Hatuzungumzii nutrient mkuu tunazungumzia utamu wake ikiliwa na ugari,Hujui faida za hiyo mboga wewe
Kama mboga zingekuwa ni Walimu basi kabichi ni mwalimu wa Walimu
Chochote ambacho unakitaka kwenye mboga yoyote basi Ukila kabichi unavipata vyote
Aise upo kama mimi ndugu,yaani kabichi na spinachi sijawahi kuzielewa kabisa.Hata home kwangu nilishawaambia kama wakipiga hayo makitu mimi waniandalie Mrenda_Bamia au hata dagaa nitakula.Kabichi hata hamu ya kula siipatiHivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Aisee we kama Mimi,, napenda mboga za majani lakini sio kabichiHivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,
Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.
Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?
Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Ni bora spinachi kidogo lakino siyo kabichi asee.Aise upo kama mimi ndugu,yaani kabichi na spinachi sijawahi kuzielewa kabisa.Hata home kwangu nilishawaambia kama wakipiga hayo makitu mimi waniandalie Mrenda_Bamia au hata dagaa nitakula.Kabichi hata hamu ya kula siipati
mkuu hicho cha kukatia kinapatikana wapiView attachment 877679
Raha ya kebichi inaanzia kwenye ukataji
Kariakoo kwa Wacihinamkuu hicho cha kukatia kinapatikana wapi
bei gani mkuuKariakoo kwa Wacihina
Na ikatwe ndogondogoHa ha ha umenikumbusha Mbali mpaka nimecheka Sio siri nimepata tabu sana ha ha ha utotoni yani nilikuwa sipendi kula kabichi na ugali yani Siku nikisia wanapika kabichi nakosa raha, nilikuwa Nakula ugali unazunguka mdomoni hamna radha kama azabu vile,ugali ulikuwa haupandi yani Da ! ! !, Siku hiyo Nakula basi tu ,kweli asee kabichi na ugali sio poa, labda umpate anayejua kuipika hapo sawa alafu iwe na harufu ya kuungua alafu iwe imekaangwa na mafuta mengi hapo kidogo angalau na isiwe na maji
Hii inafika laki 3 lakini zipo za bei nafuubei gani mkuu
ahsante mkuu kinakata kabeji tu peke yake?Hii inafika laki 3 lakini zipo za bei nafuu
Sasa mwenzio Zero huwa anakata kata kwa kutumia panga lazima kabichi alione nuksi.View attachment 877679
Raha ya kebichi inaanzia kwenye ukataji
Mapishi ni tofauti kabichi ukichanganya na nyanya ukaikaanga vizuri unaweza ukajiuma mkuu Huku ukiichanganya na samaki au nyamaHatuzungumzii nutrient mkuu tunazungumzia utamu wake ikiliwa na ugari,
Kama ni nutrient ata kwenye mwalovera zipo lakini mbona Hainywewi kama juice baada ya mlo.?
Kuna siku wamenichemshia kabichi mixer na ngogwe na mabiringanya kidogo nitaapikeKwa nini mnaizungumzia kabichi na nyama hapa tunataka kabichi yenyewe single.