DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Lakini huko huko Korogwe huwaambii kitu kuhusu CCM. Nini nataka kusema hapa? Tumewarahisishia kazi viongozi wetu kutufanyia watakacho. Kwahivyo shida imeanzia kwetu
Ishia hapo hapo. Korogwe sio CCM kamwe. Walio kuwa Madarakani (marehemu mkurugenzi) walikataa kupokea fomu ya mgombea wetu bi Aminata Saguti, hata huyo chaguo la CCM hakuchukuliwa. Aliokotwa mtu jalalani ndio kasimikwa.
 
Kijiografia ziwa Tanganyika linakiwango kidogo cha chumvi, kwa sababu limepakana na maeneo yenye madini chumvi.... Mvua ikinyesha uvinza moja kwa moja maji yake uelekea ziwa Tanganyika, sasa chumvi inakosaje??????
Umewahi kufika Uvinza?.Nina maana yangu Kukuuliza hivyo.
 
Kwa nini mradi wa maji Tabora - Nzega walichukua ziwa Victoria badala ya ziwa Tanganyika, wakati ziwa Tanganyika lipo karibu na Tabora kuliko ziwa Victoria?

Na ninasikia mpango ni kufikisha maji ya Ziwa Victoria Dodoma.
Nadhani walitaka kunufaisha mikoa mingi zaidi,km Shinyanga,Simiyu,Tabora,n.k.
 
Outlet inaitwa mto lukuga ipo kongo katika mji wa kalemie..sio zambia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu acha tununue ndege kwanza,, ujue ndege ni muhimu sana kuliko kitu chochote,, wapinzania mlitusema sana enzi za jk,, tunahitaji ndege nyingi[emoji847][emoji847]
Priority; priority; priority! Maendeleo ya vitu vs maendeleo ya watu.
 
Nikiwa Rais kipaumbele changu miundo mbinu, maji, barabara umeme hospital shule reli, meli.
Kisha kilimo lazima kiwe cha kumwagilia,, kuhusu umeme tuzalishe Dekawatt 1000.. sio mambo ya MW 3000
Duh mambo ya TW tutaweza kwa kutumia hydro na hata kama itawezekana uwekezaji wake ni mkubwa sana. Embu angalia kwenye hizi MW tu bado finance inasumbua!
Pamoja na weaknesses zake, mwendazake alikuwa anapiga hatua kubwa kwenye swala la miundo mbinu. Naona utataka kufuata legacy yake ukiwa rais
 
Kama Ziwa lingekuwa letu pekeyetu ingekuwa poa, lakini Burundi,Drc,Zambia nao wamo.
Ziwa Victoria sio letu peke yetu, Ila mbona maji yake ndio yanatumika mikoa ya Kanda ya ziwa?
 
Alafu kuna yule punda milia analeta kauzi kake eti oooh tuombe mungu mvua zinyeshe ili mgao wa maji na umeme uishe

Popote ulipo nakupa middle funger
 
Mkuu nachanganyikiwa hapo kwenye height na length ya ziwa. Nilihisi ni kitu kimoja ila naona vipo tofauti. Msaada kwa hili.

Red Giant

dudus
Sawa. Length ni umbali (urefu) toka kaskazini Burundi linakoanzia ziwa hadi kusini nchini Zambia, ni mbali sana! Angalia kwenye ramani.

Height ni kina au kimo (toka juu hadi chini kilindini au chini hadi juu), ambapo Width (upana) ni kutoka upande mmoja wa ziwa kwenda mwingine kwa kukatisha, si kufuata urefu wa ziwa.
 
Kama wenzetu wameweza jenga pipe la mafuta toka urusi mpaka germany, tunashindwa kujenga pipe la maji kupeleka mikoa ya pwani? Sometimes hatuhitaji misaada ya hela( hazitumiki ipasavyo, tungeomba msaada wa kujenga pipe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…