Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ile si unanyofoa fyuzi ya aibu kichwani 😂😂😂Ile kuongea haswa..mwijaku style
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile si unanyofoa fyuzi ya aibu kichwani 😂😂😂Ile kuongea haswa..mwijaku style
Nadhani tutakuwa wote maana baada ya huu Uzi nimepata inspiration ya kumuunga mkono, sema mi nitakuwa katibu wa kanisa.Mgee namba zangu mwakani tulianzishe,
Katika maisha hautakiwi kukata tamaa, wanakwambia hvo ili kukuhamasisha uone kuwa unaweza.Ha haaa halafu unaambiwa utapata gari..ukijiangalia huna kipato cha kueleweka hata kula milo miwili ni shida.
Gari linashuka kimiujiza
Nyie hebu punguzeni, mnatuvunja mbavu wenzenu. Hakika, haya yanafanyika kuzuga waumini.Hebu tuinuke tuombe Ooh haleluya bababashakalabobobo sakata tumbaa ai katumba aswaapapapa aswaaa papapaa sakataaa bolokoshokoloo gooooooooooooooooooooooooooooooooooloo hapanaa sio gooli wote tuseme ameen
Hakuna jambo litashindikana, kultokea kundi la simba wapatao saba 😂😂😂..,.EndeleaHahaaa. Stori ni muhimu sana. "Nilifika pori moja, yapata usiku wa saa sita, pikipiki imeniharibikia, giza zito na wingu vimetanda. Pande zote ni msitu mnene. Nikasema bwana, kwa kuwa nimekuja kufanya kazi yako....." Endeleaa
Ujue kuongea hadi uteme mvua ya mate.Ile si unanyofoa fyuzi ya aibu kichwani 😂😂😂
Uongo si ni dhambi au?Katika maisha hautakiwi kukata tamaa, wanakwambia hvo ili kukuhamasisha uone kuwa unaweza.
utajisikiaje pale utakapokuwa mgonjwa, alafu ukaambiwa "utakufa"
Wanatupiga kamba na stori za kutungaHahaaa. Stori ni muhimu sana. "Nilifika pori moja, yapata usiku wa saa sita, pikipiki imeniharibikia, giza zito na wingu vimetanda. Pande zote ni msitu mnene. Nikasema bwana, kwa kuwa nimekuja kufanya kazi yako....." Endeleaa
"Nikakumbuka kisa cha Danieli kwenye tundu la Simba. Nikapiga magoti, macho ya simba wale yamenizunguka kama tochi kali. Nikainua mikono juu, nikasema....." EndeleaHakuna jambo litashindikana, kultokea kundi la simba wapatao saba 😂😂😂..,.Endelea
Hii ndo shida ya watu na kujiajiri: nitatoa wapi wateja?Sio rahisi hivyo..ingekua rahisi kila mtu angefanya.
Get a job.
#MaendeleoHayanaChama
Ameeen, leo Mungu anakwenda kufungua maisha yako...Utapata ile gari ya ndoto zako
Bwana wa majeshi ufanyae njia pasipo na njia, haujawahi shindwa na lolote hata ningalipo katika uvuli wa mauti, ulisema nena neno likawe basi naamuru katika jina la yesu "tawanyikaaaa" .....endelea"Nikakumbuka kisa cha Danieli kwenye tundu la Simba. Nikapiga magoti, macho ya simba wale yamenizunguka kama tochi kali. Nikainua mikono juu, nikasema....." Endelea
"Simba wale walirudi nyuma lakini hawakuondoka kabisa. Nikakumbuka jambo jengene, ngovo ya nyimbo katika maombi. Na hilo ndilo somo letu leo.Bwana wa majeshi ufanyae njia pasipo na njia, haujawahi shindwa na lolote hata ningalipo katika uvuli wa mauti, ulisema nena neno likawe basi naamuru katika jina la yesu "tawanyikaaaa" .....endelea
hyo ni motisha! imani huja kwa kusikia, na kuona.Uongo si ni dhambi au?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jifunze kuongea kwa sauti kali na lafudhi ya nyanda za juu kusini,mtu muite mutu,mfano tamka mufano,kila ukihubiri ukiona wanaanza kusinzia tunga stori ya uongo ipakeoake mafuta,watu wanapenda mifano ya stori sana kanisani ,anza hivi siku moja nikiwa london,mutu mumoja akanishika bega,nikashangaa huu muji wa wazungu nani ananijuwa.
Sauti ya kukwaruza haiji tu lazima uhubiri kwa muda mrefu na kuimba mapambio bila kunywa maji...mbengo lazima zifongoke seko ya leeo.Jifunze kuwa na sauti ya kukwaruza, vaa suti sana wajinga utawapata na pesa utapiga sana
Pia na kujifunza kutamka haya maneno kwa lafudhi ya hao manabii na mitume!"Jifunze kuongea kwa sauti kali na lafudhi ya nyanda za juu kusini,mtu muite mutu,mfano tamka mufano,kila ukihubiri ukiona wanaanza kusinzia tunga stori ya uongo ipakeoake mafuta,watu wanapenda mifano ya stori sana kanisani ,anza hivi siku moja nikiwa london,mutu mumoja akanishika bega,nikashangaa huu muji wa wazungu nani ananijuwa.