Jinsi ya kufungua kanisa 'la Mchongo' la kilokole na upige pesa Kwa Muda mrefu

Jinsi ya kufungua kanisa 'la Mchongo' la kilokole na upige pesa Kwa Muda mrefu

Na ukishafungua kanisa hakikisha usijenge mazoea na wanaume hawachelewi kukuumbua we tengeneza mazoea na wanawake ndo wanashawishika haraka
Kwa wanaume tafuta mjanja mjanja kuliko wote umfanye awe katibu na mzee mtata awe mzee wa kanisa ili wasije kuchomoa betri
 
So rahisi km enavyofikiri sio simple, kuna mama anapenda niwe mchungaji ila Mimi najijua sipendi uongo nimemkatalia, kuna kanisa la mchongo unatengenezewa jina, unapewa nyumba, unapewa gari, unapewa mavazi, unapewa kanisa, ila nguvu zako za miujiza ni za uongo, hio ipo ukitaka nicheck PM km unaweza kuishi na uongo, sharti uwe unaweza kuishi na uongo, usisahau shetani ndio baba wa uongo
 
Hakikisha hilo kanisa lina vitoto vinavyo jipukia, mabeki tatu wengi ili tuje kushindana kutoa sadaka huku tuna 5select
JamiiForums-2039756404.jpg
 
Unapanda uharibifu hni hakika utavuna uharibifu!! Mnaandika huku mkidhani kuwa mnafanya utani lakini shetani hana utani na yuko kazini!! Maadam umetumika na shetani tarajia kuvuna uharibifu hapa duniani kwanza kisha baadaye jehanamu ya milele!! Ni toba ya dhati tu ndiyo inayoweza kukuepusha na hukumu ya Mungu!
 
So rahisi km enavyofikiri sio simple, kuna mama anapenda niwe mchungaji ila Mimi najijua sipendi uongo nimemkatalia, kuna kanisa la mchongo unatengenezewa jina, unapewa nyumba, unapewa gari, unapewa mavazi, unapewa kanisa, ila nguvu zako za miujiza ni za uongo, hio ipo ukitaka nicheck PM km unaweza kuishi na uongo, sharti uwe unaweza kuishi na uongo, usisahau shetani ndio baba wa uongo
Mkuu Mimi uongo sitaki.
 
1:Anzia kijijini. Kule utapata wafuasi wengi wasio na uwezo wa kuhoji kipindi uwezo wako wa kushawishi Bado mdogo.

2: TUMIA Muda mwingi kusoma vitabu vya uchawi ili ujue watu wanalogwaje, vitabu vya migogoro ya ndoa, magomvi ya familia na ukoo. Ujue watu wakienda Kwa waganga Huwa wanafanywaje. Hii itakupa usikivu maana wote wanaoamini wamerogwa au watarogwa.

3: Soma vitabu vya ndoto na tafsiri zake. Vya kiislam,kijadi na walokole waliofanikiwa duniani.

4; Jifunze demonology. Uyajue makini na kazi zake kutoka katika vitabu vya wanaoyapenda. Kariri majina yake na hakikisha unayatajataja.

5: Soma biblia ukichagua vifungu vya kutia moyo watu. Jiaminishe kabisa kuwa nikweli.

6:Jipe Jina la utata la kukupa kiki. Kama utapenda ushirikina kidogo Jina Hilo ndio litakuwa code ya kuvutia nguvu za Giza kupumbazia watu. Ila bila ushirikina litatia utisho na urasmi flani mioyoni mwa vichwa vyako.

7: Be private. Jifichefiche watu wasikujue. Kaa mbali na watu kabisa. Muda mwingi uwe umejifungia ndani ukireheso tricks na kanuni za kuwafanya watu wakuamini. Ni rahisi kusema ulienda mbinguni na Kuna maelekezo umepewa na Yesu utaaminika maana watu hawjui Huwa uko wpi. Hat ukisema sijawahi kuugua au umefunga bila kula siku arobaini hakuna mwenye ushahidi wa kukupinga. Wakati mwingine hata mkeo/mmeo au watoto wasikujuejue.

Unaweza ukaanzia hapa.
Katika vitu nimeacha ni kusali makanisani...
 
Unapanda uharibifu hni hakika utavuna uharibifu!! Mnaandika huku mkidhani kuwa mnafanya utani lakini shetani hana utani na yuko kazini!! Maadam umetumika na shetani tarajia kuvuna uharibifu hapa duniani kwanza kisha baadaye jehanamu ya milele!! Ni toba ya dhati tu ndiyo inayoweza kukuepusha na hukumu ya Mungu!
Unatakiwa utoe namna ya kufungua kanisa lisilolamchongo usaidie watu.
Sisi wagalatia kazi yetu ni kuchokoza mada ni wenye wokovu mnyooshr mambo
 
Jifunze kuongea kwa sauti kali na lafudhi ya nyanda za juu kusini,mtu muite mutu,mfano tamka mufano,kila ukihubiri ukiona wanaanza kusinzia tunga stori ya uongo ipakeoake mafuta,watu wanapenda mifano ya stori sana kanisani ,anza hivi siku moja nikiwa london,mutu mumoja akanishika bega,nikashangaa huu muji wa wazungu nani ananijuwa.
Hahaha
 
So rahisi km enavyofikiri sio simple, kuna mama anapenda niwe mchungaji ila Mimi najijua sipendi uongo nimemkatalia, kuna kanisa la mchongo unatengenezewa jina, unapewa nyumba, unapewa gari, unapewa mavazi, unapewa kanisa, ila nguvu zako za miujiza ni za uongo, hio ipo ukitaka nicheck PM km unaweza kuishi na uongo, sharti uwe unaweza kuishi na uongo, usisahau shetani ndio baba wa uongo
Masharti yake ni yapi ndugu? Ili kumfurahisha mdhamini?
 
Back
Top Bottom