Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Yaan mi chapati kupika jamani kwanini hazinitendei hakii,,,mfyyuuu kaeni na machapati yenuuu

Hauko mwenyewe mbona?!, yamenikuta ya kunikuta yaani hizi ilibidi nizivunje na kitu kizito.....I give up na chapati!
 

Attachments

  • IMG339.jpg
    IMG339.jpg
    217.2 KB · Views: 133
farkhina,....jamani mbona zangu zimetoka hivi?!
 

Attachments

  • IMG340.jpg
    IMG340.jpg
    133.7 KB · Views: 149
Last edited by a moderator:
farkhina,....jamani mbona zangu zimetoka hivi?!


Kwanza naona umesukuma nene sana alafu umechoma moto mkali ndani hazijawiva kabisa,wewe unahisi kosa lako wapi? Umetumia vipimo kama hapo juu na kila hatua?
 
Last edited by a moderator:
Hauko mwenyewe mbona?!, yamenikuta ya kunikuta yaani hizi ilibidi nizivunje na kitu kizito.....I give up na chapati!

Usitake tamaa jaribu tena na tena ila jua wapi umekosea
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kwanza naona umesukuma nene sana alafu umechoma moto mkali ndani hazijawiva kabisa,wewe unahisi kosa lako wapi? Umetumia vipimo kama hapo juu na kila hatua?

Jamani wewe ni mtaalam haswaa!, ni kweli hazikuiva ndani!, OK so tatizo nilisukuma nene sana, ni kweli kabisa hata moto niliweka mwingi sana nakumbuka ilibidi niwe natoa pan kwenye moto
 
Jamani wewe ni mtaalam haswaa!, ni kweli hazikuiva ndani!, OK so tatizo nilisukuma nene sana, ni kweli kabisa hata moto niliweka mwingi sana nakumbuka ilibidi niwe natoa pan kwenye moto



Yeah ni hivo ukiweza hapo tu chapati tayar mana umepiga hatua ukandaji zimekandika zinaonekana
 
  • Thanks
Reactions: kui
Napenda kweli chapati,ila maandalizi yakd ya kupika ndio shida. Ila naamini kwa analysis ya Farkina na wengineo humu jamvini nitapika kitu muruwaaaaa.
 
Back
Top Bottom