Siwezi kubishana Mimi!nimekujibu hivi,"wewe una dini yako na mimi nna yangu"Uislamu umeamrisha wapi kukamua maiti mavi ?
Weka andiko hapa tulione
Wacha kuchanganya Dini na Ushirikina.
Hoka ni he mnakamkamua ili iweje?Una kichwa kizito sana...
Hufahamu uchafu unaopatikana tumboni?
Dini zina mafundisho.Siwezi kubishana Mimi!nimekujibu hivi,"wewe una dini yako na mimi nna yangu"
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
"Hoka ni he"Hoka ni he mnakamkamua ili iweje?
Unafahamu maana ya ushirikina?Kwani Kukamua Mavi maiti ni mawazo ya Nani ?
Weka hapa aliyeruhusu huo ushirikina.
Mambo ya Kishirikina huwa yanafichwafichwa Tu.
Mambo ya haki yanawekwa hadharani.
Mungu hawezi kuruhusu huo Uchafu.
Nikukumbushe kaa ukifahamu kama ilivyosiku yako ya kuzaliwa basi kaa ukijua kila mwaka utakaouvuka tambua unavuka tarehe, mwezi na siku yako ya kifoHaya mathreads ya kijinga sana, kuna dini kila kukicha wanaongelea maiti mara kufa mara kuzikana.
Maisha ni mafupi, furahia kipindi ambacho upo hai.
Kila mtu atakufa lakini isiwe kigezo cha kukumbushana kila siku.
Uzi wa kijinga
Kama huo Ni ujinga na ule wa kumvika MASUTI NA MASHELA MAKOROKORO KIBAO TU UTAITWAJE????mtu akifa amekufa huo ujinga wote wa nini
Nyie zile suti munazowavisha ni zanini!
Au anaenda kugombea madaraka flani kaburini.
Uislamu ni Raha sana yni unatakiwa upelekwe kwa Mola wako ukiwa msafiiii na hata ukipelekwa kaburini unasindikizwa mpka pale ndani ya kaburi hebu angalia huruma na upendo wa Uislamu kwa mwanadamu sasa njoo upnde wa pili huku unashushwa na makamba kaburini ata hawataki ata kukusindikiza [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Unahangaika kuosha kitu ambaco hapo hapo unadumbukiza kwenye uchafu wa udongo kesho yake unakuta funza wameanza kazi yake , waarabu waliwapata kweli waafrika na ili kukubali maigizo hayo watakuaminisha kaburini kuna maisha na kuna adhabu hutolewa huko na mtu aliyepachikwa jina la taifa teule eti IZRAEL MTOA ROHO kwanini asiwe saudi arabia mtoa roho mnamsingiziea taifa ambalo hata hawafuati imani yenu?
Hupaswi kuogopa 😁Mungu anisaidie naogopa maiti jamani [emoji24][emoji24]
Hayo maji ya kutokea huko huwa wanayauza yakiwa kizimba cha uchawi ndugu zetu hawa hawana dogo ni malighafi muhimu sana kwenye ulozi hukumu ya Mungu aliye hai inawasubiri.Sijaelewa kumkamua tumbo, mnamkamua Nini mavi au, na muhimu kumtapisha,
Toa uthibitisho wa ukisemacho bila ya uthibitisho ni porojo tu hizi kma porojo nyingineHayo maji ya kutokea huko huwa wanayauza yakiwa kizimba cha uchawi ndugu zetu hawa hawana dogo ni malighafi muhimu sana kwenye ulozi hukumu ya Mungu aliye hai inawasubiri.
Wachawi wanaofanya hayo wameshashuhudia hayo na bei ni ghali kweli kweli. Kuhusu nani alisema tafuta shuhuda za wachawi wanaongelea hili. Si umeona mwingine kasema kuwa hizo ni nyama zinasafishwa iwe rahisi kuliwa. Mtu kafa kuna haja gani mwili unaoenda kuoza kuoshwa hivyo zaidi ya ushirikina tu. Roho, nafsi ila mwili ni wa kuoza tu mbwembwe zote za nini???!!Toa uthibitisho wa ukisemacho bila ya uthibitisho ni porojo tu hizi kma porojo nyingine
Tunaomba Aya.Na iyo apoView attachment 2011276
Sikiliza nikwambie ww we ata huujui Uislamu hlf unasema tunamchafua AllahTunaomba Aya.
Allah anawaamuru kukamua mavi ya maiti.
Nyinyi ndio mnao uchafua Uislamu.
La ni Bora useme tu kuwa ni tamaduni za kale za baadhi ya Waarabu nanyi mmeiga.
Wacha kabisa Kumsingiza Allah Kwa Jambo hili.
Jinga Sana Wewe
Hujajibu swali langu zaidi ya kuongelea porojo zakoWachawi wanaofanya hayo wameshashuhudia hayo na bei ni ghali kweli kweli. Kuhusu nani alisema tafuta shuhuda za wachawi wanaongelea hili. Si umeona mwingine kasema kuwa hizo ni nyama zinasafishwa iwe rahisi kuliwa. Mtu kafa kuna haja gani mwili unaoenda kuoza kuoshwa hivyo zaidi ya ushirikina tu. Roho, nafsi ila mwili ni wa kuoza tu mbwembwe zote za nini???!!
Najua ni mtarajiwa ila mim naogopa maiti mno natishika sanaHupaswi kuogopa 😁
Hata ww ni mtarajiwa pia