Jinsi ya kuzitoa pesa NSSF

Jinsi ya kuzitoa pesa NSSF

Kufuta FAO la kujitoa hapa hata mifuko yenyewe itafika kipindi itakuwa haikui maana mtoa mada huenda angepata hiyo pesa angefungua biashara baada ya miaka kadhaa ingezalisha ajira na kupata wateja wapya wa mfuko

Pia hii mifuko ingetoa mwanya wa mtu kutumia pesa aliokuwa nayo huko kama dhamana au kupokea business plan kutoka Kwa wachangiaji waliomaliza mikataba Yao maana unakuta MTU either amekwama mtaji wa kuanzisha au mtaji mdogo lakini ana aidia nzuri na hakopesheki lakini ana pesa zake zimekaa huko
 
Kwakweli viongozi wetu ktk hili la kikokoto walituumiza sana shida sasa inakuja kwetu watanzania hatuna mahala pa kwenda kujitetea wala hatuna utaratibu huo. Tunabakia kusema wee waache tu Mungu anawaona lakini sisi tunateseka na kazi tuliifanya, kwa kweli inauma sana. Lini tutaweza au kuwa na vyombo tunavyo weza kuviwajibisha? hasa tunapo kuwa na malalamiko makubwa kama haya na tukasikilizwa kwa haki?
 
Wabongo wazinguaji Sana. Unaweza mbebea Mtu Dhamana, akipata hela Yake anabadilika. Kama makubaliano yalikuwa 5% ya hela yote, akipata anatoa 1% au simu ndo ana wablock kabisa. Lawama na fedhea zinaamia Kwa muunganishaji. Kila Mtu apambane na Hali Yake.
Boss me nisaidie nna kahela kangu huko nataka nikakatoe nifanye yangu vyuma vimekaza
 
Wakuu habari zenu poleni na majukumu ndugu zangu
Mimi nilikua nafanya kazi katika kampuni ya ujenzi ya waturuki inaitwa Yapi merkez inayojenga reli ya SsSGR ambyo kwa Sasa Iko lot 3 kwa Sasa kazi imesimama na hakuna kinachoendelea Sasa sisi tulipimzishwa kuanzia mwezi wa kwanza kutokana na kampuni kupunguza matumizi na sababu nyingine
Mimi niliajiriwa kama kibaria tu upande wa survey baada ya kupambana kutumia elimu niliyonayo kupata kazi basi niliamua kujichanganya Ili nifanye kazi yoyote nipate mtaji
Sasa bhana baada ya kufika pale NSSF nikapewa form nikajaza Sasa nikajaza na elimu niliyokua nayo yani degree Baad ya mda kufika nikapewa laki 2 wakati nilikua nategemea zaidi ya milioni 4 kuwafata wakasema Mimi ni professional kwaio nalipwa kwa kikokotoo yani kwa jinsi walipiga hesabu zao basi nalipwa laki 2 kwa mwezi paka iiishe miezi 6 baada ya hapo kama hujapata kazi Tena unasubiri miezi 18 na kama Bado haujapata Tena kazi unaenda kuwaomba uwe unajichangia paka ufikishe miaka Yao wanayotaka
Sasa wakuu Mimi nimeshakaa miezi 6 imeisha na kazi sijapata na njaa inazidi kila nikicheki maisha yamekua magumu sana na nilitaka nipate mafao Ili nianzishe biashara vidogo vidogo
Sasa ombi langu kwa wale wazee wa michongo Mimi Nataka kuzitoa zile pesa kwa Njia yoyote mana haiwezekani wakae na pesa yangu alafu Mimi Sina mtaji Wala pankushika Sina
Kama unajua njia ya kuzichomoa huko basi njoo PM aisee tuone tunafanyaje
Nitafurahi kama nitapata msaada wakuu kwa wale watu wa madili aisee nisaidieni wakuu mana hii serikali ya Maza siielewi
Mimi nimefanya kama kibarua Ili nipate mtaji nianzishe maisha mengine alafu wanazishikilia pesa zangu kisa nimesoma yani sielewi alieleta kikokotoo alikua na maana Gani
Kama unaweza michongo njoo pm tuyajnge waungwana
Shukrani
We are on the same boat, je umeshaandika barua ya kutaka pesa zako zote?
 
Hivi mfano mfanyakazi ameamua kuacha kazi na akaandika barua ikafika kwa muajiri nayeye akakubali, je huyu mtu alieacha kazi ataweza pata stahiki zake za NSSF/PSSF.?
Ukiacha mwenyewe imekula kwako mpaka ustaafu. Ukiachishwa ndiyo utalipwa 33.3% ya mshahara wako
 
Hapo ni changamoto ,nina mtu wangu hapa anakaribu mil 58 huko , kakosa cha kufanya kaambilia malipo ya miezi 6 tu .

Hicho kikokotoo shida
 
Hivi mfano mfanyakazi ameamua kuacha kazi na akaandika barua ikafika kwa muajiri nayeye akakubali, je huyu mtu alieacha kazi ataweza pata stahiki zake za NSSF/PSSF.?
Hawezi kupata stahiki yoyote itabidi asubili hadi atakofika miaka ya uzee ya kustaafu 55-60 au aendelee kuchangia michango kwa hiari .
 
Ulipaswa kabla hujajaza fomu umpate mtu ambae atakusaidia ili upate hela yote kwa pamoja, kwakua ushapokea 200k ya mwezi wa kwanza hapo ndo basi tena hakuna kitakachobadirika na unapaswa usubiri miezi 18 ipite ndo ukadai pesa iliyobaki.
 
Wakuu habari zenu poleni na majukumu ndugu zangu
Mimi nilikua nafanya kazi katika kampuni ya ujenzi ya waturuki inaitwa Yapi merkez inayojenga reli ya SsSGR ambyo kwa Sasa Iko lot 3 kwa Sasa kazi imesimama na hakuna kinachoendelea Sasa sisi tulipimzishwa kuanzia mwezi wa kwanza kutokana na kampuni kupunguza matumizi na sababu nyingine
Mimi niliajiriwa kama kibaria tu upande wa survey baada ya kupambana kutumia elimu niliyonayo kupata kazi basi niliamua kujichanganya Ili nifanye kazi yoyote nipate mtaji
Sasa bhana baada ya kufika pale NSSF nikapewa form nikajaza Sasa nikajaza na elimu niliyokua nayo yani degree Baad ya mda kufika nikapewa laki 2 wakati nilikua nategemea zaidi ya milioni 4 kuwafata wakasema Mimi ni professional kwaio nalipwa kwa kikokotoo yani kwa jinsi walipiga hesabu zao basi nalipwa laki 2 kwa mwezi paka iiishe miezi 6 baada ya hapo kama hujapata kazi Tena unasubiri miezi 18 na kama Bado haujapata Tena kazi unaenda kuwaomba uwe unajichangia paka ufikishe miaka Yao wanayotaka
Sasa wakuu Mimi nimeshakaa miezi 6 imeisha na kazi sijapata na njaa inazidi kila nikicheki maisha yamekua magumu sana na nilitaka nipate mafao Ili nianzishe biashara vidogo vidogo
Sasa ombi langu kwa wale wazee wa michongo Mimi Nataka kuzitoa zile pesa kwa Njia yoyote mana haiwezekani wakae na pesa yangu alafu Mimi Sina mtaji Wala pankushika Sina
Kama unajua njia ya kuzichomoa huko basi njoo PM aisee tuone tunafanyaje
Nitafurahi kama nitapata msaada wakuu kwa wale watu wa madili aisee nisaidieni wakuu mana hii serikali ya Maza siielewi
Mimi nimefanya kama kibarua Ili nipate mtaji nianzishe maisha mengine alafu wanazishikilia pesa zangu kisa nimesoma yani sielewi alieleta kikokotoo alikua na maana Gani
Kama unaweza michongo njoo pm tuyajnge waungwana
Shukrani
Mbona unanitisha? [emoji22][emoji22][emoji22]
 
Back
Top Bottom