Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Mahitaji

Unga kg 1 na robo

Chumvi kiasi

Samli vijiko 6 vya kulia......vijaze

Mafuta vijiko 5....


Maji ya baridi (yaliowekwa kwa friji).....

Namna ya kutaarisha.....


Weka unga katika bakuli mimina na chumvi changanya vizur


Pasha moto samli iache ipoe kidogo tu then mimina nusu ya hiyo samli katika unga.... nusu iliobaki weka

Changanya vizuri.....

Weka maji hadi utengeneze donge (usiwe maji mengi sana)....

Kanda hadi iwe laini (hii muhimu kwa ajili ya soft chapati).....

Kata maduara ukuubwa upendano then weka kwa nusu saa ilainike....

Sukuma chapati na weka mafuta 1/2 tablespoon alafu kunja na weka pembeni....


Wacha zilainike.....

Sukuma tena utengeneze duara

Kaanga chapati.....tumia 1 tablespoon kwa kila chapati

Tayar kwa kuliwa

Yummy yummy.....
 
Mahitaji

Unga kg 1 na robo

Chumvi kiasi

Samli vijiko 6 vya kulia......vijaze

Mafuta vijiko 5....


Maji ya baridi (yaliowekwa kwa friji).....

Namna ya kutaarisha.....


Weka unga katika bakuli mimina na chumvi changanya vizur


Pasha moto samli iache ipoe kidogo tu then mimina nusu ya hiyo samli katika unga.... nusu iliobaki weka

Changanya vizuri.....

Weka maji hadi utengeneze donge (usiwe maji mengi sana)....

Kanda hadi iwe laini (hii muhimu kwa ajili ya soft chapati).....

Kata maduara ukuubwa upendano then weka kwa nusu saa ilainike....

Sukuma chapati na weka mafuta 1/2 tablespoon alafu kunja na weka pembeni....


Wacha zilainike.....

Sukuma tena utengeneze duara

Kaanga chapati.....tumia 1 tablespoon kwa kila chapati

Tayar kwa kuliwa
Kuchuruzisha wenzio madenda tu! haya ngoja nim text wifi yako afanye mlo wa usiku chapati kwa rost ya maini leo!
 
Hata mafuta tu ya kupikia yanatosha. Ila kama utakua una blue band sio mbaya kuweka hasa wakati wa kuukanda unga wako

Blueband labda kukandia ila kwa kukaangia chapati zawa nyeusii kwa vile yaungua haraka
 
Tumia samli hii kwa kuongezea unaweza kukandia yai ila usitie ute mweupe weka kiini kisha kipige na maji ndio ukandie jaribu na hiyo samli chapati huwa laini sana ImageUploadedByJamiiForums1410223405.131154.jpg
 
Za kusukuma zina utamu wake, tofauti na za kumimina........
sema tu kale kamsemo ka sizitaki mbichi hizi kanasaidiaga.....
ila mwenzenu hapo nkisukuma hazitoki na shape nzuri ya duara, mara inakuja rectangle mara semi-circle, mara ziwe na masikio, kiukweli zinakuwaga na shape mbayaa hadi nalichukia hilo zoezi
 
ila mwenzenu hapo nkisukuma hazitoki na shape nzuri ya duara, mara inakuja rectangle mara semi-circle, mara ziwe na masikio, kiukweli zinakuwaga na shape mbayaa hadi nalichukia hilo zoezi

Lakini laini na tamu mdomoni? Manake kama ndivyo, wageni tunaweza kujifanya hatujaona shape zake...(joke).
 
ila mwenzenu hapo nkisukuma hazitoki na shape nzuri ya duara, mara inakuja rectangle mara semi-circle, mara ziwe na masikio, kiukweli zinakuwaga na shape mbayaa hadi nalichukia hilo zoezi

Jaribu hivo hivo hadi utaweza my dear
 
Huu uzi nimechekaaa kwa kweli kupika chapati ni shughuli kwa wengi wetu
 
Hahahaha hata na wewe pia?

Mimi nishajua kusukuma zinakua round hazina masikio tatizo zinakua ngumu ngumu ila nimenukuu maelezo yako,tatizo mi nilidekezwa sana nilikua siingii jikoni wali nimejua kuupika nikiwa form one lo,
watanikoma mtaa wa pilii
 
Waweza Kutumiatu Mafuta Yamaji Bila Siag Halafu Moto Usiwe Mdogo Sana Au Mkubwasana Nazikawalaini Nakuchambuka Sana Pia Uweke Sukari Kidogo Samahani Kwakuingilia Mapishi
 
Mahitaji

Unga kg 1 na robo

Chumvi kiasi

Samli vijiko 6 vya kulia......vijaze

Mafuta vijiko 5....


Maji ya baridi (yaliowekwa kwa friji).....

Namna ya kutaarisha.....


Weka unga katika bakuli mimina na chumvi changanya vizur


Pasha moto samli iache ipoe kidogo tu then mimina nusu ya hiyo samli katika unga.... nusu iliobaki weka

Changanya vizuri.....

Weka maji hadi utengeneze donge (usiwe maji mengi sana)....

Kanda hadi iwe laini (hii muhimu kwa ajili ya soft chapati).....

Kata maduara ukuubwa upendano then weka kwa nusu saa ilainike....

Sukuma chapati na weka mafuta 1/2 tablespoon alafu kunja na weka pembeni....


Wacha zilainike.....

Sukuma tena utengeneze duara

Kaanga chapati.....tumia 1 tablespoon kwa kila chapati

Tayar kwa kuliwa

Heloo somo
 
Waweza Kutumiatu Mafuta Yamaji Bila Siag Halafu Moto Usiwe Mdogo Sana Au Mkubwasana Nazikawalaini Nakuchambuka Sana Pia Uweke Sukari Kidogo Samahani Kwakuingilia Mapishi

Usijali hujaingilia kitu hapa twabadilishana ujuzi wala hamna tatizo
 
Asante Fakhrina..niulize swali hivi chapati ipi ni tamu na laini zaidi ..ya kukanda na maji baridi au ya kukanda maji moto..nasubiri maelekezo..nakuaminia
 
Back
Top Bottom