Hao Damu Damu ni Wezi SanaTena Magufuli kamjibu kwa kujiamini kuwa CCM damu hamna kitu ndio maanake anatafuta usajili kutoka Vyama pinzani.
Magufuli sio CCM ile tulioizoea,wala hana lugha ya kubembeleza hata kidogo.
Pia yaonekana anajipanga kusajiri hata daraja la pili na la tatu kuliko kuchukuwa CCM damu damu.
Ohoooooo !!!Tena Magufuli kamjibu kwa kujiamini kuwa CCM damu hamna kitu ndio maanake anatafuta usajili kutoka Vyama pinzani.
Magufuli sio CCM ile tulioizoea,wala hana lugha ya kubembeleza hata kidogo.
Pia yaonekana anajipanga kusajiri hata daraja la pili na la tatu kuliko kuchukuwa CCM damu damu.
Tunawakumbusha wenye njaa kali .Bavicha bana! Sasa hii inaisaidiaje chadema?
Tunawakumbusha wenye njaa kali .
Tunawakumbusha wenye njaa kali .
ππππ
ππππ
Utabil wangu. Kuna kila dalili hapo baada ya mh Mkuu kabisa kumalizia kipindi chake,ndio utakuwa mwisho wa Ccm,kwa maana wahamiaji ambao wana chembe chembe pinzani ndio watakuwa Na nguvu chamani Na hao ndio watakaokivunja hicho chama (natamani nione hicho kipindi kwaaana mpaka sasa Nina miaka 95)
N mkuu wa wilaya ya bukombeWapi Saidi Mkumba????
Yaani hilo, ni JINGA KWELI KWELI!Huyu atateuliwa atamwacha jingalao akiendelea kuabudu binadamu
Hawa ni wapiga mayowe tu Kama akina marehemu Tambalizeni na kichwa hawana walijualo.Kina stroke,kawe,bia yetu,wao waendelee tu kusugua bench
Sijui tathmini yako umeifanya kwa data zipi ila kwa takwimu halisi ni kuwa bado wanaoteuliwa kama ma DAS, RAS, DED, ma RC, DC, wakuu wa bodi mbalimbali za mashirika na taasisi za umma bado wengi na wana ccm sasa hao wachache wanaopewa shavu wakitokea upinzani ni sehem ndogo sanaTunawakumbusha wenye njaa kali .
Wafanye wawe masikini ili uwatawale,ukiwasomesha watu namba ili wasife njaa uchaguzi pekee ni kukuabudu ili usife njaa,hizi Ni falsafa za kikomunisti.
Malalamiko yanaletwa na wanaccm wenyeweSijui tathmini yako umeifanya kwa data zipi ila kwa takwimu halisi ni kuwa bado wanaoteuliwa kama ma DAS, RAS, DED, ma RC, DC, wakuu wa bodi mbalimbali za mashirika na taasisi za umma bado wengi na wana ccm sasa hao wachache wanaopewa shavu wakitokea upinzani ni sehem ndogo sana