Infinite_Kiumeni
JF-Expert Member
- Jan 23, 2023
- 382
- 687
Asili ya mwanamke ni kuharibu mambo.
Asili ya mwanaume ni kuweka vitu pamoja/ kuvifanya viwe vya sawa/kawaida.
Kwaiyo ukiona mwanamke anakufanyia vitu vya ajabu, anachafua mambo, anaharibu mambo, anavunja mipaka ujue ni kazi yako kuvifanya virudi kwenye mstari.
Sababu maamuzi yao yanatokana na hisia za muda huo.
Lakini wewe ndo umepewa tochi ya kuongoza mahusiano bila kujali hisia zenu za muda huo.
.
Kwenye kuongoza mahusiano lazima uwe na mipaka na misimamo.
Mipaka na misimamo ndo heshima yako mwanaume.
Ukishaheshimika utapendwa.
Na uisimamie bila huruma wala hisia. Hata huyo mwanamke anakutegemea uwe hivyo. Japo mara kwa mara atakushawishi kuvunja mipaka.
Ukivunja mara moja atataka ajue utavunja mara ngapi, atakujaribu zaidi.
Mpaka inafikia hatua hakuheshimu tena.
Sababu mipaka yako imeshavunjwa.
Na umemvumilia dharau zake ukiamini ipo siku atabadilika.
Lakini kila siku anakua jeuri kwako na anakudharau.
Ukishadharaulika unachukiwa.
Haijalishi umeishi na mwanamke kwa miaka mingapi. Akikudharau tu, huna chako tena.
Maana hutakua kipaumbele chake tena.
Hatojali muda mliopanga, hatotaka kupendeza kwako na hatokua anakuridhisha kimapenzi.
.
Cha kufanya.
- Pitia upya mipaka yako.
Jiangalie wewe kwanza, kabla kumlaumu mwanamke anakudharau.
Angalia ni kipi umekua kimuachia japo hupendi/ ulishamkataza.
Angalia ni wapi anavunja ratiba zako kwa mambo yasiyoeleweka.
Angalia ni wapi hakuridhishi japo ulishamwambia na ukapotezea.
Kisha ikazie misimamo na mipaka yako upya.
Mwanzoni hiki utapata shida. Sababu ulishamzoesha kuwa anaweza kukudharau. Lakini kazia, isisitize mpaka aelewe.
Rudisha heshima yako ndani.
- vaa ujasiri wako.
Mwanamke ana asili ya udhaifu.
Hudharau vidhaifu vingine. Ikiwemo wewe kama ukiwa dhaifu.
Lakini wanaheshimu na kupenda mtu jasiri. Kuwa wewe.
Haijalishi huyo mwanamke ni nani kwako, kuwa jasiri unapokua naye.
Usiogope atakukataa au la, usisite kuhimiza mipaka/ misimamo yako.
Akikuudhi usimnyamazie tu mwambie anapokukwaza.
Usikubali akuharibie ratiba/ bajeti, hata kama amekuahidi kulala nawe.
- Kuwa na maamuzi.
Pia utambue baadhi ya maamuzi utakayofanya hayatakua bora, au utokea lakini ni bora kuliko kumuachia mwanamke maamuzi.
Na uwe kiongozi kwenye mahusiano.
Asili ya mwanaume ni kuweka vitu pamoja/ kuvifanya viwe vya sawa/kawaida.
Kwaiyo ukiona mwanamke anakufanyia vitu vya ajabu, anachafua mambo, anaharibu mambo, anavunja mipaka ujue ni kazi yako kuvifanya virudi kwenye mstari.
Sababu maamuzi yao yanatokana na hisia za muda huo.
Lakini wewe ndo umepewa tochi ya kuongoza mahusiano bila kujali hisia zenu za muda huo.
.
Kwenye kuongoza mahusiano lazima uwe na mipaka na misimamo.
Mipaka na misimamo ndo heshima yako mwanaume.
Ukishaheshimika utapendwa.
Na uisimamie bila huruma wala hisia. Hata huyo mwanamke anakutegemea uwe hivyo. Japo mara kwa mara atakushawishi kuvunja mipaka.
Ukivunja mara moja atataka ajue utavunja mara ngapi, atakujaribu zaidi.
Mpaka inafikia hatua hakuheshimu tena.
Sababu mipaka yako imeshavunjwa.
Na umemvumilia dharau zake ukiamini ipo siku atabadilika.
Lakini kila siku anakua jeuri kwako na anakudharau.
Ukishadharaulika unachukiwa.
Haijalishi umeishi na mwanamke kwa miaka mingapi. Akikudharau tu, huna chako tena.
Maana hutakua kipaumbele chake tena.
Hatojali muda mliopanga, hatotaka kupendeza kwako na hatokua anakuridhisha kimapenzi.
.
Cha kufanya.
- Pitia upya mipaka yako.
Jiangalie wewe kwanza, kabla kumlaumu mwanamke anakudharau.
Angalia ni kipi umekua kimuachia japo hupendi/ ulishamkataza.
Angalia ni wapi anavunja ratiba zako kwa mambo yasiyoeleweka.
Angalia ni wapi hakuridhishi japo ulishamwambia na ukapotezea.
Kisha ikazie misimamo na mipaka yako upya.
Mwanzoni hiki utapata shida. Sababu ulishamzoesha kuwa anaweza kukudharau. Lakini kazia, isisitize mpaka aelewe.
Rudisha heshima yako ndani.
- vaa ujasiri wako.
Mwanamke ana asili ya udhaifu.
Hudharau vidhaifu vingine. Ikiwemo wewe kama ukiwa dhaifu.
Lakini wanaheshimu na kupenda mtu jasiri. Kuwa wewe.
Haijalishi huyo mwanamke ni nani kwako, kuwa jasiri unapokua naye.
Usiogope atakukataa au la, usisite kuhimiza mipaka/ misimamo yako.
Akikuudhi usimnyamazie tu mwambie anapokukwaza.
Usikubali akuharibie ratiba/ bajeti, hata kama amekuahidi kulala nawe.
- Kuwa na maamuzi.
Pia utambue baadhi ya maamuzi utakayofanya hayatakua bora, au utokea lakini ni bora kuliko kumuachia mwanamke maamuzi.
Na uwe kiongozi kwenye mahusiano.