Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Jinsi ya kupika kabichi pekee na yenye mchanganyiko na mboga za aina nyingine

Nikiwa mdogo nilikua najisikia vibaya sana wakipika ugali kabichi hadi leo inaniwia vigumu kuupenda ugali kabichi labda uwe umekaangiwa na nyama ya kitimoto. Pia kabich haina nutrients za maana zinazohitajika mwilini na pia sio.nzuri kiafya kwa sababu inapuliziwa dawa maisha yake yote
 
Nikiwa mdogo nilikua najisikia vibaya sana wakipika ugali kabichi hadi leo inaniwia vigumu kuupenda ugali kabichi labda uwe umekaangiwa na nyama ya kitimoto. Pia kabich haina nutrients za maana zinazohitajika mwilini na pia sio.nzuri kiafya kwa sababu inapuliziwa dawa maisha yake yote
Mi mpaka kesho mkuu.
 
Hahaha kabeji kwa kweli haifai. Ni mara 100 sokoni ninunue mchicha kuliko hii mboga ya matunda(kabeji) maana kwenye mboga ya majani haipo.
 
Hivi ni nani aligundua kwamba kabichi ni Mboga asee,

Mbona tunatesana hivi si ni bora aliyegundua mrenda japo unatereza lakini ni mwake na ugari kitu kinaenda.

Hivi ugali na kabichi kuna ambae anauelewa kweli ?

Tuache tuseme tu ukweli ni bora nile ugali bila mboga kuliko kula ugali na kabichi.
Watanzania wengi wana uelewa mdogo kuhusu lishe na makundi ya mlo. Wanadhani mboga za majani ni sehemu ya mlo mkuu wa siku! Hahaaaaa. Mlo mkuu mezani wa ama mchana au usiku unahusisha protein na wanga tu. Mbogamboga, matunda, madini kama chumvi na vinginevyo ni ziada tu kwa utendaji bora wa mwili na vinatakiwa viwepo kidogo kwenye kila mlo wa siku. Ukila ugali na mlenda au kabeji pekee, hata ziwe kilo mia hujafanya chochote. Tujifunze elimu ya lishe. Tusome vitabu watanzania. Si kila kitu tusubiri tuelezwe!
 
daaah nimekumbuka kuna jamaa yangu alishawahi kunambia hawezi kula ugali na dagaa(misumali ya bati) hata siku moja.

Mungu fundi bhana, bahati mbaya nyumba yao imeungua na maisha yao yamedrop economically sababu ya ujenzi wa nyumba yao.

maisha anayoishi jamaa nayaelewa mimi anachokula naelewa mimi

wewe naweza kusema unamkufuru Mungu kama huyo jamaa yangu, .....kabichi ni kachumbari tu au sio??

ngoja yakukute mkuu hapo ndio utajua kwanini chips hazina ukoko

This Time Tomorrow
Unamaanisha kabichi ni mboga ya kimasikini co?
 
daaah nimekumbuka kuna jamaa yangu alishawahi kunambia hawezi kula ugali na dagaa(misumali ya bati) hata siku moja.

Mungu fundi bhana, bahati mbaya nyumba yao imeungua na maisha yao yamedrop economically sababu ya ujenzi wa nyumba yao.

maisha anayoishi jamaa nayaelewa mimi anachokula naelewa mimi

wewe naweza kusema unamkufuru Mungu kama huyo jamaa yangu, .....kabichi ni kachumbari tu au sio??

ngoja yakukute mkuu hapo ndio utajua kwanini chips hazina ukoko

This Time Tomorrow
Hahahaha kuna kabichi,kisavu na mlenda aisee hizi mboga sizipendi kweli kuna siku nilienda maeneo ya pwani huko karibu na mkuranga usiku wake walipika ugali na kisamvu dah kuwaambia hii mboga sili miyayusho ugenini da nilitafuta mboga nikaja kuangukia kwenye ngwara za kuku aisee [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Vyakula vnge tunakula kuokoa roho tu. Ila kuachana na factor za kiuchumi kusema ukweli kabech n baya aseee, m hata lipikweje sifurahii, sema .inategemea limekukuta kwenye hali gan, m mboga za majan ninazopenda kuliko zote n mnavu na tembele
 
Back
Top Bottom