ilore
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 963
- 1,248
Ulitaka aandike vp mzeeDah, una degree ? Kwa uandishi huu mimi wa la sita B nakuzidi !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka aandike vp mzeeDah, una degree ? Kwa uandishi huu mimi wa la sita B nakuzidi !
HapatiHivi mfano mfanyakazi ameamua kuacha kazi na akaandika barua ikafika kwa muajiri nayeye akakubali, je huyu mtu alieacha kazi ataweza pata stahiki zake za NSSF/PSSF.?
I piaUmefungulia madai Dodoma Nssf. Kama ndiyo Basi umefeli pale wanapenda Sana Rushwa Kama upo Dodoma mtafute Festo akusaidie.
Kwanini hapewi?Hapewi.
Boss me nisaidie nna kahela kangu huko nataka nikakatoe nifanye yangu vyuma vimekazaWabongo wazinguaji Sana. Unaweza mbebea Mtu Dhamana, akipata hela Yake anabadilika. Kama makubaliano yalikuwa 5% ya hela yote, akipata anatoa 1% au simu ndo ana wablock kabisa. Lawama na fedhea zinaamia Kwa muunganishaji. Kila Mtu apambane na Hali Yake.
Kwa sababu kaacha Mwenyewe, kwahio wanaamini kua atakua kapata kazi nyingine au anajua namna gani ataishi bila kutegemea hio Fedha. Ikiwa na maana kwanza mtu timamu hawezi kuacha kazi Mwenyewe bila kua na mbadala.Kwanini hapewi?
We ni mshenzi tuDah, una degree ? Kwa uandishi huu mimi wa la sita B nakuzidi !
Nilifingulia tabora Dodoma ndio naambiwa hapafai labda kahama kina urahisiUmefungulia madai Dodoma Nssf. Kama ndiyo Basi umefeli pale wanapenda Sana Rushwa Kama upo Dodoma mtafute Festo akusaidie.
We are on the same boat, je umeshaandika barua ya kutaka pesa zako zote?Wakuu habari zenu poleni na majukumu ndugu zangu
Mimi nilikua nafanya kazi katika kampuni ya ujenzi ya waturuki inaitwa Yapi merkez inayojenga reli ya SsSGR ambyo kwa Sasa Iko lot 3 kwa Sasa kazi imesimama na hakuna kinachoendelea Sasa sisi tulipimzishwa kuanzia mwezi wa kwanza kutokana na kampuni kupunguza matumizi na sababu nyingine
Mimi niliajiriwa kama kibaria tu upande wa survey baada ya kupambana kutumia elimu niliyonayo kupata kazi basi niliamua kujichanganya Ili nifanye kazi yoyote nipate mtaji
Sasa bhana baada ya kufika pale NSSF nikapewa form nikajaza Sasa nikajaza na elimu niliyokua nayo yani degree Baad ya mda kufika nikapewa laki 2 wakati nilikua nategemea zaidi ya milioni 4 kuwafata wakasema Mimi ni professional kwaio nalipwa kwa kikokotoo yani kwa jinsi walipiga hesabu zao basi nalipwa laki 2 kwa mwezi paka iiishe miezi 6 baada ya hapo kama hujapata kazi Tena unasubiri miezi 18 na kama Bado haujapata Tena kazi unaenda kuwaomba uwe unajichangia paka ufikishe miaka Yao wanayotaka
Sasa wakuu Mimi nimeshakaa miezi 6 imeisha na kazi sijapata na njaa inazidi kila nikicheki maisha yamekua magumu sana na nilitaka nipate mafao Ili nianzishe biashara vidogo vidogo
Sasa ombi langu kwa wale wazee wa michongo Mimi Nataka kuzitoa zile pesa kwa Njia yoyote mana haiwezekani wakae na pesa yangu alafu Mimi Sina mtaji Wala pankushika Sina
Kama unajua njia ya kuzichomoa huko basi njoo PM aisee tuone tunafanyaje
Nitafurahi kama nitapata msaada wakuu kwa wale watu wa madili aisee nisaidieni wakuu mana hii serikali ya Maza siielewi
Mimi nimefanya kama kibarua Ili nipate mtaji nianzishe maisha mengine alafu wanazishikilia pesa zangu kisa nimesoma yani sielewi alieleta kikokotoo alikua na maana Gani
Kama unaweza michongo njoo pm tuyajnge waungwana
Shukrani
Ukiacha mwenyewe imekula kwako mpaka ustaafu. Ukiachishwa ndiyo utalipwa 33.3% ya mshahara wakoHivi mfano mfanyakazi ameamua kuacha kazi na akaandika barua ikafika kwa muajiri nayeye akakubali, je huyu mtu alieacha kazi ataweza pata stahiki zake za NSSF/PSSF.?
Alilipwa shilingi ngapi katika HeLa hizo?Hapo ni changamoto ,nina mtu wangu hapa anakaribu mil 58 huko , kakosa cha kufanya kaambilia malipo ya miezi 6 tu .
Hicho kikokotoo shida
Hawezi kupata stahiki yoyote itabidi asubili hadi atakofika miaka ya uzee ya kustaafu 55-60 au aendelee kuchangia michango kwa hiari .Hivi mfano mfanyakazi ameamua kuacha kazi na akaandika barua ikafika kwa muajiri nayeye akakubali, je huyu mtu alieacha kazi ataweza pata stahiki zake za NSSF/PSSF.?
Mbona unanitisha? [emoji22][emoji22][emoji22]Wakuu habari zenu poleni na majukumu ndugu zangu
Mimi nilikua nafanya kazi katika kampuni ya ujenzi ya waturuki inaitwa Yapi merkez inayojenga reli ya SsSGR ambyo kwa Sasa Iko lot 3 kwa Sasa kazi imesimama na hakuna kinachoendelea Sasa sisi tulipimzishwa kuanzia mwezi wa kwanza kutokana na kampuni kupunguza matumizi na sababu nyingine
Mimi niliajiriwa kama kibaria tu upande wa survey baada ya kupambana kutumia elimu niliyonayo kupata kazi basi niliamua kujichanganya Ili nifanye kazi yoyote nipate mtaji
Sasa bhana baada ya kufika pale NSSF nikapewa form nikajaza Sasa nikajaza na elimu niliyokua nayo yani degree Baad ya mda kufika nikapewa laki 2 wakati nilikua nategemea zaidi ya milioni 4 kuwafata wakasema Mimi ni professional kwaio nalipwa kwa kikokotoo yani kwa jinsi walipiga hesabu zao basi nalipwa laki 2 kwa mwezi paka iiishe miezi 6 baada ya hapo kama hujapata kazi Tena unasubiri miezi 18 na kama Bado haujapata Tena kazi unaenda kuwaomba uwe unajichangia paka ufikishe miaka Yao wanayotaka
Sasa wakuu Mimi nimeshakaa miezi 6 imeisha na kazi sijapata na njaa inazidi kila nikicheki maisha yamekua magumu sana na nilitaka nipate mafao Ili nianzishe biashara vidogo vidogo
Sasa ombi langu kwa wale wazee wa michongo Mimi Nataka kuzitoa zile pesa kwa Njia yoyote mana haiwezekani wakae na pesa yangu alafu Mimi Sina mtaji Wala pankushika Sina
Kama unajua njia ya kuzichomoa huko basi njoo PM aisee tuone tunafanyaje
Nitafurahi kama nitapata msaada wakuu kwa wale watu wa madili aisee nisaidieni wakuu mana hii serikali ya Maza siielewi
Mimi nimefanya kama kibarua Ili nipate mtaji nianzishe maisha mengine alafu wanazishikilia pesa zangu kisa nimesoma yani sielewi alieleta kikokotoo alikua na maana Gani
Kama unaweza michongo njoo pm tuyajnge waungwana
Shukrani