Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Nikishafika hatua hiyo huwa kila ninachojaribu kufanya nashindwa na kujikuta nimerudi hali ya kawaida

Leo jarbu kufanya hvi... (hakikisha mwili wako umeulegeza mpaka uhisi kama unaganzi hivi) unapolala empty your mind/ usifikirie chochote kichwani yaan mind yako iwe blank, kila wazo litakalokuja kichwan achana nalo/usilitafakari , mfano unaweza kuona matukio ya vitu ulivofanya leo,au kelele za watu,upepo ,horn za magar n.k usiyazingatie... mda unavyozid utaona vinapungua kujirudia katika ubongo wako na baadae kuisha kabisa (ndio maana tunasema empty your brain) baada ya hapo vuta taswira ya kama kuna mwili mwingine ndani yako, kwaurahisi uwe umefumba macho lakin uwe unajitazama kwa ndani(utaona kama upo gizan) endelea kutazama hivohivo(kumbuka chochote kitakacho endelea nje mfano kusikia kelele au horn za gari n.k usizingatie) we endelea kuwa makini kwa unachoona we tulia tu km unatazama movie hivi usitengeneze picha yako, mfano unaweza kuona km vinyotanyota vingi kwa mbali wala usivizingatie tulia tuu na uwe km mtazamaji kwa kinachoendelea (ndio maana tunasema Focus) hali hiyo ikiendelea utaona km unamwili mwingne mpya jaribu kuinuka taratibu(usitumie nguvu maana utaamka kwa mwili wa kawaida) na utaona kama ukitaka kuamka inakua km unavutwa chini wala usiogope, na pia usiogope chochote utakacho hisi ukiwa kwenye hili zoez maana kwa mwanzo lazma utakuwa na wenge fulan hiv we focus tuu, amin unachofanya unakielewa hadi utatokatuu.... pale utakapo shindwa lete feedback.
Cc jimena.
 
Leo jarbu kufanya hvi... (hakikisha mwili wako umeulegeza mpaka uhisi kama unaganzi hivi) unapolala empty your mind/ usifikirie chochote kichwani yaan mind yako iwe blank, kila wazo litakalokuja kichwan achana nalo/usilitafakari , mfano unaweza kuona matukio ya vitu ulivofanya leo,au kelele za watu,upepo ,horn za magar n.k usiyazingatie... mda unavyozid utaona vinapungua kujirudia katika ubongo wako na baadae kuisha kabisa (ndio maana tunasema empty your brain) baada ya hapo vuta taswira ya kama kuna mwili mwingine ndani yako, kwaurahisi uwe umefumba macho lakin uwe unajitazama kwa ndani(utaona kama upo gizan) endelea kutazama hivohivo(kumbuka chochote kitakacho endelea nje mfano kusikia kelele au horn za gari n.k usizingatie) we endelea kuwa makini kwa unachoona we tulia tu km unatazama movie hivi usitengeneze picha yako, mfano unaweza kuona km vinyotanyota vingi kwa mbali wala usivizingatie tulia tuu na uwe km mtazamaji kwa kinachoendelea (ndio maana tunasema Focus) hali hiyo ikiendelea utaona km unamwili mwingne mpya jaribu kuinuka taratibu(usitumie nguvu maana utaamka kwa mwili wa kawaida) na utaona kama ukitaka kuamka inakua km unavutwa chini wala usiogope, na pia usiogope chochote utakacho hisi ukiwa kwenye hili zoez maana kwa mwanzo lazma utakuwa na wenge fulan hiv we focus tuu, amin unachofanya unakielewa hadi utatokatuu.... pale utakapo shindwa lete feedback.
Cc jimena.

Asante sana, mimi nilikuwa nasikia upepo mkali ukivuma kwa kasi sana.
Kumbe ujinga wangu ulikuwa ni kuufatilia ule upepo? Nashukuru mkuu wangu
 
Leo jarbu kufanya hvi... (hakikisha mwili wako umeulegeza mpaka uhisi kama unaganzi hivi) unapolala empty your mind/ usifikirie chochote kichwani yaan mind yako iwe blank, kila wazo litakalokuja kichwan achana nalo/usilitafakari , mfano unaweza kuona matukio ya vitu ulivofanya leo,au kelele za watu,upepo ,horn za magar n.k usiyazingatie... mda unavyozid utaona vinapungua kujirudia katika ubongo wako na baadae kuisha kabisa (ndio maana tunasema empty your brain) baada ya hapo vuta taswira ya kama kuna mwili mwingine ndani yako, kwaurahisi uwe umefumba macho lakin uwe unajitazama kwa ndani(utaona kama upo gizan) endelea kutazama hivohivo(kumbuka chochote kitakacho endelea nje mfano kusikia kelele au horn za gari n.k usizingatie) we endelea kuwa makini kwa unachoona we tulia tu km unatazama movie hivi usitengeneze picha yako, mfano unaweza kuona km vinyotanyota vingi kwa mbali wala usivizingatie tulia tuu na uwe km mtazamaji kwa kinachoendelea (ndio maana tunasema Focus) hali hiyo ikiendelea utaona km unamwili mwingne mpya jaribu kuinuka taratibu(usitumie nguvu maana utaamka kwa mwili wa kawaida) na utaona kama ukitaka kuamka inakua km unavutwa chini wala usiogope, na pia usiogope chochote utakacho hisi ukiwa kwenye hili zoez maana kwa mwanzo lazma utakuwa na wenge fulan hiv we focus tuu, amin unachofanya unakielewa hadi utatokatuu.... pale utakapo shindwa lete feedback.
Cc jimena.

Asante sana sana. Kesho ntakupa ripoti yangu
 
Mi pia sijaweza kutoka nje ya mwili zaidi ya kuishia kwenye ganzi, kwa uzoefu wako unadhani nakosea wapi?

unapofikia kwenye ganzi usiupe fahamu ubongo wako kwamba hapa ndio nipo kwenye ganzi just relax na amka taratibu kama nusu kimawazo robo live... you will be out....

Rakims
 
Huwa naogopa na kuhisi naweza kukata roho anytime mana huhisi kama viungo vyangu vinakosa ushirikiano kisha naamka (kusema ukweli huwa najiamsha kwa nguvu ili nisije kuvuta)

sasa kama unaogopa hivi you wont make it...

rakims
 
unapofikia kwenye ganzi usiupe fahamu ubongo wako kwamba hapa ndio nipo kwenye ganzi just relax na amka taratibu kama nusu kimawazo robo live... you will be out....

Rakims

Sawa Rakims ntafanya kama ulivyoelekeza. ABRACADABRA
 
Last edited by a moderator:
Leo jarbu kufanya hvi... (hakikisha mwili wako umeulegeza mpaka uhisi kama unaganzi hivi) unapolala empty your mind/ usifikirie chochote kichwani yaan mind yako iwe blank, kila wazo litakalokuja kichwan achana nalo/usilitafakari , mfano unaweza kuona matukio ya vitu ulivofanya leo,au kelele za watu,upepo ,horn za magar n.k usiyazingatie... mda unavyozid utaona vinapungua kujirudia katika ubongo wako na baadae kuisha kabisa (ndio maana tunasema empty your brain) baada ya hapo vuta taswira ya kama kuna mwili mwingine ndani yako, kwaurahisi uwe umefumba macho lakin uwe unajitazama kwa ndani(utaona kama upo gizan) endelea kutazama hivohivo(kumbuka chochote kitakacho endelea nje mfano kusikia kelele au horn za gari n.k usizingatie) we endelea kuwa makini kwa unachoona we tulia tu km unatazama movie hivi usitengeneze picha yako, mfano unaweza kuona km vinyotanyota vingi kwa mbali wala usivizingatie tulia tuu na uwe km mtazamaji kwa kinachoendelea (ndio maana tunasema Focus) hali hiyo ikiendelea utaona km unamwili mwingne mpya jaribu kuinuka taratibu(usitumie nguvu maana utaamka kwa mwili wa kawaida) na utaona kama ukitaka kuamka inakua km unavutwa chini wala usiogope, na pia usiogope chochote utakacho hisi ukiwa kwenye hili zoez maana kwa mwanzo lazma utakuwa na wenge fulan hiv we focus tuu, amin unachofanya unakielewa hadi utatokatuu.... pale utakapo shindwa lete feedback.
Cc jimena.

Good Explaination...


rakims
 
sasa kama unaogopa hivi you wont make it...

rakims

I will. Kwasasa huo uoga ulikwisha ila nimeshajua kosa langu mana huwa nikishaona ganzi najilazimisha kupaa matokeo yake sasa badala ya kutoka nje ya mwili naamka na body hii hii na ganzi inaisha, ila kutokana na maelezo yako ya hapo juu 👆👆👆 nimeelewa wapi nakosea, ntarekebisha hilo and i beleive i will make it.
 
Ukifanikiwa kutoka nje ya mwili usiende mbali kwasababu ni mara ya kwanza jaribu kupita kusipopitika kama ndani ya ceiling board nk ukishazoea then unaweza kwenda mbali.
 
Ukifanikiwa kutoka nje ya mwili usiende mbali kwasababu ni mara ya kwanza jaribu kupita kusipopitika kama ndani ya ceiling board nk ukishazoea then unaweza kwenda mbali.

Nimekosa kitufe cha like
 
Back
Top Bottom