Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Its now or never! Gutukanajitafakari safari yangu ya kisiasa ndani ya hiki chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its now or never! Gutukanajitafakari safari yangu ya kisiasa ndani ya hiki chama
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Nyani haoni kindule.Kubwa ya yote ni Dr, Slaa kuwa balozi wa kuiwakilisha Tz. Dah! Mpinzani kurudi ccm ni dili kubwa sana.
Njaa haijawahi kuwa na baunsa mjomba .Kubwa ya yote ni Dr, Slaa kuwa balozi wa kuiwakilisha Tz. Dah! Mpinzani kurudi ccm ni dili kubwa sana.
Wala asiogope kuonyeshwa bastola .Its now or never! Gutuka
Upinzani hawezi kuua abadani!!Natubu kuzaliwa!
Kweli amedhamilia kuua upinzania, lakini sidhani, kuna wenye akili wanaona huo ni ushamba! Wote hawatakuwa kama Slaa, Masha, kafulila etc
SHETANI HANAGA SHUKURANI WALA RAFIKI.Hapa Iringa aliyekuwa diwani kupitia CHADEMA Baraka kimata ndiye amependekezwa kuwania tena kiti hicho kupitia CCM huku wana CCM damu wakigeuzwa wapiga debe kwa ujira wa T-shirt na kofia!
Halafu CCM hawana shukrani kabisa kwa wafia chama wao!!
Nyani haoni kindule.
Kwani Lowasa ni muasisi wa cdm?
Tuna rais wa ajabu haijawahi tokeaMTAKATIFU HUYU ALIWAHI KARIRIWA AKISEMA KUNA WAPINZANI WANAKUJA KUNIOMBA VYEO KUMBE MOJA WAPO NI DK SLAA.
NAOMBA NIRUDIE TUNA RAIS WA AJABU KWELI KWELI.Tuna rais wa ajabu haijawahi tokea
Siku zote viongozi wanaoshindwa kuleta maendeleo hufanya kama anavyofanya huyu ili kuupofusha umma .Tuna rais wa ajabu haijawahi tokea
Hujambo Mkuu!!! CCM oyeeeeeeee!!Hata hiyo Chadema ina wenyewe wameinunua kama kanga na sasa wanaitumia, Lowassa alipataje ile nafasi hivi alaf na lile kubwa la wajinga( Sumayee) nae alipataje nafasi Pwani, vp yule Mwenezi na Itikadi daah
KWELI WAHENGA HAWAKUKOSEA WALIPOSEMA NYANI HAONI KUNDULE.Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.
Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.
Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.
Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.
Majuto ni mjukuu.