NORTHERNIST
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 304
- 247
Utubu hii dhambi shetani anakutumia sio bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee1:Anzia kijijini. Kule utapata wafuasi wengi wasio na uwezo wa kuhoji kipindi uwezo wako wa kushawishi Bado mdogo.
2: TUMIA Muda mwingi kusoma vitabu vya uchawi ili ujue watu wanalogwaje, vitabu vya migogoro ya ndoa, magomvi ya familia na ukoo...
🤣🤣🤣🤣Mbengo zetafongokaaa
Na macho huyatoe kama do yako1:Anzia kijijini. Kule utapata wafuasi wengi wasio na uwezo wa kuhoji kipindi uwezo wako wa kushawishi Bado mdogo...
🤣🤣🤣🤣HatariSema tena, chioni ya leooo, mbengo zitafongookah
Ukianzisha kanisa jichangechange siku moja safiri nchi yoyote ya Amerika ya Kusini tafuta kanisa uchwara anza nao undugu waalike waje afrika kutoa huduma.Mgee namba zangu mwakani tulianzishe,
Ndo maana watu wanye akili zao hawaamini tena, uongo wa wazi wazihyo ni motisha! imani huja kwa kusikia, na kuona.
watoto tunawambia wasome kwa bidii kwamba watakuja kuwa maEngneer, form4 anatoka na "F"
"F flat" ~msemo wa mgogo
Serikali haina dini haiwezi kudhibiti diniHakika kuna ulazma wa kutunga sheria ya kudhibiti haya makanisa
Katika maisha hautakiwi kukata tamaa, wanakwambia hvo ili kukuhamasisha uone kuwa unaweza.Ha haaa halafu unaambiwa utapata gari..ukijiangalia huna kipato cha kueleweka hata kula milo miwili ni shida.
Gari linashuka kimiujiza
Unaota makanisa mengi vijijini hata ya zamani matupu1:Anzia kijijini. Kule utapata wafuasi wengi wasio na uwezo wa kuhoji kipindi uwezo wako wa kushawishi Bado mdogo.
Watupe mbinu za kutafuta na kutokata tamaa, ukiniambia nikeshe kwenye maombi huo muda wa kutafuta pesa nitatoa wapi?Katika maisha hautakiwi kukata tamaa, wanakwambia hvo ili kukuhamasisha uone kuwa unaweza.
utajisikiaje pale utakapokuwa mgonjwa, alafu ukaambiwa "utakufa"
Hahahahahaha lakini pepo litakujaje kwako mkuu wakati nyote nyie kazi yenu ni mojaLabda kuanzisha uganga. kanisani siku wewe mchungaji ukiangushwa na pepo ndipo tutashangaa
😂😂😂😂😂Sauti ya kukwaruza haiji tu lazima uhubiri kwa muda mrefu na kuimba mapambio bila kunywa maji...mbengo lazima zifongoke seko ya leeo.
#MaendeleoHayanaChama