Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Apostle Mwakifwewe "touch of holy power" iwe ndio slogan yako.Umesaidia sana mkuu. Jina labda unaloweza kupendekeza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apostle Mwakifwewe "touch of holy power" iwe ndio slogan yako.Umesaidia sana mkuu. Jina labda unaloweza kupendekeza?
wanawake wangi wanatupiga na kitu kizito! sio wengi mapepoHakuna mapepo na wala hayajawi kuwepo na wla hyatakuwepo... wewe umeona wapi mapepo yanaangusha wanawake pekee...??
Chioni ya leo🤣🤣Sema tena, chioni ya leooo, mbengo zitafongookah
Sema i recieve, pokea nyota yako leo! 😂😂😂Chioni ya leo🤣🤣
NapokeaaaaSema i recieve, pokea nyota yako leo! 😂😂😂
Ameeen, leo Mungu anakwenda kufungua maisha yako...Utapata ile gari ya ndoto zako 😂😂😂!Napokeaaaa
😀😀😀Napokeaaaa
Mungu anakuwa hayupo hapo! Jina la Yesu linatajwa ila sio kwa imani! Imani sio zile kelele! Kama madhabahu ni ngome ya adui zilitolewa makafara hapo wote mnapumbazika!Labda kuanzisha uganga. kanisani siku wewe mchungaji ukiangushwa na pepo ndipo tutashangaa
Ha haaa halafu unaambiwa utapata gari..ukijiangalia huna kipato cha kueleweka hata kula milo miwili ni shida.Ameeen, leo Mungu anakwenda kufungua maisha yako...Utapata ile gari ya ndoto zako 😂😂😂!
Nikitazama kipato chako kuna neema naiona, leta mkono wako mama.
sio wote wanaoanguka ni pepo, wengine ni mikwalaHakuna mapepo na wala hayajawi kuwepo na wla hyatakuwepo... wewe umeona wapi mapepo yanaangusha wanawake pekee...??
Aloo hii hela kabisa, hichi kipaji naona nakichezea sana 😂😂😂 acha nianze movementHa haaa halafu unaambiwa utapata gari..ukijiangalia huna kipato cha kueleweka hata kula milo miwili ni shida.
Gari linashuka kimiujiza
Mgee namba zangu mwakani tulianzishe,Kuna mwanangu kapania sana hii issue, Kila nikikutana nae anasema Kama vyuma vitaendelea kukaza hivi basi mwakani mwaka hauishi atafungua church 😂
Bonge ya fursa ujue tu kuongeaAloo hii hela kabisa, hichi kipaji naona nakichezea sana 😂😂😂 acha nioe nianze movement
Hahahaha! Wewe jamaa umenivunja mbavu aisee!Jifunze kuongea kwa sauti kali na lafudhi ya nyanda za juu kusini,mtu muite mutu,mfano tamka mufano,kila ukihubiri ukiona wanaanza kusinzia tunga stori ya uongo ipakeoake mafuta,watu wanapenda mifano ya stori sana kanisani ,anza hivi siku moja nikiwa london,mutu mumoja akanishika bega,nikashangaa huu muji wa wazungu nani ananijuwa.
Maneno yote haya jf kwamba siwezi ongea tena😂😂😂Bonge ya fursa ujue tu kuongea
Hahaaa. Stori ni muhimu sana. "Nilifika pori moja, yapata usiku wa saa sita, pikipiki imeniharibikia, giza zito na wingu vimetanda. Pande zote ni msitu mnene. Nikasema bwana, kwa kuwa nimekuja kufanya kazi yako....." EndeleaaJifunze kuongea kwa sauti kali na lafudhi ya nyanda za juu kusini,mtu muite mutu,mfano tamka mufano,kila ukihubiri ukiona wanaanza kusinzia tunga stori ya uongo ipakeoake mafuta,watu wanapenda mifano ya stori sana kanisani ,anza hivi siku moja nikiwa london,mutu mumoja akanishika bega,nikashangaa huu muji wa wazungu nani ananijuwa.
Ile kuongea haswa..mwijaku styleManeno yote haya jf kwamba siwezi ongea tena😂😂😂