Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Ignorance, blind and dummy

Ukimuelekeza Mtu Ambaye Hajui Hata Kile Unachomuelekeza Ndio Utaambulia Majibu Anayokujibu Hana Point Kabaki Kukukaidisha Tu.. Just Ignore Him Hata Mmoja Hajamuunga Mkono Maana Wamejua Hakuna Anaesema Kitu Bila Kukijua Kakuita Bogus Huenda YEYE huitwa Hivyo Na Wa Kwao Halafu Ni Mtoto Sana Kiakili Anaonesha...

"Rakims"
 
Mkuu Rakims inasemekana your soul ikitoka nwilini mwako inakuwa ni hatari kwa sababu pepo wabaya wanaweza kuuingia mwiliwako kwasabavu unakuwa hauna kizuizi chochote, nitoe wasiwasi hapo
 
Ukimuelekeza Mtu Ambaye Hajui Hata Kile Unachomuelekeza Ndio Utaambulia Majibu Anayokujibu Hana Point Kabaki Kukukaidisha Tu.. Just Ignore Him Hata Mmoja Hajamuunga Mkono Maana Wamejua Hakuna Anaesema Kitu Bila Kukijua Kakuita Bogus Huenda YEYE huitwa Hivyo Na Wa Kwao Halafu Ni Mtoto Sana Kiakili Anaonesha...

"Rakims"

Nimesheelewa nilikuwa na Deal na level gani ya binadamu Rakims
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rakims inasemekana your soul ikitoka nwilini mwako inakuwa ni hatari kwa sababu pepo wabaya wanaweza kuuingia mwiliwako kwasabavu unakuwa hauna kizuizi chochote, nitoe wasiwasi hapo

Hili Swali Huuliza Watu Wengi Sana Pia Online Utaona Kila Inapielezewa AP Utakuta Swali Hili.. Ukweli Ni Kuwa Ukitoka Astral Projection Ni Kama Ndoto Tu Mwili Unavyokuwa Maana Ile Safe Body Paralysis Inakuwa Active Ambayo Ni Kinga Ya Mwenyezi Mungu Aliotuwekea Inayosaidia Na Kufanya Astral Maana Kuna Watu Hufanya Astral Bila Kujua Pumzi Uchovu Joto N.k Vinakuwa Vinaendelea Kwenye Mwili Wako Kama Kawaida Ule Mwili Wa Astral Ni Mwili Wa Mawazo Upo Hapo Hapo Ulipo Lakini Nguvu Yako Ya Ubongo Inakuonyesha Pembe Zote Za Dunia... Mwili Wa AP Ni Wa Kujitengenezea Wewe Lakini Kinachofanya Kazi Ni Nguvu Ya Roho Yako Ambayo Huishi Life After Life... roho haitoki kinachotoka ni nguvu ya mawazo yako...
ingekuwa inatoka basi watu wangeweza kucheat death

ahsante...


"Rakims"
 
Hivii..Nikiwa kwenye huo mwili watu wengne wanaweza kuniona?Vp kuhusu pepo au wachawi hawawez kunidhuru njian na ikitokea nmepotea huko nlipoenda kushangaa itakuaje nkiamshwa nisiamke je kuna mvutano kati ya miili utaniita? Na ni vyema kufanya muda gani ni usiku tu au hata mchana ni byeee?Pia hali hiyo unaweza dumu nayo kwa muda gani (isije kuwa kama cinderela)..Naomba ufafanuzi tafadhali coz nimevutiwa
 
Rakims nkiwa katika hali hiyo naweza kuingia hata benki nisionekane?? naweza kubeba vitu vya uzito wa kawaida??:nod:

cc@pasco
 
Last edited by a moderator:
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......

Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...

Kutoka Ap Humfanya Mtu Kwenda Popote Duniani Ki Mawazo Na Kufarijika Nafsi Yake Na Kujifunza Mambo Tofauti Ya Sehemu Jirani Na Kupaa Au Kupita Katikati Ya Ukuta Kama Mchawi Vile....


Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..
65% Ni Watu Wasioijua

25% Ni Watu Wanaoijua

10% Ni Watu Wanaoitumia..

Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili

Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...

Njia Hizo Ni:

1; self Astral P...

2: Astral By Binaural


HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU....

1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana

2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....

3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....

4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...

5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)

6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati WA Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)

7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana

8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine

9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......

10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....


ANGALIZO:

Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....


Cc: Pasco , mshana jr , MziziMkavu


By: Rakims
Makubwa Haya!!
 
Last edited by a moderator:
Big up mkuu Ramkin kwa kutupa somo.mimi nadhani kuna watu tupo na interest ya kuyajua haya mambo.so kama una hic hayakufai ni vyema ukatoa mtazamo wako na kumuacha mwalimu atujuze tusiojua na sio kumkatisha kwa hoja zako zakidini wakati dini yenyewe tumeletewa.

Mkuu Ramkin kama nahitaji zaidi kujua hizi mada kwa lugha yangu(Namaanisha kwa kiswahili ili nielewe vizuri bila misamiati) naweza kufata utaratibu gani?
 
Naweza kuiba ela na kurud nazo ktk ulmwengu wa kawaida??
 
Mmmh kumbe kuna mambo makubwa huku. Hivi kuna mashart yoyote katika kujifunza haya mambo?
 
Uchawi wako hauna mwiko kuelezewa waziwazi?
Wa-kiswahili ukitoa siri kama hizi unaadhibiwa na kutengwa kama si kuuwawa kabisa.
 
Wacha uoga wewe kwani hujui kufa kupo tu na hakukwepeki?

Na hii kitu inatakiwa iwe ni lazima kwa kila mtanzania kuijifunza iingizwe kwenye katiba mpya... na Sera za Chama tawala

Aaahahahahaaaa... My mbavuuu...
 
Hivii..Nikiwa kwenye huo mwili watu wengne wanaweza kuniona?Vp kuhusu pepo au wachawi hawawez kunidhuru njian na ikitokea nmepotea huko nlipoenda kushangaa itakuaje nkiamshwa nisiamke je kuna mvutano kati ya miili utaniita? Na ni vyema kufanya muda gani ni usiku tu au hata mchana ni byeee?Pia hali hiyo unaweza dumu nayo kwa muda gani (isije kuwa kama cinderela)..Naomba ufafanuzi tafadhali coz nimevutiwa

mchana kama upo peke yako... hutakiwi kubughuziwa ukiwa kwenye state hiyo kichwa kitakuuma maana utarudi kwa kasi... mvutano uliopo ni sawa na mikono miwili mmoja uweke kwenye maji baridi mwingine kwenye barafu utaielewa yote ndivyo inavyokuwa.. hivyo ukiona mkono wa barafu umegeuka moto lazima utauhamisha kwa uelewa tu.. kwanza hakuna kutisha kwa hivyo ni mitazamo yako tu....


"Rakims"
 
Back
Top Bottom