Jinsi ya kufungua kanisa 'la Mchongo' la kilokole na upige pesa Kwa Muda mrefu

Na ukishafungua kanisa hakikisha usijenge mazoea na wanaume hawachelewi kukuumbua we tengeneza mazoea na wanawake ndo wanashawishika haraka
Kwa wanaume tafuta mjanja mjanja kuliko wote umfanye awe katibu na mzee mtata awe mzee wa kanisa ili wasije kuchomoa betri
 
So rahisi km enavyofikiri sio simple, kuna mama anapenda niwe mchungaji ila Mimi najijua sipendi uongo nimemkatalia, kuna kanisa la mchongo unatengenezewa jina, unapewa nyumba, unapewa gari, unapewa mavazi, unapewa kanisa, ila nguvu zako za miujiza ni za uongo, hio ipo ukitaka nicheck PM km unaweza kuishi na uongo, sharti uwe unaweza kuishi na uongo, usisahau shetani ndio baba wa uongo
 
Unapanda uharibifu hni hakika utavuna uharibifu!! Mnaandika huku mkidhani kuwa mnafanya utani lakini shetani hana utani na yuko kazini!! Maadam umetumika na shetani tarajia kuvuna uharibifu hapa duniani kwanza kisha baadaye jehanamu ya milele!! Ni toba ya dhati tu ndiyo inayoweza kukuepusha na hukumu ya Mungu!
 
Mkuu Mimi uongo sitaki.
 
Katika vitu nimeacha ni kusali makanisani...
 
Unatakiwa utoe namna ya kufungua kanisa lisilolamchongo usaidie watu.
Sisi wagalatia kazi yetu ni kuchokoza mada ni wenye wokovu mnyooshr mambo
 
Hahaha
 
Masharti yake ni yapi ndugu? Ili kumfurahisha mdhamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…