Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good Point!Hata Dr. Slaa ilimuuma sana lowasa alivyopewa nafasi ya kugombea bure bure wakati waliosotea chama wapo.
Hivi ni akili gani imetumika hapa? CHADEMA kuna mnofu gani ukilinganisha na mnofu unaotajwa na mtoa ndani ya ccm? Halafu tunambiwa tanzania ya viwanda yaja! Hivyo viwanda viendeshwe na akili hii?Hata Dr. Slaa ilimuuma sana lowasa alivyopewa nafasi ya kugombea bure bure wakati waliosotea chama wapo.
stroke kama mfia chama namba moja humu jf, unafaidikaje? usifiche. Wafaidika hawashindi mitandaoni wanakuwa na shughuli nyingi. Utakufa kwa stroke soon.bila juhudi za hao unaowakebehi kama wafia chama wahamiaji wasingeshawishika kujiunga na chama.
kwa vyovyote vile wahamiaji ni matunda ya jasho la wafia chama.
Kusema kuwa ccm inagawa vyeo ni kuitusi.
CCM inaangalia kwanza maslahi ya watanzania hivyo hata teuzi za Nafasi yoyote hufanywa kwa misingi hiyo.
Hii inatutia moyo sana wasotea chama tuliuloyo chadema maana tunajua ipo siku tutanunuliwa kwa dau kubwa kama la Dr. Makamanda mdichoke.Mgeni anapewa mnofu wenyeji wanaendelea kula vipapatio, makanyagio, utumbo na vichwa
Ningependa kusikia ya moyoni kutoka kwa wasotea chama waliokipigania chama kabla, wakati na baada ya uchaguzi ambao bado hawajateuliwa katika ngazi yoyote ile huku wapinzani ambao muda wao wote wamekuwa wakikiponda chama wanateuliwa na kupewa minofu mitamumitamu..
Hata kama wewe sio msotea chama ila umepata nafasi ya kuwasikiliza mkiwa either private au public nini mtazamo wao na wanajisikiaje
Ni kasumba ya mwanadamu ambaye analipigania jambo fulani baada ya kufanikiwa hupenda kuwa sehemu ya wanufaika hata kama amesahaulika... Anaweza akacheka na kuunga mkono maamuzi hadharani lakini ukimtazama sana kwa umakini unaweza kuona hisia zake, matendo yake, sura yake haviendani na kile anachokikubali hadharani..
Narudia tena ningependa kusikia ya moyoni kutoka kwenu either umemshuhudia au wewe mwenyewe ukiwa kama msotea chama uliyefungiwa milango nini maoni yakoView attachment 636840 View attachment 636839
Alisaidia kumng'oa Mbunge wa longido aliyeiba kurammenikumbusha Dr masumbuko Lamwai....!hivi huyu yupo wapi ?
Kwani nani analia huo ni ukweli.Kilio cha nini?
aibu kutumia kodi za wananchi kuhonga.Nyie hamna jipya lowasa,sumaye,kingunge na nyarandu wao ni wapya kwenu sio ? Acheni ushamba na majungu Tanzania ni nchi ya watanzania wote mtu kama ana sifa ya kuwa kiongozi mwacheni afanye kazi acheni majungu hata wewe mtoa post ungekuwa na sifa ungeteuliwa tu na cdhani kama ungekuwa na jeuri ya kukataa
Akili siyo sare kama nguo za ccm zilivyo. Unachotamani wewe usidhani wote tunatamani.Nyie hamna jipya lowasa,sumaye,kingunge na nyarandu wao ni wapya kwenu sio ? Acheni ushamba na majungu Tanzania ni nchi ya watanzania wote mtu kama ana sifa ya kuwa kiongozi mwacheni afanye kazi acheni majungu hata wewe mtoa post ungekuwa na sifa ungeteuliwa tu na cdhani kama ungekuwa na jeuri ya kukataa