Jinsi ya kumfanya mwanamke akuheshimu na aheshimu muda wako

Awe na pesa asiwe na pesa lazima kigezo awe na mvuto pisi iliyosimama kazi mbovu hapana.

Raha ya pesa uzile na manzi mrembo asikwambie mtu. Hata ukitoka naye outing mkiingia kiwanja watazamaji waseme yess chuma hiko kinaingia
Na ukiwa na Pesa ndio utawapata warembo wenye mvuto, kikubwa ujue kugharamia tu,

Wewe nenda hata sehemu za starehe za high class uone pisi za huko kama zimeshushwa walai, wajiuliza huyu hata toi anaenda kweli? Watekeee, mideko kama yote [emoji23], so tunarudi kule kule tafuta pesaaaaa
 
Na ukiwa na Pesa ndio utawapata warembo wenye mvuto, kikubwa ujue kugharamia tu,
Wewe Dr mbona hutaki kulegeza fuvu uelewe? 😀

Nimesema tukiwa na pesa tunahudumia pisi kali tu zenye mvuto ambazo hata ukienda nazo sehemu za starehe za high class hauhaibiki akikushika mkono au akikuchum kwa shavu au lips. Tutatafuta pesa kwa ajili ya warembo tu

Wabovu tutadeal nao tukifulia
 
Wewe Dr mbona hutaki kulegeza fuvu uelewe? 😀

Nimesema tukiwa na pesa tunahudumia pisi kali tu zenye mvuto ambazo hata ukienda nazo sehemu za starehe za high class hauhaibiki akikushika mkono au akikuchum kwa shavu au lips. Tutatafuta pesa kwa ajili ya warembo tu

Wabovu tutadeal nao tukifulia
 
Scarcity is the way to go
 
Asili ya mwanamke ni kuharibu mambo.

Asili ya mwanaume ni kuweka vitu pamoja/ kuvifanya viwe vya sawa/kawaida.
Man mwanamke ni wa kuchapa na kusepa,ukioa mali mwandike mama hizo nyingine ni kupoteza muda tu,kiumbe mwanamke ni nuksi tangu enzi,kukagu kagua mipaka mwishowe utakuta minyau ufe na presha...POTELEA MBALI
 
Wewe ndio unakaza fuvu, hapa anaambiwa kijana atafute pesa apate heshima anayoitaka, mambo ya pisi kali sisi hatutaki kujua ni matumizi yako mwenyewe, kikubwa TAFUTA PESAAAAAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…