Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Hujui faida za hiyo mboga wewe
Kama mboga zingekuwa ni Walimu basi kabichi ni mwalimu wa Walimu
Chochote ambacho unakitaka kwenye mboga yoyote basi Ukila kabichi unavipata vyote
Hatuzungumzii nutrient mkuu tunazungumzia utamu wake ikiliwa na ugari,
Kama ni nutrient ata kwenye mwalovera zipo lakini mbona Hainywewi kama juice baada ya mlo.?
 
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,

Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.

Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?

Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Aise upo kama mimi ndugu,yaani kabichi na spinachi sijawahi kuzielewa kabisa.Hata home kwangu nilishawaambia kama wakipiga hayo makitu mimi waniandalie Mrenda_Bamia au hata dagaa nitakula.Kabichi hata hamu ya kula siipati
 
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,

Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.

Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?

Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Aisee we kama Mimi,, napenda mboga za majani lakini sio kabichi
 
Aise upo kama mimi ndugu,yaani kabichi na spinachi sijawahi kuzielewa kabisa.Hata home kwangu nilishawaambia kama wakipiga hayo makitu mimi waniandalie Mrenda_Bamia au hata dagaa nitakula.Kabichi hata hamu ya kula siipati
Ni bora spinachi kidogo lakino siyo kabichi asee.
 
Ha ha ha umenikumbusha Mbali mpaka nimecheka Sio siri nimepata tabu sana ha ha ha utotoni yani nilikuwa sipendi kula kabichi na ugali yani Siku nikisia wanapika kabichi nakosa raha, nilikuwa Nakula ugali unazunguka mdomoni hamna radha kama azabu vile,ugali ulikuwa haupandi yani Da ! ! !, Siku hiyo Nakula basi tu ,kweli asee kabichi na ugali sio poa, labda umpate anayejua kuipika hapo sawa alafu iwe na harufu ya kuungua alafu iwe imekaangwa na mafuta mengi hapo kidogo angalau na isiwe na maji
Na ikatwe ndogondogo
 
Hatuzungumzii nutrient mkuu tunazungumzia utamu wake ikiliwa na ugari,
Kama ni nutrient ata kwenye mwalovera zipo lakini mbona Hainywewi kama juice baada ya mlo.?
Mapishi ni tofauti kabichi ukichanganya na nyanya ukaikaanga vizuri unaweza ukajiuma mkuu Huku ukiichanganya na samaki au nyama
 
Back
Top Bottom