Jinsi Ziwa Natron linavyoweza kuifanya Tanzania kuwa moja ya mataifa tajiri duniani

Jinsi Ziwa Natron linavyoweza kuifanya Tanzania kuwa moja ya mataifa tajiri duniani

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Ziwa Natron linalopatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania mkapani na Kenya lina chemical materials ambazo ni muhimu viwandani. Ziwa Natron lina sodium carbonate na baking soda zenye matumizi mbalimbali.

Kama umeangalia kwa makini mwendelezo katika nyanja za sayansi, teknolojia na uvumbuzi duniani utaona na kugundua kuwa moja ya kitu kinachosukuma mabadiliko hayo ni ubunifu wa betri zinazoweza kukaa kwa muda mrefu.

Kuanzia kwa drones, magari ya umeme, baiskeli na pikipiki za umeme, umeme wa nishati mbadala kama jua, laptop computers, cellphones, machine zinazoongozwa na Artificial Intelligence, nk. hizi zote zinasukumwa na maboresho na ubunifu wa betri zinazoweza kukaa muda mrefu na ambazo ni "rechargeable". Ziwa Natron lina kemikali zinazoweza kutumika katika utengenezaji wa betri hizo.

Kuna mahitaji ya glass/vioo kwa matumizi mbalimbali. Duniani kote matumizi ya vioo ni makubwa sana. Kuanzia kwenye utengenezaji wa madirisha, milango na kuta za majengo ya kisasa, vioo vya magari, treni na ndege, vioo vya furniture, vyombo vya jikoni, electronics, nk. matumizi na mahitaji ya vioo ni makubwa sana. Ziwa Natron lina kemikali zinazohitajika sana katika utengenezaji wa vioo.

Embu niambieni nini nisichojua kinachokwamisha Ziwa Natron lisitumike ipasavyo kukuza uchumi wa nchi.
 
Ila Cha kushangaza utasikia wanasayansi wetu wanataka kutengeneza Ndege na treni ya mwendokasi

Badala ya kutengeneza vitu vyenye tija Kwa Taifa kama hizo Betri

Hi nchi tumelogwa na aliyetuloga ameshakufa
 
Utafiti zaidi , Uwekezaji na Maamuzi.
Kinacho kwamisha naona ni Ujinga (Elimu).

Mfano Juzi umetokea moto huko Kalfonia, waafrika wengi wamekaa na kusema ule moto ameuwasha Mungu ili aiunguze Kalfonia kwa dhambi zao.

Sasa kwa akili hizi hatuwezi kufanya mabadiliko yoyote maana bado tunaishi kwenye zama za imani na Ujinga.

Raia wa California watakuja na kuzitumia rasilimali zinazopatikana ziwa Natroni na kuijenga Kalfonia yao upya na kuiacha afrika ikiwa hivi hivi (kama wanavyo chimba Almasi, Dhahabu na kupeleka kwao huku wakituachia mshimo)

Mwisho wa siku Afrika tutabaki hivi hivi na ujinga wetu.
 
Ila Cha kushangaza utasikia wanasayansi wetu wanataka kutengeneza Ndege na treni ya mwendokasi

Badala ya kutengeneza vitu vyenye tija Kwa Taifa kama hizo Betri

Hi nchi tumelogwa na aliyetuloga ameshakufa
Sahihi kabisa. Tungejikita kwenye maeneo ambayo yapo ndani ya uwezo wetu mbona tunatoboa.
 
Ziwa Natron linalopatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania mkapani na Kenya lina chemical materials ambazo ni muhimu viwandani. Ziwa Natron lina sodium carbonate na baking soda zenye matumizi mbalimbali.

Kama umeangalia kwa makini mwendelezo katika nyanja za sayansi, teknolojia na uvumbuzi duniani utaona na kugundua kuwa moja ya kitu kinachosukuma mabadiliko hayo ni ubunifu wa betri zinazoweza kukaa kwa muda mrefu.

Kuanzia kwa drones, magari ya umeme, baiskeli na pikipiki za umeme, umeme wa nishati mbadala kama jua, laptop computers, cellphones, machine zinazoongozwa na Artificial Intelligence, nk. hizi zote zinasukumwa na maboresho na ubunifu wa betri zinazoweza kukaa muda mrefu na ambazo ni "rechargeable". Ziwa Natron lina kemikali zinazoweza kutumika katika utengenezaji wa betri hizo.

Kuna mahitaji ya glass/vioo kwa matumizi mbalimbali. Duniani kote matumizi ya vioo ni makubwa sana. Kuanzia kwenye utengenezaji wa madirisha, milango na kuta za majengo ya kisasa, vioo vya magari, treni na ndege, vioo vya furniture, vyombo vya jikoni, electronics, nk. matumizi na mahitaji ya vioo ni makubwa sana. Ziwa Natron lina kemikali zinazohitajika sana katika utengenezaji wa vioo.

Embu niambieni nini nisichojua kinachokwamisha Ziwa Natron lisitumike ipasavyo kukuza uchumi wa nchi.
SERIKALI HAIWAZI HAYA MAMBO.

WEWE UNACHOANDIKA NA MAWAZO YA SERIKALI HAVIPATANI.
 
Ziwa Natron linalopatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania mkapani na Kenya lina chemical materials ambazo ni muhimu viwandani. Ziwa Natron lina sodium carbonate na baking soda zenye matumizi mbalimbali.

Kama umeangalia kwa makini mwendelezo katika nyanja za sayansi, teknolojia na uvumbuzi duniani utaona na kugundua kuwa moja ya kitu kinachosukuma mabadiliko hayo ni ubunifu wa betri zinazoweza kukaa kwa muda mrefu.

Kuanzia kwa drones, magari ya umeme, baiskeli na pikipiki za umeme, umeme wa nishati mbadala kama jua, laptop computers, cellphones, machine zinazoongozwa na Artificial Intelligence, nk. hizi zote zinasukumwa na maboresho na ubunifu wa betri zinazoweza kukaa muda mrefu na ambazo ni "rechargeable". Ziwa Natron lina kemikali zinazoweza kutumika katika utengenezaji wa betri hizo.

Kuna mahitaji ya glass/vioo kwa matumizi mbalimbali. Duniani kote matumizi ya vioo ni makubwa sana. Kuanzia kwenye utengenezaji wa madirisha, milango na kuta za majengo ya kisasa, vioo vya magari, treni na ndege, vioo vya furniture, vyombo vya jikoni, electronics, nk. matumizi na mahitaji ya vioo ni makubwa sana. Ziwa Natron lina kemikali zinazohitajika sana katika utengenezaji wa vioo.

Embu niambieni nini nisichojua kinachokwamisha Ziwa Natron lisitumike ipasavyo kukuza uchumi wa nchi.
Kama Jenista muhagama ni waziri wa Afya kweli hujui nini Tatizo😂😂
 
Ila Cha kushangaza utasikia wanasayansi wetu wanataka kutengeneza Ndege na treni ya mwendokasi

Badala ya kutengeneza vitu vyenye tija Kwa Taifa kama hizo Betri

Hi nchi tumelogwa na aliyetuloga ameshakufa
Nawe umeshaingia kingi kumwamini mleta uzi kwamba ziwa hilo litabadilisha uchumi wa nchi?!
Tatizo la Tanzania sio raslimali asili,tatizo letu tumezaliwa na mtindio wa ubongo! Hakuna mzima,na kama yupo naye hajitambui.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ziwa Natron linalopatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania mkapani na Kenya lina chemical materials ambazo ni muhimu viwandani. Ziwa Natron lina sodium carbonate na baking soda zenye matumizi mbalimbali.

Kama umeangalia kwa makini mwendelezo katika nyanja za sayansi, teknolojia na uvumbuzi duniani utaona na kugundua kuwa moja ya kitu kinachosukuma mabadiliko hayo ni ubunifu wa betri zinazoweza kukaa kwa muda mrefu.

Kuanzia kwa drones, magari ya umeme, baiskeli na pikipiki za umeme, umeme wa nishati mbadala kama jua, laptop computers, cellphones, machine zinazoongozwa na Artificial Intelligence, nk. hizi zote zinasukumwa na maboresho na ubunifu wa betri zinazoweza kukaa muda mrefu na ambazo ni "rechargeable". Ziwa Natron lina kemikali zinazoweza kutumika katika utengenezaji wa betri hizo.

Kuna mahitaji ya glass/vioo kwa matumizi mbalimbali. Duniani kote matumizi ya vioo ni makubwa sana. Kuanzia kwenye utengenezaji wa madirisha, milango na kuta za majengo ya kisasa, vioo vya magari, treni na ndege, vioo vya furniture, vyombo vya jikoni, electronics, nk. matumizi na mahitaji ya vioo ni makubwa sana. Ziwa Natron lina kemikali zinazohitajika sana katika utengenezaji wa vioo.

Embu niambieni nini nisichojua kinachokwamisha Ziwa Natron lisitumike ipasavyo kukuza uchumi wa nchi.

Kinachokwamidha ni CCM.

Wamefanya hivyo pia kwa Mchuchuma na Liganga.
 
Back
Top Bottom