Jinsi ya kufungua kanisa 'la Mchongo' la kilokole na upige pesa Kwa Muda mrefu

Jinsi ya kufungua kanisa 'la Mchongo' la kilokole na upige pesa Kwa Muda mrefu

Vijini pesa ni mpaka wavune,unakomaa humuhumu kwenye miji mikubwa ndo kuna pesa muda wote.
 
1:Anzia kijijini. Kule utapata wafuasi wengi wasio na uwezo wa kuhoji kipindi uwezo wako wa kushawishi Bado mdogo.

2: TUMIA Muda mwingi kusoma vitabu vya uchawi ili ujue watu wanalogwaje, vitabu vya migogoro ya ndoa, magomvi ya familia na ukoo. Ujue watu wakienda Kwa waganga Huwa wanafanywaje. Hii itakupa usikivu maana wote wanaoamini wamerogwa au watarogwa.

3: Soma vitabu vya ndoto na tafsiri zake. Vya kiislam,kijadi na walokole waliofanikiwa duniani.

4; Jifunze demonology. Uyajue makini na kazi zake kutoka katika vitabu vya wanaoyapenda. Kariri majina yake na hakikisha unayatajataja.

5: Soma biblia ukichagua vifungu vya kutia moyo watu. Jiaminishe kabisa kuwa nikweli.

6:Jipe Jina la utata la kukupa kiki. Kama utapenda ushirikina kidogo Jina Hilo ndio litakuwa code ya kuvutia nguvu za Giza kupumbazia watu. Ila bila ushirikina litatia utisho na urasmi flani mioyoni mwa vichwa vyako.

7: Be private. Jifichefiche watu wasikujue. Kaa mbali na watu kabisa. Muda mwingi uwe umejifungia ndani ukireheso tricks na kanuni za kuwafanya watu wakuamini. Ni rahisi kusema ulienda mbinguni na Kuna maelekezo umepewa na Yesu utaaminika maana watu hawjui Huwa uko wpi. Hat ukisema sijawahi kuugua au umefunga bila kula siku arobaini hakuna mwenye ushahidi wa kukupinga. Wakati mwingine hata mkeo/mmeo au watoto wasikujuejue.

Unaweza ukaanzia hapa.
Mvaa kobasi
 
1:Anzia kijijini. Kule utapata wafuasi wengi wasio na uwezo wa kuhoji kipindi uwezo wako wa kushawishi Bado mdogo.

2: TUMIA Muda mwingi kusoma vitabu vya uchawi ili ujue watu wanalogwaje, vitabu vya migogoro ya ndoa, magomvi ya familia na ukoo. Ujue watu wakienda Kwa waganga Huwa wanafanywaje. Hii itakupa usikivu maana wote wanaoamini wamerogwa au watarogwa.

3: Soma vitabu vya ndoto na tafsiri zake. Vya kiislam,kijadi na walokole waliofanikiwa duniani.

4; Jifunze demonology. Uyajue makini na kazi zake kutoka katika vitabu vya wanaoyapenda. Kariri majina yake na hakikisha unayatajataja.

5: Soma biblia ukichagua vifungu vya kutia moyo watu. Jiaminishe kabisa kuwa nikweli.

6:Jipe Jina la utata la kukupa kiki. Kama utapenda ushirikina kidogo Jina Hilo ndio litakuwa code ya kuvutia nguvu za Giza kupumbazia watu. Ila bila ushirikina litatia utisho na urasmi flani mioyoni mwa vichwa vyako.

7: Be private. Jifichefiche watu wasikujue. Kaa mbali na watu kabisa. Muda mwingi uwe umejifungia ndani ukireheso tricks na kanuni za kuwafanya watu wakuamini. Ni rahisi kusema ulienda mbinguni na Kuna maelekezo umepewa na Yesu utaaminika maana watu hawjui Huwa uko wpi. Hat ukisema sijawahi kuugua au umefunga bila kula siku arobaini hakuna mwenye ushahidi wa kukupinga. Wakati mwingine hata mkeo/mmeo au watoto wasikujuejue.

Unaweza ukaanzia hapa.
8.Uwe na chawa,
-wa kukushabikia kila unachosema,
-wenye uwezo wa kusali kwa sauti kubwa
-wenye uwezo wa kusali kama wanaimba singeli
-wenye uwezo wa kuigiza ugonjwa na uponyaji.

Basi umetoboa
 
Jifunze kuongea kwa sauti kali na lafudhi ya nyanda za juu kusini,mtu muite mutu,mfano tamka mufano,kila ukihubiri ukiona wanaanza kusinzia tunga stori ya uongo ipakeoake mafuta,watu wanapenda mifano ya stori sana kanisani ,anza hivi siku moja nikiwa london,mutu mumoja akanishika bega,nikashangaa huu muji wa wazungu nani ananijuwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtafute na MTU wa mazingaombwe uwatapishe watu mende na mijusi
 
Hebu tuinuke tuombe Ooh haleluya bababashakalabobobo sakata tumbaa ai katumba aswaapapapa aswaaa papapaa sakataaa bolokoshokoloo gooooooooooooooooooooooooooooooooooloo hapanaa sio gooli wote tuseme ameen

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Jifunze kuongea kwa sauti kali na lafudhi ya nyanda za juu kusini,mtu muite mutu,mfano tamka mufano,kila ukihubiri ukiona wanaanza kusinzia tunga stori ya uongo ipakeoake mafuta,watu wanapenda mifano ya stori sana kanisani ,anza hivi siku moja nikiwa london,mutu mumoja akanishika bega,nikashangaa huu muji wa wazungu nani ananijuwa.
Mkuu umetisha sanaa[emoji119][emoji119]
 
Hizo lugha za MBENGO ZITAFUNGUKA
NA MAKELELE YA KUHUBIRI, NI WAKATI UNAANZA UKIWA HUJATOBOA.
HAPO KILABAADA YA SENTENSI UTATIA MKWARA WA LUGHA ZISIZOELEWEKA ILI UWAPOTEZE WAFUASI NA WAKUONE UKO DEEP.

ILA UKIKOMAA UNATAKIWA UNAHUBIRI POINTS TU BILA MAKELELE.

UKIONGEA POINTS UNAVUTA WENGI ZAIDI.

HIZO SWAGA ZAMAKELELE NI UKIWA AMATEUR
 
Back
Top Bottom