measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,414
Mahitaji
Unga kg 1 na robo
Chumvi kiasi
Samli vijiko 6 vya kulia......vijaze
Mafuta vijiko 5....
Maji ya baridi (yaliowekwa kwa friji).....
Namna ya kutaarisha.....
Weka unga katika bakuli mimina na chumvi changanya vizur
Pasha moto samli iache ipoe kidogo tu then mimina nusu ya hiyo samli katika unga.... nusu iliobaki weka
Changanya vizuri.....
Weka maji hadi utengeneze donge (usiwe maji mengi sana)....
Kanda hadi iwe laini (hii muhimu kwa ajili ya soft chapati).....
Kata maduara ukuubwa upendano then weka kwa nusu saa ilainike....
Sukuma chapati na weka mafuta 1/2 tablespoon alafu kunja na weka pembeni....
Wacha zilainike.....
Sukuma tena utengeneze duara
Kaanga chapati.....tumia 1 tablespoon kwa kila chapati
Tayar kwa kuliwa
Yummy yummy.....
