Jinsi ya kupika makange ya samaki bila kutumia viungo vingi

Kwa style hii ndio uniambie nikonde sijui nibalance diet, siwezi kukuelewa. Pishi kama hili siezi kuacha kula hasirani, wanipeleke mloganzila nikawekewe puto tu.
Mloganzila ukienda hurudi, puto uwekewe la Nini sheikh ?
 
HV kufua nguo na vyupi zao huwa wanazifua kweli
 
mabinti jifunzeni kupika makachakacha huvunja ndoa (mahusiano) hamjui tuh
 
Viungo vingi sio utamu wa chakula bestie....ni vile tu unavyojua kuvitumia....ht Mie bado najifunza napenda insta page ya malkia food na food lovers Wana recipe simple na nzuri
Hv malkia na food lovers ni mtu mmja maake sauti zao km zinafanana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…