Jinsi ya kupika UGALI Fasta Fasta (Full Steps)

Jinsi ya kupika UGALI Fasta Fasta (Full Steps)

Tatizo ukiukosea mwanzo tu wakati wa kuweka unga,hayo mabuda hayaondok...yaani ukiwa unaweka unga unatakiwa unachanganya fastafasta mkono ukilegea tu unakula mabuda!!!Lakini kuna watu wanapenda ugali wa hivo dia mgumu na wenye muonekano huo!!

Hahhahaha na ukishakua huujulii mtu inakubidi ujifanye mi napenda wa hivi lol...sababu ndo kila siku unaukosea usemeje...
Mi sijawah kupika ugali lkn hata siku nikipika afadhali uwe uji kuliko hivi
 
Ugali kama huu kabla ya kula inabidi uhakikishe kuwa una pumzi za kutosha..na mikono yenye stamina..sawa sawa...
 
Hahhahaha na ukishakua huujulii mtu inakubidi ujifanye mi napenda wa hivi lol...sababu ndo kila siku unaukosea usemeje...
Mi sijawah kupika ugali lkn hata siku nikipika afadhali uwe uji kuliko hivi

Haujawahi kupika ugali?sasa nikija kwako nitakuwa nakula nini na mie chakula changu ugali???🙁😀
 
Hahhahaha na ukishakua huujulii mtu inakubidi ujifanye mi napenda wa hivi lol...sababu ndo kila siku unaukosea usemeje...
Mi sijawah kupika ugali lkn hata siku nikipika afadhali uwe uji kuliko hivi

Hujawahi pika je unakula ugali?
 
Hahhahaha na ukishakua huujulii mtu inakubidi ujifanye mi napenda wa hivi lol...sababu ndo kila siku unaukosea usemeje...
Mi sijawah kupika ugali lkn hata siku nikipika afadhali uwe uji kuliko hivi

we fata hizo step hapo juu mkuu utauweza tu ni simpo sana

LIKE Niku ADD
 
Last edited by a moderator:
uji uliochemka vizuri na ugali ukasongwa ipasavyo hauwez kuonyesha mipasuko/ mashimo/ o gullies km hv
ugali hujishika hata ukimwagika chini haushiki mchanga
n.b umeacha kueleza na aina za upikaji ugali mf
ugali wa bia- huu huwa mtekemteke o soft flan km wa mama mzazi
nguna- huu huwa mgumu kias chake na hukamatika hasa mkononi bila kunasa nasa,,,,faida ya huu hukufany kuwahi kushiba kwa kuwa uko heavy ukicompare na wajuu,matonge kadhaa tu ushashiba
ugali unavutia zaid ukila na mboga zifuatazo,
samaki wa kukaanga na mboga za majani,hata wa kupika pia makin tu
nyama rost,inavutia km añayopikaga mama rambo pale tanesco magomen
dagraà wawe wa kigoma o wa mwanza,ila wapikwe o wawe rosted kiyakinifu pemben tembele lina ndimu kwa mbali
dagaa mchele km aliyokuwa anakaanga mzee abdala pale karibia na mwembechai na kachumbari matata
na mboga nyinginezo
 
uji uliochemka vizuri na ugali ukasongwa ipasavyo hauwez kuonyesha mipasuko/ mashimo/ o gullies km hv
ugali hujishika hata ukimwagika chini haushiki mchanga
n.b umeacha kueleza na aina za upikaji ugali mf
ugali wa bia- huu huwa mtekemteke o soft flan km wa mama mzazi
nguna- huu huwa mgumu kias chake na hukamatika hasa mkononi bila kunasa nasa,,,,faida ya huu hukufany kuwahi kushiba kwa kuwa uko heavy ukicompare na wajuu,matonge kadhaa tu ushashiba
ugali unavutia zaid ukila na mboga zifuatazo,
samaki wa kukaanga na mboga za majani,hata wa kupika pia makin tu
nyama rost,inavutia km añayopikaga mama rambo pale tanesco magomen
dagraà wawe wa kigoma o wa mwanza,ila wapikwe o wawe rosted kiyakinifu pemben tembele lina ndimu kwa mbali
dagaa mchele km aliyokuwa anakaanga mzee abdala pale karibia na mwembechai na kachumbari matata
na mboga nyinginezo

uko sawa kabisa mkuu. kwa sasa Ugali ndio mpango mzima sijui kama nchi za wenzetu Wameupa kipaumbele Kama ilivyo kwetu Africa

LIKE Niku ADD
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom