Jinsi ya kuepuka kupigwa na mawinga Kariakoo

yeye hii hoja lawama anampa mteja. hali ya kua mteja kafika town kafika mpaka dukani lakini anaingizwa mkenge kwa sababu hana experience
Ndo utapeli huo. Hata wale wa tuma kwa namba hii mtumaji ni experience hana.
 
Umehalalisha wizi na utapeli kwa jina la usiri na fursa.
 
Kinacho waharibia Mawinga NI TAMAA iliyopitiliza.
Imagine Mtu anakupiga Kwa zaidi ya elfu 50-laki Moja.
Na inauma unapokuta umepigwa parefu alafu mbaya zaidi ukute amekuimbisha receipt aandike pungufu. Yaani winga dawa yao kabla ya kulipa unamwambia anza ku-print receipt huku unahesabu hela, utaona anatoa macho na kuanza ooh unajua etc maana tajiri huwa anaandika receipt kwa bei ile aliyowatajia ila kile cha juu hakiwi documented kwenye receipt, hapa huwa tunaanza upya tena na kumshusha zaidi ikiwezekana kuondoka kabisa, hapa ndo tajiri wa kweli anajitokeza na kijifanya mpe tu kwa bei hiyo na kuwa siku mbaya kwa winga angalau atapozwa buku 5 ya kuleta mteja (maana ukizubaa umenunua mzigo wa laki 5 unakuta receipt imeandikwa laki 3 na nusu)
 
Wewe Mtu anauziwa Sabufa 150k Wakati bei Yake Mtaa WA pili NI 90k huoni Hapo kuna ulazima wa tahadhari
Mbona mpira wa simba na yanga ukichezwa Benjamini Mkapa unalipa kiingilio kibwa lkn kesho yake au baada ya wiki timu hiyohiyo ikicheza na nyingine kwenye uwanja huohuo kingilio ni tofauti kabsaa, vp hapo viti huwa vinabadilishwa au simba na yanga zikikutana uwanja unafungwa AC ndio maana viingilio huwa vikubwa? Na sijawahi kusikia mtu akisema amepigwa.
 
Hivi wakuu kwa mfano TV YA ALITOP INCH 32 KWA lindi kuna kipindi nilinunua 260000 je mnamaanisha kwamba kwa kariakoo assume bila winga unaweza kuipata kwa 200000?
BEI ZA TV KWA LEO
πŸ”₯ Offer offer πŸ”₯
SAMSUNG
40(SMART)...........550000

65(UHD 4K).........1800000

LG
65(UHD 4K).........1800000

70(UHD 4K).........2100000

TCL
43(smart frameless android)....575000

50(smart Android 4k).....880000

55(smart Android 4k...985000

65(smart frameless android UHD)...........1480000

BOSS
32(frameless)...........225000

43(smart frameless).....460000

55(smart Android double)....800000

55(smart WebOS).......930000

ZUNNE
43(smart frameless)...430000

LITTLE MORE
43(frameless smart)....430000

SOLAR MAX
21(double)............110000

22(single)............115000

24(single)...........130000

24(double)..........140000

42(frameless kawaida)....360000

43(smart frameless haijatimia vizuri)....................380000

43(double normal).......395000

43(double smart).....420000

Star x

50 (smart)...800000

58(smart android)...1020000

ALYONS
17(double).............100000

19(double)..............110000

22(double)..............125000

32 ( fremless) .....215000

32(double)...........220000

EVVOL
N32 ( sio smart ) .....220000

ARBODER
19(DOUBLE)...........110000

MAISHA
24( double).....135000

ZAC
32(frameless).....210000

MO ELECTRO
43 (frameless)..... 490000

SKYWORTH
65(SMART UHD ANDROID)....1400000


HIGH Q
43(normal frameless).....390000

43(smart frameless).......415000

_


NB:ambazo hatujaweka kwenye orodha zimeisha kwa sasa mpka hapo baadaye tena
 
Ila mkuu, hawa mawinga tukiwaendekeza ni suala la muda tu hawatadhibitika kama vishoka.
Mfumo utawaondoa, leo china au nchi nyingine zilizoendelea ukitaka kufika dukani kwake hataki, anataka kila kitu tumalizane online na anauzia dunia nzima kuliko wewe unayedisplay, ukija kwa hawa waswahili wetu ukimwambia nitumie picha ya bidhaa unayouza tayari biashara imekufa au yaweza kuchukua masaa kadhaa kupata hiyo picha na usije ukarogwa ukamwambia picha haionekani vizuri atakuwa hakusikilizi tena.
 
Kariakoo ni sehemu ya masikini kwenda kufana shoping
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…