DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.

Uzi wa maana sana huu mkuu. Shukran nyingi kwa kuuanzisha.

Hata michango ya wadau inathibitisha kuwa Watanzania wengi ni watu wenye akili na uwezo mzuri wa kufikiri . Si kama watawala wanavyopenda kutuaminisha kwamba tutegemee mawazo ya mtu mmoja tu eti “mwenye maono na ambaye hutokea mara moja kwa karne”! Hii sio nchi ya kupata shida ya maji. Ni aibu na fedheha kubwa.
 
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Kusema ni rahisi Sana ila sasa utekelezaji ndio tatizo
 
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Ubarikiwe Sana kututoa ujinga.
 
Kijiografia ziwa Tanganyika linakiwango kidogo cha chumvi, kwa sababu limepakana na maeneo yenye madini chumvi.... Mvua ikinyesha uvinza moja kwa moja maji yake uelekea ziwa Tanganyika, sasa chumvi inakosaje??????
 
Kwa nini mradi wa maji Tabora - Nzega walichukua ziwa Victoria badala ya ziwa Tanganyika, wakati ziwa Tanganyika lipo karibu na Tabora kuliko ziwa Victoria?

Na ninasikia mpango ni kufikisha maji ya Ziwa Victoria Dodoma.
 
Kijiografia ziwa Tanganyika linakiwango kidogo cha chumvi, kwa sababu limepakana na maeneo yenye madini chumvi.... Mvua ikinyesha uvinza moja kwa moja maji yake uelekea ziwa Tanganyika, sasa chumvi inakosaje??????
Mkuu hivi unahisi ziwa tanganyika lipo kigoma tu?
 
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Tatizo kubwa ninaloliona hapa ni ukosefu wa mipira ya kuvuta maji toka ziwa Tanganyika , kuleta mikoa mingine ili maji yatumike kwa kilimo cha umwagiliaji badala ya kutegemea mvua,, plastic za kutengenezea mabomba ni adimu sana
 
Hatujawahi kuwa na upungufu wa maji bali tuna upungufu wa akili! Hilo ndio tatizo letu la msingi.
Mkuu acha tununue ndege kwanza,, ujue ndege ni muhimu sana kuliko kitu chochote,, wapinzania mlitusema sana enzi za jk,, tunahitaji ndege nyingi[emoji847][emoji847]
 
Kuna vitu mkuu ukijiuliza na kutathmini umri wa taifa letu unabaki kuguna bhasi tu. Kwa miaka yote hii utoaji wa huduma muhimu za kijamii kama maji, elimu, umeme bado ni kizungumkuti. Labda tumelaaniwa bila kujijua!
Nikiwa Rais kipaumbele changu miundo mbinu, maji, barabara umeme hospital shule reli, meli.
Kisha kilimo lazima kiwe cha kumwagilia,, kuhusu umeme tuzalishe Dekawatt 1000.. sio mambo ya MW 3000
 
Tatizo kubwa ninaloliona hapa ni ukosefu wa mipira ya kuvuta maji toka ziwa Tanganyika , kuleta mikoa mingine ili maji yatumike kwa kilimo cha umwagiliaji badala ya kutegemea mvua,, plastic za kutengenezea mabomba ni adimu sana
Ni nia tu mkuu, na usafirishaji mkubwa hivyo hufanywa na mabomba makubwa ya chuma. Wanapump kwenye mabomba na sehemu nyingine yanashuka kwa gravity kwenye mifereji. Chuma cha kuunda hayo mabomba na pump zake tunacho. Watu wanapump mafuta toka Dar hadi huko Ndola, yanapita milimani juu kabisa. Ni nia tu.
 
Nikiwa Rais kipaumbele changu miundo mbinu, maji, barabara umeme hospital shule reli, meli.
Kisha kilimo lazima kiwe cha kumwagilia,, kuhusu umeme tuzalishe Gigawatt 1000.. sio mambo ya MW 3000

GWh au TWh
 
Back
Top Bottom