Jinsi ya kumfanya mwanamke akuheshimu na aheshimu muda wako

Jinsi ya kumfanya mwanamke akuheshimu na aheshimu muda wako

Dhana ya mwanamke atakuheshim coz una hela ni utumwa mpya utakaotumaliza wanaume na WANAWAKE!!

Ni biashara ya utumwa iliyohalalishwa na jamii kwamba mwanamke ni chombo kama vyombo vingine na ananunulika!

Yaani utu wake,hisia zake na hatma yake inanunuliwa na pesa!!

Wanaume tukiingia kingi kwa HILI la kununua hisia bas tumegeuzwa maroboti yaani mashine za kuchapisha noti!!

Binafsi sishobokei mwanamke anaenishobokea au kuniganda kisa nina pesa!coz mimi sikuzaliwa na pesa na nina halo ya kuthaminiwa hata kama sina pesa hata kama ninazo!!

Kuna maumivu fulani na ya feel ninapofikiri kwamba ilu nipendwe na kuheshimika kwenye jamii lazima niwe na pesa,ukwasi,ama utajiri hayo ni matumizi mabovu ya seli za kiumbe hai wa kiume!!
Hakika mkuu.... wanaume lazima tushtuke mapema lasivyo kutakuwa na mfululizo wa thread za wanaume kupigwa matukio na wanawake
 
Vijahawapuzi kabiz.a badaraya kuwpngereya uhuchumimunaogereya mapezi.ichiiyi vijanawapuzi
Jifunze kuandika kwanza, utakuwa na uchumi gani hata kuandika hujui?

By the way umepotea njia hili ni jukwaa la MMU, jukwaa la uchumi umeliacha hapo njia panda nenda huko ukutane na wachumi wenzako usilete ushubwada hapa.
 
Asili ya mwanamke ni kuharibu mambo.

Asili ya mwanaume ni kuweka vitu pamoja/ kuvifanya viwe vya sawa/kawaida.

Kwaiyo ukiona mwanamke anakufanyia vitu vya ajabu, anachafua mambo, anaharibu mambo, anavunja mipaka ujue ni kazi yako kuvifanya virudi kwenye mstari.

Sababu maamuzi yao yanatokana na hisia za muda huo.
Lakini wewe ndo umepewa tochi ya kuongoza mahusiano bila kujali hisia zenu za muda huo.
.
Kwenye kuongoza mahusiano lazima uwe na mipaka na misimamo.
Mipaka na misimamo ndo heshima yako mwanaume.
Ukishaheshimika utapendwa.
Na uisimamie bila huruma wala hisia. Hata huyo mwanamke anakutegemea uwe hivyo. Japo mara kwa mara atakushawishi kuvunja mipaka.

Ukivunja mara moja atataka ajue utavunja mara ngapi, atakujaribu zaidi.
Mpaka inafikia hatua hakuheshimu tena.
Sababu mipaka yako imeshavunjwa.
Na umemvumilia dharau zake ukiamini ipo siku atabadilika.
Lakini kila siku anakua jeuri kwako na anakudharau.
Ukishadharaulika unachukiwa.

Haijalishi umeishi na mwanamke kwa miaka mingapi. Akikudharau tu, huna chako tena.

Maana hutakua kipaumbele chake tena.
Hatojali muda mliopanga, hatotaka kupendeza kwako na hatokua anakuridhisha kimapenzi.
.
Cha kufanya.
- Pitia upya mipaka yako.
Jiangalie wewe kwanza, kabla kumlaumu mwanamke anakudharau.
Angalia ni kipi umekua kimuachia japo hupendi/ ulishamkataza.
Angalia ni wapi anavunja ratiba zako kwa mambo yasiyoeleweka.
Angalia ni wapi hakuridhishi japo ulishamwambia na ukapotezea.
Kisha ikazie misimamo na mipaka yako upya.
Mwanzoni hiki utapata shida. Sababu ulishamzoesha kuwa anaweza kukudharau. Lakini kazia, isisitize mpaka aelewe.
Rudisha heshima yako ndani.

- vaa ujasiri wako.
Mwanamke ana asili ya udhaifu.
Hudharau vidhaifu vingine. Ikiwemo wewe kama ukiwa dhaifu.
Lakini wanaheshimu na kupenda mtu jasiri. Kuwa wewe.
Haijalishi huyo mwanamke ni nani kwako, kuwa jasiri unapokua naye.
Usiogope atakukataa au la, usisite kuhimiza mipaka/ misimamo yako.
Akikuudhi usimnyamazie tu mwambie anapokukwaza.
Usikubali akuharibie ratiba/ bajeti, hata kama amekuahidi kulala nawe.

- Kuwa na maamuzi.
Pia utambue baadhi ya maamuzi utakayofanya hayatakua bora, au utokea lakini ni bora kuliko kumuachia mwanamke maamuzi.
Na uwe kiongozi kwenye mahusiano.
Mie naomba napataje ujasiri wa kukwepa vibomu vya huyu mrembo pisi kali? Yaani sauti yake tuu akisema bby ata kama nilipanga kutomtumia hela najikuta nalainika tuu natoa. Ebu nipe mbinu nitafirisika mwenzenu.
 
Nakubali mkali tatizo wanaume hawajiamini ile kauli ya hela mbele imeathiri wanaume wengi lakini mifano tunayo humu humu kwenye jamii zetu wapo watu vipato vya kawaida na hawaletewi dharau za ajabu ajabu. Pesa inaleta amani sana ukiwa nayo ila wapo watu kibao na pesa zao hawaheshimiwi kabisa
Ukiona pesa unatoa Bado huheshimiwi solution rahisi Sana punguza pesa uliyokuwa unatoa mfano ulikuwa unaacha 10000 Kila asubuhi Anza kuacha 5000 ukiona huheshimiwi Bado Anza kuacha 2500 ukiona huheshimiwi Bado Anza kuacha 1000 ukiona Bado huheshimiwi Acha kutoa pesa Kwa siku kadhaa alafu angalia kitakachotokea.Watasanda ttu wenyewe alafu wape 3000 wataiona kamaa 10,000 heshima itarudi.Huwezi kupata heshima Kwa kutoa huduma kirahisi mfano mwanafunzi anayeingia Darasani amenunua boksi la peni akaanza kugawa Bure hataheshimwa kama yule aliyetafutwa na mtu mwenye shida ya peni akaamua kutoa Bure.
 
Ukiona pesa unatoa Bado huheshimiwi solution rahisi Sana punguza pesa uliyokuwa unatoa mfano ulikuwa unaacha 10000 Kila asubuhi Anza kuacha 5000 ukiona huheshimiwi Bado Anza kuacha 2500 ukiona huheshimiwi Bado Anza kuacha 1000 ukiona Bado huheshimiwi Acha kutoa pesa Kwa siku kadhaa alafu angalia kitakachotokea.Watasanda ttu wenyewe alafu wape 3000 wataiona kamaa 10,000 heshima itarudi.Huwezi kupata heshima Kwa kutoa huduma kirahisi mfano mwanafunzi anayeingia Darasani amenunua boksi la peni akaanza kugawa Bure hataheshimwa kama yule aliyetafutwa na mtu mwenye shida ya peni akaamua kutoa Bure.
Kuna point hapo lakini bado kuna mambo kama mwanaume usipoyafanya Hata umkomoe vipi mwanamke hatakuheshimu cha kwanza ni kuwa na misimamo na kuwa na kauli yenye mamlaka kujua mipaka na kuwa na hekima kwenye mambo yenu
 
Yaani gazeti lote hili ni kwa ajili ya kumfanya Mwanamke akuheshimu!!?

Bro, Pesa ndio heshima pekee Duniani, utaheshimiwa sio tu na Mwanamke hadi viongozi wa Dini na wa Serikali,

#TAFUTA PESA.
Ukitaka mwenye pesa na wewe angalau mashallah uwe pisi hatuchukuagi kazi mbovu
 
Tafuteni pesa, wenye pesa hukutana na wenye pesa wenzao, sasa unakaa Buza utakutana na nani kama sio vinchenchede wenzio
Awe na pesa asiwe na pesa lazima kigezo awe na mvuto pisi iliyosimama kazi mbovu hapana.

Raha ya pesa uzile na manzi mrembo asikwambie mtu. Hata ukitoka naye outing mkiingia kiwanja watazamaji waseme yess chuma hiko kinaingia
 
Kuna point hapo lakini bado kuna mambo kama mwanaume usipoyafanya Hata umkomoe vipi mwanamke hatakuheshimu cha kwanza ni kuwa na misimamo na kuwa na kauli yenye mamlaka kujua mipaka na kuwa na hekima kwenye mambo yenu
Kama msimamo tu Hilo linafanyiwa kazi
 
Back
Top Bottom