Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Tafadhali naomba kujua samli,, kiingereza chake ama naipataje?
Ushamba jameni
 
umenikumbusha samli, natumia ile ya tanga fresh mjini hapa dar imekuwa adimu kweli....
 
Mahitaji

Unga kg 1 na robo

Chumvi kiasi

Samli vijiko 6 vya kulia......vijaze

Mafuta vijiko 5....


Maji ya baridi (yaliowekwa kwa friji).....

Namna ya kutaarisha.....


Weka unga katika bakuli mimina na chumvi changanya vizur


Pasha moto samli iache ipoe kidogo tu then mimina nusu ya hiyo samli katika unga.... nusu iliobaki weka

Changanya vizuri.....

Weka maji hadi utengeneze donge (usiwe maji mengi sana)....

Kanda hadi iwe laini (hii muhimu kwa ajili ya soft chapati).....

Kata maduara ukuubwa upendano then weka kwa nusu saa ilainike....

Sukuma chapati na weka mafuta 1/2 tablespoon alafu kunja na weka pembeni....


Wacha zilainike.....

Sukuma tena utengeneze duara

Kaanga chapati.....tumia 1 tablespoon kwa kila chapati

Tayar kwa kuliwa

Matango mwitu ayo dada
 
Thanks farkhina@
Kesho nafanya jaribio la kwanza baada ya kupata hii recipe.

Mi mtu alikuwa akiniambia anataka chapati za kusukuma nakuwa mkali pasipo sababu maana ni majanga au nasingizia tu chochote ilimradi nisipike
 
Thanks farkhina@
Kesho nafanya jaribio la kwanza baada ya kupata hii recipe.

Mi mtu alikuwa akiniambia anataka chapati za kusukuma nakuwa mkali pasipo sababu maana ni majanga au nasingizia tu chochote ilimradi nisipike

Jaribu nakutakia Kheir ila zikitoka mbaya usivunjike moyo mambo ya kupika hayataki papara kidogo kidogo utaweza
 
Hahahahahaha lol! Umenichekesha aisee si ungekuwa mkweli tu na kusema siri yako badala ya kuwa mkali? Kila la heri katika majaribio yako ila usikate tamaa kwa matokeo ya mara ya kwanza.

Thanks farkhina@
Kesho nafanya jaribio la kwanza baada ya kupata hii recipe.

Mi mtu alikuwa akiniambia anataka chapati za kusukuma nakuwa mkali pasipo sababu maana ni majanga au nasingizia tu chochote ilimradi nisipike
 
Back
Top Bottom