Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

Sijawahi kumlipia kisasi mtu yeyote , na wala sina uwezo huo , lengo langu ni kuwastua waliolala kama alivyolala Nape kwa kuamini kwamba ccm ni chama chao .
Sawa mkuu hivi tangu lini MTU anae taka nafasi yako akakupa taarifa kuwa unatakiwa kushushwa cheo
 
mmmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?
Shukran kwa kupost mawazo yangu.Wakati Slaa na mkewe wakichezea vitasa Arusha mwaka 2011, Lowassa alikuwa anakula bata pamoja na kujisafisha na tuhuma za ufisadi zilizochochewa na CHADEMA.
Miaka minne baadae Lowassa ni rais wa mioyo ya Chadema na Slaa ni msaliti.
 

Besti embu sema kidogo kuhusu Lowassa Naona. Unapenda Sana ccm sema kidogo leo. Mana nasikia raha Leo kusikia kuhusu Lowassa. Au bado CCM huyu Mzee alitokea kama tatu Mzuka kwenye ugombea. Ya CCM Sisi tumelidhika nayo. Hata Nape CCM
 
mmmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?
hao unaowasema wamehamia CDM wamepata nafasi hizo kwa kupigiwa kura na hawana mishahara, lakini kina Mghwira, Shonza, Kitila nk wamepewa tu kwa kutunukiwa nafasi hizo na zina maslahi makubwa! maskini wafia chama wa CCM, dah!
 
Kamanda mwenzangu....[HASHTAG]#siyabonga101[/HASHTAG] Usikate tamaa!

OvA
 
Taarifa mpya kutoka Arusha zinadokeza kwamba , WASALITI walioangushwa kura za maoni wamerejeshwa ili kugombea udiwani , Wafia chama walioshinda wametoswa kupisha wasaliti .
 
Usisahau Lowasa, Sumaye, ambao waliwaweka ndani viongozi wa upinzani na sasa hivi wanaonekana ni Mungu watu upande huo.. Ndio Maisha.. Alafu Dr Slaa ametupwa katika dustbin
 
Na Kuna yule mama alikua katibu wa wizara ya Utumishi, ajawai hata kuitukana CCM ila alipewa viti maalum na Lowasa, pia na yule aliekua katibu wa Chama cha mapinduzi, Manyara, amepewa Ubunge viti maalum Chadema
 
Hapa Iringa aliyekuwa diwani kupitia CHADEMA Baraka kimata ndiye amependekezwa kuwania tena kiti hicho kupitia CCM huku wana CCM damu wakigeuzwa wapiga debe kwa ujira wa T-shirt na kofia!
Kama Lowasa alivyowafanya Chadema
 
Na Kuna yule mama alikua katibu wa wizara ya Utumishi, ajawai hata kuitukana CCM ila alipewa viti maalum na Lowasa, pia na yule aliekua katibu wa Chama cha mapinduzi, Manyara, amepewa Ubunge viti maalum Chadema
Mbona unaweweseka au na wewe ni mfia chama ?
 
Kila mtu na kazi yake, kama kigezo ni kupigania chama basi ni wengi tu humu jf wangekua mawaziri leo hii. Leo hii yericko angekua mbunge wa kuteuliwa kwa jinsi anavyo pambana humu jf.
 
Kila mtu na kazi yake, kama kigezo ni kupigania chama basi ni wengi tu humu jf wangekua mawaziri leo hii. Leo hii yericko angekua mbunge wa kuteuliwa kwa jinsi anavyo pambana humu jf.
Jikite kwenye hoja , wewe ni mfia chama lakini umetupwa kule kachukuliwa Lipumba !
 
mmmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?
Usiongeeee hvyooo mkuu upande ule upo perfect .........[emoji126]naenda malawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…