Jinsi ya kufanya kiuno kigumu kiwe laini

njoo dm nikupeleke kwa dr nkuba kutoka sumbawanga atakilainisha sawasawa na mapenzi yako
 
Miguu unaikunja mtindo wa V, halafu unaanza kuzungusha kiuno unachora sifuri, unafata Moja unaendelea mpka kumi, utazoea kadri siku zinavyosogea
He!he!he!
Tayari mie "imesimama" hapa,i wish nikiliona hilo zoezi live sidhani kama ningebaki salama kwa kweli.
 
yaani changu ni kigumu kuliko mawe......................
ila papu uchi yangu naiaminia................tamuje hahahaha nafwaaaaaa
 
hhahhaahhahaha kwakweli jaman maisha yametubadilikia !anywys uwe unajifungia room kwako fukuza watotto cheza ukiwa unaangalia hao kina bey! najua utaweza ingawa sio sana ! ndo muwe mnaenda ht club !lol !mie zaman usichana wangu nilikua fundi !sasa hv kiuno na tumbo havieleweki vipo wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…