Jinsi ya kupika biriani ya kawaida

Jinsi ya kupika biriani ya kawaida

Ok,nimeelewa ni rangi zenye taste.

Wait nikatafute rangi,

Hazina lugha nyingine?
1.binzari nyembamba
2.Abdala sinni

Kutopata hizi naona sitokamilisha biryan,nitapika vitu za ajabu.
Rangi ni colour food wanaita wengine huweka kwenye barafu(ice cream)
Mchele ni basmati
Kabla hujaweka km mtoa mada alivoeleza hakikisha unakaanga vitunguu maji pembeni Hadi viw brown Kisha viweke pembeni
Viungo ni vingi kama huelew
Nunua birian masala Inakuwa na kilakitu tayari
Mpaji Mungu upike na wewe
Intelligent businessman maelekezo hayo ongezea na ya mtoa mada
 
Rangi ni colour food wanaita wengine huweka kwenye barafu(ice cream)
Mchele ni basmati
Kabla hujaweka km mtoa mada alivoeleza hakikisha unakaanga vitunguu maji pembeni Hadi viw brown Kisha viweke pembeni
Viungo ni vingi kama huelew
Nunua birian masala Inakuwa na kilakitu tayari
Mpaji Mungu upike na wewe
Intelligent businessman maelekezo hayo ongezea na ya mtoa mada
Je kukodi uje upike kwetu, Bei gani??😂🤓
 
Rangi ni colour food wanaita wengine huweka kwenye barafu(ice cream)
Mchele ni basmati
Kabla hujaweka km mtoa mada alivoeleza hakikisha unakaanga vitunguu maji pembeni Hadi viw brown Kisha viweke pembeni
Viungo ni vingi kama huelew
Nunua birian masala Inakuwa na kilakitu tayari
Mpaji Mungu upike na wewe
Intelligent businessman maelekezo hayo ongezea na ya mtoa mada
Ahsante lakini nimeshindwa kabisa rafiki.
 
Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.

Moja kwa moja niingie jikoni

MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Mdalasini
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida

wazichanganya kwenye sufuria moja then watia jikoni

Kisha wapika wali ambao watia rangi mbili,

Viazi watia rangi,chumvi kisha wakaanga

Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya kwenye mchuzi wako.

Mpaka hapo biriani liko tayari kuliwa.
ni chakula ambacho huwa sikipendi kabisa, nilishajaribu kula mara kadhaa nikashindwa. kwanza huwa naona kama kina viashiria ya uzinzi ndani yake.
 
Back
Top Bottom