Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

NAUZA BIASHARA YA CAR WASH:

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
NAMBA YA SIMU: 0717 26 33 77

MAELEZO:

MACHINE ZOTE, UJENZI, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 7,000,000
NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA HII BIASHARA.
 
brela iongeze staff ikiwezekana kama kweli inavutia wawekezajii .INAWEZEKANAJE UNATUMA MAOMBI KUFUNGUA KAMPUNI YANACHUKUA ZAIDI YA 24 WORKING HOURS KUJIBIWA? YAKIJIBIWA UNASAHIHISHWA ,UKITUMA UNAPEWA KOSA LINGINE AMBALO HAWAKUSEMA MWANZO .
 
brela iongeze staff ikiwezekana kama kweli inavutia wawekezajii .INAWEZEKANAJE UNATUMA MAOMBI KUFUNGUA KAMPUNI YANACHUKUA ZAIDI YA 24 WORKING HOURS KUJIBIWA? YAKIJIBIWA UNASAHIHISHWA ,UKITUMA UNAPEWA KOSA LINGINE AMBALO HAWAKUSEMA MWANZO .
idadi ya staff hilo siwezi kulisemea isipokuwa kuna vitu vinatakiwa uvifanye kabla ya kuwasilisha ombi lako ikiwa umekamilisha kila kitu huwezi pewa marekebisho hayo kama unakwama sehem yoyote wasiliana nasi kwa msaada zaidi
 
Wakuu hivi tayari wamesharuhusu mtu mmoja kufungua limited company?
 
Mkuu kwa sasa wamesharuhusu mtu mmoja individual anaweza kufungua limited company? Au bado ni kuanzia watu wawili
 
Mkuu kwa sasa wamesharuhusu mtu mmoja individual anaweza kufungua limited company? Au bado ni kuanzia watu wawili
Hapana limited company ni kuanzia watu wawili na kuendelea vinginevyo itakupasa kusajili business name hadi pale utapompata mtu wa kuweza kushirikiana nae
 
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie.

Natanguliza shukrani zangu.

BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU:

===

===

===

===
Welcome! Our services include:

  • Web design
  • Logo design
  • Online business or company registration
  • Airline and Bus ticketing (Domestic & International)
  • Passport and Visa Registration
  • Studying abroad programs
  • Online imports and export services
  • And other IT related services
 
Nina swali kuhusu products na jina la biashara au kampuni. Kwa mfano Azania inaitwa Azania food products ila ana product zake nyingi kama Azania sembe, ngano na mafuta.
Je kila product inasajiliwa brela separate au usajili wa kampuni unajitosheleza?
Pia ningependa kufahamu juu ya utofauti wa jina la kampuni na prooducts, kwa mfano SBC company limited wanatengeneza Pepsi, Mirinda, 7up. Je wamezisajili hizi soda peke yake au usajili wa kampuni unajitosheleza?
Kwa kuzingatia mifano hiyo michache nina imani nitajibiwa.
Aksanteni bila shaka nitajibiwa.
 
X
 
brela iongeze staff ikiwezekana kama kweli inavutia wawekezajii .INAWEZEKANAJE UNATUMA MAOMBI KUFUNGUA KAMPUNI YANACHUKUA ZAIDI YA 24 WORKING HOURS KUJIBIWA? YAKIJIBIWA UNASAHIHISHWA ,UKITUMA UNAPEWA KOSA LINGINE AMBALO HAWAKUSEMA MWANZO .
Issue hapa sio kuongeza staff ni weledi wa staff. Pia umeona huo mfumo wa ORS unavyopandana? Kuna mtu nilisoma mada yake kuhusu ITs wa Tanzania na namna ilivyowachukua vijana waliopewa 15m kudevelop app ya kutrack magari na mwisho wa siku walishindwa na nilikubalina nae sisi watz hamna kitu yaani ni sufuri bin sufuri ila wapo wachache wenye ueledi. Naomba behaviorist asije hapa na ile mada yake yenye kula kwa urefu wa kamba ujumbe ambao anaambatanisha na video.[emoji12]

Its very sad and very shame ila kama Taifa tunatakiwa kupambana sana kujikwamua. Mimi ninaona MFUMO WA ELIMU YETU NDIO CHANZO CHA MATATIZO YOTE TULIYONAYO.
 
Naomba kuuliza swali

hivi mfano umefanya kazi na kampuni iliyosajiriwa brela ikakutapeli na kuhama location kutoka point A to B unafanyaje ili kuwapata?
 
Naomba kuuliza swali

hivi mfano umefanya kazi na kampuni iliyosajiriwa brela ikakutapeli na kuhama location kutoka point A to B unafanyaje ili kuwapata?
kimaadili haifai kuweka mbinu au njia hizo tafadhari nitafute inbox nikusaidie ni bure tu usije kuona neno inbox ukahisi pesa no
 
Naomba kuuliza swali

hivi mfano umefanya kazi na kampuni iliyosajiriwa brela ikakutapeli na kuhama location kutoka point A to B unafanyaje ili kuwapata?
Kampuni zote Zina anwani za kudumu, km simu, e-mail, box na hata a/c za bank walizotaka kukulipa kitapel, wanaweza kuhama mtaa kutokana na Kodi ya pango au jengo walilo allocate kuvunjwa nk lkn hawatakificha ipo siku watafanya kazi au kujitangaza utawapata tu. Mimi kuna kampuni nilizifungua Brela sikufanikiwa kufanya kazi nikaziua lakini bado kumbukumbu zipo Brela
Hiyo kampuni hawezi towels mwisho malizia Brela kuwatafuta
 
Asante mkuu
 
Remove for 14b for beneficial owner, that form should be submitted after having obtain incorporation number.

Naomba msaada nmekwama kwenye brela system wamenipa haya marekebisho nifanye ila hio form 14b kila nikiiondoa system inagoma kuendelea
 
Remove for 14b for beneficial owner, that form should be submitted after having obtain incorporation number.

Naomba msaada nmekwama kwenye brela system wamenipa haya marekebisho nifanye ila hio form 14b kila nikiiondoa system inagoma kuendelea
Kuna 14 b ambayo si ya beneficial owner ambayo inasainiwa na declarant ambaye ( ni director au company secretary) pia inagongwa muhuri wa wakili ndio inatakiwa hapo. So ukiondoa hiyo uliyoambiwa unaweka hii nyingine ndio kazi ita proceed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…