Dah safi sana LIKE vipi unaweza kwenda na chai?
kabisaa umewiva
Huu ugali wa kwenye steps Na wa kwenye picha mbona hauendani kaka?
mambo zenu wakuu leo ntafundisha jinsi ya kupika ugali
Fuata Steps Hizi
MAHITAJI
Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..
Step 1
Sikia Injika sufulia yako jikoni ikiwa na maji yenye unga kidogo. hakikisha maji utayoweka yatakutosha.Pia hakikisha moto unakua sio mwingi ni wastan.
Step 2
Haya anza kukorogea hadi pale maji yatapochemka na kua uji uji unaotokota.
Step 3
Umeshafanikiwa step 2? ,Haya weka unga kiasi kwenye sufuria huku ukianza kuusonga taratiiibu na ubanio. Staili ya kuusonga ni kama unauminya huku unauzungusha kwa mwiko.
Step 4
Utaona mabadiliko ule uji utakua mgumu kila unapoendelea kuusonga.Ukishaona mabadiliko Hayo jua ndo ivo tena ugali umeshaiva.
Step 5 (Mwisho)
Andaa Sahani au hotpot kisha uipue ugali wako.
HONGERA! Nguna ipo tayari kuliwa na mboga yoyote ile uliyoiandaa,inaweza ikawa samaki wa kukaanga or whatever.
Asanteni
View attachment 229008
Hiyo sahani uliuotumia imenikumbusha mbaali sanaa daa hapo zamani ilikuwa raha sana.
Haujawahi kupika ugali?sasa nikija kwako nitakuwa nakula nini na mie chakula changu ugali???🙁😀
Hujawahi pika je unakula ugali?
Itabidi uchukue somo hapa mamaa!!
Hiyo sahani uliuotumia imenikumbusha mbaali sanaa daa hapo zamani ilikuwa raha sana.
Sanaaa jana nimeupiga na mchicha +kibua ...safiii
Ukweli naona na najua unavyopika ila mm tu kukaa nikapika sijawahi sababu kuna wataalamu zaidi yangu nawaacha wafanye kazi yao.. siku wakiwa hawapo labda ndo ntaisoma namba...lol
Mpaka leo zipo....
Mrs Kharusy zile zinowekwa halua za makombe si zinakua kama hizi?
Hahahhahha utakula vyengine vya ki nyumbani lol. ...utajiramba vidole hadi vikatike...
Ila si km sili ugali...jana tu nimetoka kuupiga ila mpishi si mimi
mambo zenu wakuu leo ntafundisha jinsi ya kupika ugali
Fuata Steps Hizi
MAHITAJI
Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi..
Step 1
Sikia Injika sufulia yako jikoni ikiwa na maji yenye unga kidogo. hakikisha maji utayoweka yatakutosha.Pia hakikisha moto unakua sio mwingi ni wastan.
Step 2
Haya anza kukorogea hadi pale maji yatapochemka na kua uji uji unaotokota.
Step 3
Umeshafanikiwa step 2? ,Haya weka unga kiasi kwenye sufuria huku ukianza kuusonga taratiiibu na ubanio. Staili ya kuusonga ni kama unauminya huku unauzungusha kwa mwiko.
Step 4
Utaona mabadiliko ule uji utakua mgumu kila unapoendelea kuusonga.Ukishaona mabadiliko Hayo jua ndo ivo tena ugali umeshaiva.
Step 5 (Mwisho)
Andaa Sahani au hotpot kisha uipue ugali wako.
HONGERA! Nguna ipo tayari kuliwa na mboga yoyote ile uliyoiandaa,inaweza ikawa samaki wa kukaanga or whatever.
Asanteni
View attachment 229008
Hahaha nishaelewa