetupiga
 
Mleta mada atakuwa muongo.Sema labda una makosa yako binafsi.Ila jamaa mbona ukaguzi wao rahisi tu
 
Yaani kuna watu muna vichaa kweli.
Wakuache ufanye mtihani then ukirudi nyumbani ndipo ukarekebishe tatizo 😝😝😝😝
Kama linarekebishika kwanini hukurekebisha awali?
Nawadharau sana watu wasiokuwa makini katika maisha.
Mimi nina mdogo wangu ningeweza kumuunganishia ajira ofisini kwetu au kwingineko ila mavyeti yake yametofautiana majina.
Cha kuzaliwa na form 4 jina moja, cha udereva na NIDA jina tofauti.
Basi kabaki kuwa bodaboda.
Kuweni makini, dunia Iko busy zaidi ya mnavyofikiria.
Zamani sisi tulikuwa tulipigwa simu mara mbilimbili kuombwa tukaripoti kazini sasa hivi usipojielewa imekula kwako
 
Kwenye vyeti vya elimu anatumia Amina Abdallah,
Kwenye nida anatumia Amina Abdallah Msakatonge.
JE MTU KAMA HUYU ATAHITAJIKA KWENDA KUTHIBITISHA MAJINA???

cc Kunguru wa Manzese
haina shida ili mradi nida na cha kuzaliwa kiwe na ilo jina amina abdallah msakatonge, angalizo vyeti kuwa na majina mawili si tatizo ili mradi hayo majina mawili yapo kwenyw kitambulisho cha nida pamoja na cheti cha kuzaliwa na yanafanana sio cha kuzaliwa abdallah cha nida abdala umeenda na maji

nida amina abdallah msakatonge

cheti cha kuzaliwa amina jina la baba abdallah msakatonge

hapo hamna tatizo kabisa
 
Cheti Cha la Saba wanakitaka??
Jamaa kaongea vyema Ila hapo kwenye cheti Cha Drs la Saba ikiwezekana aedit Uzi.. ni jambo la uzushi.. hzo ni frustrations tu japo tunajua utmshi wako very strict for petty issues
 
hivi wakuu DEEDPOLL mtu anaipataje?
Nenda katika mahakama iliyokaribu nawe au kwa mwanasheria(itakugharimu kama elfu 5 na kuendelea) kisha fika katika ofisi za msajili wa ardhi ukaisajili, mara nyingi mikoani wanakuwa na ofisi katika ofisi za mkuu wa mkoa(itakughalimu sio chini ya Elfu 32 kukamilisha kila kitu)
 
Mfano jamani,kuna jamaa majina ya nida na cheti cha kuzaliwa vipo sawa,isipokuwa nida wakati anaandikisha sehemu aliyozaliwa ni tofauti na cheti cha kuzaliwa,mfano nida aliandika alizaliwa mwanza,ila cheti cha kuzaliwa kimeandikwa amezaliwa Dar,je hii kesi napo ikoje
 
Mkuu unatakiwa ubebe nini na nini? Kama hela wanahitaji??
Yap pesa ya malipo ipo ukifika wata kuelekeza, napia unatakiwa ufike kwanza kwa lawyer aliye sajiliwa kisheria kupitia 'TLS', hapo utakuwa umefankisha lengo lako kabisa.
 
Back
Top Bottom