Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Siwezi kubishana Mimi!nimekujibu hivi,"wewe una dini yako na mimi nna yangu"

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Dini zina mafundisho.
Nipe hilo fundisho, limeandikwa wapi kwenye kitabu cha Dini hiyo tuone kweli ni maagizo ya Dini husika.
Huo ni ushirikina dhahiri, na ndio maana unafichwaficha.
Ushirikina hauwekwi wazi hata kidogo.
Mungu hawezi kuamrisha huo udhalimu.
 
Haya mathreads ya kijinga sana, kuna dini kila kukicha wanaongelea maiti mara kufa mara kuzikana.

Maisha ni mafupi, furahia kipindi ambacho upo hai.

Kila mtu atakufa lakini isiwe kigezo cha kukumbushana kila siku.

Uzi wa kijinga
Nikukumbushe kaa ukifahamu kama ilivyosiku yako ya kuzaliwa basi kaa ukijua kila mwaka utakaouvuka tambua unavuka tarehe, mwezi na siku yako ya kifo
 
Sasa nyie mlokua sio waislamu mnadhihaki mafundisho ya Uislamu ata hamjui kilichomo kwenye Uislamu yni mna shida nyinyi
Embu someni aya hizo View attachment 2011273
Screenshot_20211115-131551_Quran.jpg
 
Unahangaika kuosha kitu ambaco hapo hapo unadumbukiza kwenye uchafu wa udongo kesho yake unakuta funza wameanza kazi yake , waarabu waliwapata kweli waafrika na ili kukubali maigizo hayo watakuaminisha kaburini kuna maisha na kuna adhabu hutolewa huko na mtu aliyepachikwa jina la taifa teule eti IZRAEL MTOA ROHO kwanini asiwe saudi arabia mtoa roho mnamsingiziea taifa ambalo hata hawafuati imani yenu?
Uislamu ni Raha sana yni unatakiwa upelekwe kwa Mola wako ukiwa msafiiii na hata ukipelekwa kaburini unasindikizwa mpka pale ndani ya kaburi hebu angalia huruma na upendo wa Uislamu kwa mwanadamu sasa njoo upnde wa pili huku unashushwa na makamba kaburini ata hawataki ata kukusindikiza [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Najivunia kua Muislamu
 
Hayo maji ya kutokea huko huwa wanayauza yakiwa kizimba cha uchawi ndugu zetu hawa hawana dogo ni malighafi muhimu sana kwenye ulozi hukumu ya Mungu aliye hai inawasubiri.
Toa uthibitisho wa ukisemacho bila ya uthibitisho ni porojo tu hizi kma porojo nyingine
 
Toa uthibitisho wa ukisemacho bila ya uthibitisho ni porojo tu hizi kma porojo nyingine
Wachawi wanaofanya hayo wameshashuhudia hayo na bei ni ghali kweli kweli. Kuhusu nani alisema tafuta shuhuda za wachawi wanaongelea hili. Si umeona mwingine kasema kuwa hizo ni nyama zinasafishwa iwe rahisi kuliwa. Mtu kafa kuna haja gani mwili unaoenda kuoza kuoshwa hivyo zaidi ya ushirikina tu. Roho, nafsi ila mwili ni wa kuoza tu mbwembwe zote za nini???!!
 
Tunaomba Aya.
Allah anawaamuru kukamua mavi ya maiti.
Nyinyi ndio mnao uchafua Uislamu.
La ni Bora useme tu kuwa ni tamaduni za kale za baadhi ya Waarabu nanyi mmeiga.

Wacha kabisa Kumsingiza Allah Kwa Jambo hili.
Jinga Sana Wewe
Sikiliza nikwambie ww we ata huujui Uislamu hlf unasema tunamchafua Allah

uyo Allah unamjua ww na unamuamini?
 
Wachawi wanaofanya hayo wameshashuhudia hayo na bei ni ghali kweli kweli. Kuhusu nani alisema tafuta shuhuda za wachawi wanaongelea hili. Si umeona mwingine kasema kuwa hizo ni nyama zinasafishwa iwe rahisi kuliwa. Mtu kafa kuna haja gani mwili unaoenda kuoza kuoshwa hivyo zaidi ya ushirikina tu. Roho, nafsi ila mwili ni wa kuoza tu mbwembwe zote za nini???!!
Hujajibu swali langu zaidi ya kuongelea porojo zako

Nikuulize ivi nyinyi mkiwa mnawavisha maiti zenu masuti na maguo ya gharama na majeneza ya gharama ivi kweli untka kusema nani anpta hasara hpa mna ivi vyote vinaenda kuozea uko kaburini hebu nijibu kwanza we KAFIRI
 
Back
Top Bottom