Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Fanya mpango mapemaMkuu mfano cheti cha kuzaliwa jina limeishia na AZIZY na kwenye vyeti vya shule na vitambulisho jina limeishia na AZIZI, hivi kuna shida hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya mpango mapemaMkuu mfano cheti cha kuzaliwa jina limeishia na AZIZY na kwenye vyeti vya shule na vitambulisho jina limeishia na AZIZI, hivi kuna shida hapo?
Mimi nmemaliza darasa la saba mwaka 2009 na ninacho.Halafu hiki kigezo ni ujinga.Kuna miaka hiki cheti kilisitishwa nadhani ni 2002.So watu wengi wanakikosa.
haina shida ili mradi nida na cha kuzaliwa kiwe na ilo jina amina abdallah msakatonge, angalizo vyeti kuwa na majina mawili si tatizo ili mradi hayo majina mawili yapo kwenyw kitambulisho cha nida pamoja na cheti cha kuzaliwa na yanafanana sio cha kuzaliwa abdallah cha nida abdala umeenda na maji
nida amina abdallah msakatonge
cheti cha kuzaliwa amina jina la baba abdallah msakatonge
hapo hamna tatizo kabisa
Mkuu hivi kama hujapata kitambulisho cha nida hakijatoka lakini namba ipo kuna shida ??Affidavit Kama mfano kwenye cheti cha kuzaliwa unaitwa pau bae na vya elimu unaitwa pau montanna ni hati ya utambulisho ya kukubali majina yote ni yako
Fika mahakamani au ofisi yeyote ya mwanasheria na msimbazi wako unaipata
Deed pol ni kwamba kwenye cheti cha kuzaliwa na pau bae na vya elimu ni pau montane hivyo basi nalikataa jina la pau bae nataka nijulikane na jina moja tuu pau Montana hiyo ndio deep pol unabidil jina
Fika mahakamani au kwa mwanasheria atakupa utaratibu utaenda ofisi ya msajili ardhi utalipia pia kuipata ni after 3 days I guess na gharama zake kubwa kidogo
Sasa hapo wewe utachagua which is which kwa matakwa yako
Hamna shidaMkuu hivi kama hujapata kitambulisho cha nida hakijatoka lakini namba ipo kuna shida ??
Kuna uwezekano wa kubadili hiyo Azizy ya kwenye chet cha kuzaliwa kurekebisha iwe azizi?Kubwa hao ni watu wawili tofauti
Shida kwenye nn elezea upate ufumbuziMkuu hivi kama hujapata kitambulisho cha nida hakijatoka lakini namba ipo kuna shida ??
Kama namba ya nida ninayo ila kitambulisho sijapata , kuna shida kwenye kuruhusiwa kuingia kwenye interviewShida kwenye nn elezea upate ufumbuzi
Huruhisiwi utaliwa kichwa mzee nenda na na kitambulisho cha mkazi Toka serikali ya mtaaaKama namba ya nida ninayo ila kitambulisho sijapata , kuna shida kwenye kuruhusiwa kuingia kwenye interview
Kisheria hao ni watu wawili tofauti.Mkuu kwa mfano vyeti vya shule jina MICHAEL PROTAS IDDI na nida ni MICHAEL IDDI PROTAS nafanyaje hapo
Mfano jamani,kuna jamaa majina ya nida na cheti cha kuzaliwa vipo sawa,isipokuwa nida wakati anaandikisha sehemu aliyozaliwa ni tofauti na cheti cha kuzaliwa,mfano nida aliandika alizaliwa mwanza,ila cheti cha kuzaliwa kimeandikwa amezaliwa Dar,je hii kesi napo ikoje
Mkuu mfano cheti cha kuzaliwa jina limeishia na AZIZY na kwenye vyeti vya shule na vitambulisho jina limeishia na AZIZI, hivi kuna shida hapo?
Mkuu kwa mfano vyeti vya shule jina MICHAEL PROTAS IDDI na nida ni MICHAEL IDDI PROTAS nafanyaje hapo
Huruhisiwi utaliwa kichwa mzee nenda na na kitambulisho cha mkazi Toka serikali ya mtaaa
Ni mpuuzi sana dosari zinarekebishika analeta mambo yake ya ukale, sasa kwa nini kuna option ya kufanya mabadiliko. Huyu jamaa atakua nshomile mifisa tu hovyo kabisa.We acha kujimwamba fai, deed pool Kazi yake Nini ? Kama una nia ya kumsaisaidia nduguyo.. unless unatafuta tu Sababu ya kutomsaidia
Ni barua mzeee ndo wanaita kitambulisho cha mkazi au utambulisho wa mkaziHv ni kitambulisho au barua..?