Jinsi ya kujizuia usimpende sana mtu

Jinsi ya kujizuia usimpende sana mtu

Mahusiano yako yawe sehemu ya maisha yako,na wala yasiwe ndo maisha yako...

Nikiwa na maana usiyape kipa umbele cha kwanza ,tafta kitu kingine kiwe ndo dira na mwongozo wako katika maisha..

pia huyo binti mfanye sehemu ya maisha yako na wala asiwe ndo maisha yako yaan bila yeye huwezi kuishi ,

kanuni ni nyingi na siwezi andika zote ila kwa uchache ni hizo
Mkuu nimeupenda sana ushauri wako ngoja nifanye kama ulivonieleza..
 
Mpende kwa moyo wako wote, mpende tena mpende sana usipunguze, kabidhi moyo wako kwake,
Kupendwa ni raha sana, hebu mpende usiangalie changamoto zingine
 
Hakuna njia ya kujizuia kumpenda mtu

Kama ushampenda kiasi hiko we mpende tu
Ikitokea mkabreak up utadeal with it kama ulivyoweza mwanzo
Ni kweli mkuu sometimes haya mambo hutokea automatic tu
 
Mpende kwa moyo wako wote, mpende tena mpende sana usipunguze, kabidhi moyo wako kwake,
Kupendwa ni raha sana, hebu mpende usiangalie changamoto zingine
Weeeeeeeee!! Na siku akipata mchepuko akazamia hukohuko??
 
Yanini kuingia kwenye penzi kama penzi lako ni kama mafungu ya nyanya!? Ukiamua kupenda basi penda kweli usiogope kuumizwa moyo. Huwezi cheza mbali na penzi badala ya kufanya utapeli/ usanii wa penzi.

Hakuna njia ya kujizuia kumpenda mtu

Kama ushampenda kiasi hiko we mpende tu
Ikitokea mkabreak up utadeal with it kama ulivyoweza mwanzo
 
kosa la kwanza nilichogundua kwako kwa mwanamke uzuri wa nje ndo unakupagawisha sana, na hiyo ni hatari sana.
 
Huo ugonjwa ulishawahi kunisumbua wakati huo niko kijanakijana bado mbichimbichi, kadri siku zilivyosogea nikaja ng'amua kumbe haitatokea mkapendana na mwenza wako bila mikwaruzano ya hapa na pale. Ni vigumu sana kwangu kwa sasa kubabaikia papuchi, ni jinsi ww mwenyewe unavojityuni kwa mwenza wako
 
kosa la kwanza nilichogundua kwako kwa mwanamke uzuri wa nje ndo unakupagawisha sana, na hiyo ni hatari sana.
Sijasema mzuri tu wa muonekano nimesema mpaka tabia yake pia ni nzuri maana ananiheshimu sana
 
Huo ugonjwa ulishawahi kunisumbua wakati huo niko kijanakijana bado mbichimbichi, kadri siku zilivyosogea nikaja ng'amua kumbe haitatokea mkapendana na mwenza wako bila mikwaruzano ya hapa na pale. Ni vigumu sana kwangu kwa sasa kubabaikia papuchi, ni jinsi ww mwenyewe unavojityuni kwa mwenza wako
Upo sahihi kwa 100% mkuu huwa inategemea sana wewe jinsi ulivo..
 
Dracula unaonekana umeathirika kimawazo baada ya ex wako kukuacha. Uliumwa na nyoka unaona Jani unashtuka.
Kama ulimpenda sana akakuacha haikuwa kosa lako, unaona kama ulikosea. Kumpenda sana si tatizo, tatizo ni mtu anayependwa lakini hapendeki.
 
Nahisi ananipenda sana maana ananiheshimu na pia namuona she is very happy with me..
Achana na hisia(kuhisi)tafuta uhakika na hilo. Halafu unaweza kum-attract mtu yeyote asiyekupenda akakapunda, sijui unalijua hilo?
 
Back
Top Bottom