jaribu kutafuta binti mwingine awe rafiki yako na smt uwe unagegeda mkuu ,mana huyo akichukua hiamaya yote ni hatari siku akizingua,usimuamini binadamu mkuu mana hata MUngu muumbaji binadamu wanamuamini,kakataza mambo kibao ila hawamwamini wanafanya ya kwao wanayoona ndo sahihi,hebu jifikirie MUNGU alikubadilisha toka majimaji tena machafu sana yanayotia kinyaa i.e shahawa akakufanya ukawa wa maana ila bado binadamu hafuati maalekezo yake. so plz i beg u dont give her whole heart just a small portion of it. ila Mungu mpe wote yeeye habadiliki, yaani hapohapo tafuta mwingine uwe unachat naye anaku keep busy maana smt utapenda uwe naye karibu hata kwa chatting ila akiona ivyo atajawa/atavimba kichwa na kukuona sio chochote,so mda akizingua unaendelea kuchat na shosti wako mwingine mambo yanakuwa murua,pia epuka kumtumia sms kila siku ,ganda mpaka nayeye ndo akutafute,yaani mkuu ningeeandika mengi sana ila nitaandika uzi hapa wa kuwashauri vijana namna ya ku keep distance toka kwa huyo anayekuvuta, I have a lot to talk