Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kumsahau jerry muro naona nae amezid awam hiiMuda si mrefu wakina Mwigamba nao watakuwa ndani ya V8 wakipulizwa ubaridi wa Kizungu.
Hakika umenena, hata Ben saa nane alitoswaKila mtu na kazi yake, kama kigezo ni kupigania chama basi ni wengi tu humu jf wangekua mawaziri leo hii. Leo hii yericko angekua mbunge wa kuteuliwa kwa jinsi anavyo pambana humu jf.
Endelea kujipa moyo na kujifanya hauoniHata hiyo Chadema ina wenyewe wameinunua kama kanga na sasa wanaitumia, Lowassa alipataje ile nafasi hivi alaf na lile kubwa la wajinga( Sumayee) nae alipataje nafasi Pwani, vp yule Mwenezi na Itikadi daah
Tangu Dunia ianzishweSwali bovu kabisa !
Kwel mkuuIla wengi wao wameanza kujitambua ndio maana hata mapovu yao mitandaoni yamepungua kwa asilimia kubwa mno
Lakini hawa huwezi kuwalinganisha na kina mwigamba et al Chadema ilichukua assets na si liability na matokeo tuliyaona kwenye uchaguzi mkuu, kama lisingekuwa bao la mkono kutoka kwa akina masikini Nape na January ccm ingekuwa upande wa pili sasa hivi.Hata hiyo Chadema ina wenyewe wameinunua kama kanga na sasa wanaitumia, Lowassa alipataje ile nafasi hivi alaf na lile kubwa la wajinga( Sumayee) nae alipataje nafasi Pwani, vp yule Mwenezi na Itikadi daah
Sasa kama nchi wanadhani ni ya kwao tu tufanyeje ?Kifupi vyama tusivisujudu saana maana havina mdhamana, tuangalie nchi
Mkate wa kila siku inawasumbua unadhani wanaokota makombo si ndio washindao humu na kuwaandikia mabwana zao. Wananchi tuwe neutral tu tubadilike kulingana na maslahi maana ya nchiSasa kama nchi wanadhani ni ya kwao tu tufanyeje ?
Dr Slaa awa balozi wa kwanza duniani kufanya kazi Super Market .wasiokuelewa wakamuulize Nape au Mzee Kinana ambae yupo kifungo cha ndani
najitafakari safari yangu ya kisiasa ndani ya hiki chamaCCM ina wenyewe