Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Will you please elaborate
Kukamua mavi ya maiti ni ushirikina.
Maiti ni mwili wa binadamu uliokufa na kuoza.
Maiti yote ni Uchafu, kuanzia damu, mkojo, mavi, mwili nk.

Yanachaguliwa mavi Tu
Unayakamua mavi ya maiti unayafukia chumbani au kuifadhi kwenye chombo, mwili unauzika kaburini

Wewe kama binadamu uliyestaarabika.

Hili tendo Mantiki (logic) yake ninini ?
Kama sio Ushirikina.
 
Daah kumbe zile stori za utotoni kua kuna jamii fulani kwenye swala la uoshaji maiti wanaibinya hadi itoe dust zote mwilini kumbe ilikua kweli
 
Kukamua mavi ya maiti ni ushirikina.
Maiti ni mwili wa binadamu uliokufa na kuoza.
Maiti yote ni Uchafu, kuanzia damu, mkojo, mavi, mwili nk.

Yanachaguliwa mavi Tu
Unayakamua mavi ya maiti unayafukia chumbani au kuifadhi kwenye chombo, mwili unauzika kaburini

Wewe kama binadamu uliyestaarabika.

Hili tendo Mantiki (logic) yake ninini ?
Kama sio Ushirikina.
Ok...
Hayo ni mawazo yako
Na ni vizuri pia yaheshimiwe
 
Unahangaika kuosha kitu ambaco hapo hapo unadumbukiza kwenye uchafu wa udongo kesho yake unakuta funza wameanza kazi yake , waarabu waliwapata kweli waafrika na ili kukubali maigizo hayo watakuaminisha kaburini kuna maisha na kuna adhabu hutolewa huko na mtu aliyepachikwa jina la taifa teule eti IZRAEL MTOA ROHO kwanini asiwe saudi arabia mtoa roho mnamsingiziea taifa ambalo hata hawafuati imani yenu?
 
Unahangaika kuosha kitu ambaco hapo hapo unadumbukiza kwenye uchafu wa udongo kesho yake unakuta funza wameanza kazi yake , waarabu waliwapata kweli waafrika na ili kukubali maigizo hayo watakuaminisha kaburini kuna maisha na kuna adhabu hutolewa huko na mtu aliyepachikwa jina la taifa teule eti IZRAEL MTOA ROHO kwanini asiwe saudi arabia mtoa roho mnamsingiziea taifa ambalo hata hawafuati imani yenu?
Umejichanganya sana
unaandika kwa hisia binafsi
Unashangaa kuoshwa kwa maiti
Vp wewe ukifa utakavyo zikwa na suti, itakuwa na kazi gani? Si wa kuzike uchi...
 
Unahangaika kuosha kitu ambaco hapo hapo unadumbukiza kwenye uchafu wa udongo kesho yake unakuta funza wameanza kazi yake , waarabu waliwapata kweli waafrika na ili kukubali maigizo hayo watakuaminisha kaburini kuna maisha na kuna adhabu hutolewa huko na mtu aliyepachikwa jina la taifa teule eti IZRAEL MTOA ROHO kwanini asiwe saudi arabia mtoa roho mnamsingiziea taifa ambalo hata hawafuati imani yenu?
Unabidi ufahamu pia huyo aliepachikwa jina existed even before the formation of world's states..
 
Haya mathreads ya kijinga sana, kuna dini kila kukicha wanaongelea maiti mara kufa mara kuzikana.

Maisha ni mafupi, furahia kipindi ambacho upo hai.

Kila mtu atakufa lakini isiwe kigezo cha kukumbushana kila siku.

Uzi wa kijinga
 

Luka 9:60​

Yesu akamwambia, “Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze ufalme wa Mungu.”
B
Mkuu Eddy, Hapa sijaelewa. Yesu alimaanisha nini kusema hivyo?.

Binafsi sijaona mantiki ya kumkamua tumbo. Ila suala la kuweka mwili ili uwe vizuri naona ni sawa tu. Mfano kumsafisha mwili na kumvalisha nguo nzuri, kumchana nywele, kusafisha Pua au uso. Si huwa kunakuwaga na zoezi la kuaga mwili wa Marehemu pale Msibani?. Hivyo kutoa heshima za mwisho kwa mtu anaeonekana vizuri kama alivyokuwa Hai, wala sio tatizo.
 
Haya mathreads ya kijinga sana, kuna dini kila kukicha wanaongelea maiti mara kufa mara kuzikana.

Maisha ni mafupi, furahia kipindi ambacho upo hai.

Kila mtu atakufa lakini isiwe kigezo cha kukumbushana kila siku.

Uzi wa kijinga
Wasio muamini mungu ndio hawapendagi kusikia kitu kinaitwa kifo
Je wewe ni mmoja wao?😁
 
Ila wanaadamu subhaana laah!maada inahusu waislam...wee isokuhusu kwa ukaashifu wakati hakuna ulipoongelewa vibaya!!
Tujifunze kuheshimiana baasi na kuheshinu imani za wengine!sawa wanakamuliwa kinyesi ndivyo maamrisho yao yalivyoagiza jamani..we waumia wapi?

"Hamtaabudu nnachokiabidu" na "wala sitaabudu mnachokiabudu"," ninyi MNA dini yenu na mimi nna dini yangu"

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Ila wanaadamu subhaana laah!maada inahusu waislam...wee isokuhusu kwa ukaashifu wakati hakuna ulipoongelewa vibaya!!
Tujifunze kuheshimiana baasi na kuheshinu imani za wengine!sawa wanakamuliwa kinyesi ndivyo maamrisho yao yalivyoagiza jamani..we waumia wapi?

"Hamtaabudu nnachokiabidu" na "wala sitaabudu mnachokiabudu"," ninyi MNA dini yenu na mimi nna dini yangu"

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Uislamu umeamrisha wapi kukamua maiti mavi ?
Weka andiko hapa tulione

Wacha kuchanganya Dini na Ushirikina.
 
Haya mathreads ya kijinga sana, kuna dini kila kukicha wanaongelea maiti mara kufa mara kuzikana.

Maisha ni mafupi, furahia kipindi ambacho upo hai.

Kila mtu atakufa lakini isiwe kigezo cha kukumbushana kila siku.

Uzi wa kijinga
Wala Usifiche
Sema Tu Waislamu ndo mada zao hizi.
Iwe kwenye Mitandao au Misikitini.
Mada za kumkamua maiti mavi na kuyahifadhi Chumbani.
 
Back
Top Bottom