MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Tunatia aibu. CCM wanaaibisha nchi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kusikia kipimo kinaitwa kilometa za ujazo!Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Ujazo=volume=kina x urefu x upana.Sijawahi kusikia kipimo kinaitwa kilometa za ujazo!
Na mimi nahisi tu,Sina uhakika.Kwamba Maji ya mto ruvu yanatoka baharini kwenye lower level yanarudi nchi Kavu kwenye higher level?
Hapo umenena kweli, kikwazo kikubwa cha maendeleo yetu ni sisi wenyewe. Ina maana siri ya kuendelea au kukwama iko kwetu wenyewe, hususan kwa wenye dhamana ya kutuongoza!
Ulifaulu sanaNilipata D ya Hisabati CSE.
Maji ya ziwa Victoria yakifika mpaka Dodoma si ndo maji yatapunguaKatika maziwa yote nchini, Victoria linaongoza kwa kunyonywa, mpaka limelala aisee![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa kwa ufafanuzi huu, si bora tungekukabidhi tu Wizara ya Maji na Umwagiliaji ili utufanyie maajabu!Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
usimsumbue Mungu ...unamuomba akupe akili zipi?Hii imekaa kitaalamu,hatuna akili,hatuna ubunifu,hatuna nia ya kutoka tulipokwama kila siku tuko palepale
hatuwezi kabisa kutumia rasilimali tulizobarikiwa....hili ziwa lingekuwa uswiss huko lingekuwa na manufaa makubwa sana kwa waswiss.
Ziwa Tanganyika unaambiwa tangu kuumbwa kwake walishavua asilimia 2 tu ya samaki wote waliohai ingekuwa huko mbele hili ziwa lingekuwa na faida kubwa sana kwa nchi,cha ajabu hata waishio jirani na ziwa hili hukosa maji mabombani,tumuombe Mungu atupe akili ya kuziona fursa na kuzitumia Amiin.
Ukimpa Wizara mtu kama huyu hawezi fanya lolote atabakiwa kuchanganyikiwa tuSasa kwa ufafanuzi huu, si bora tungekukabidhi tu Wizara ya Maji na Umwagiliaji ili utufanyie maajabu!
Uchambuzi umekwenda shule mpaka basi. Ningekuwa mimi ndiyo Rais wa Nchi hii, watu kama nyinyi mngepata shida sana! Maana ningezitumia akili zenu kwa manufaa ya Taifa, mpaka basi.
[emoji2][emoji2][emoji2]"Nyasa lina lita 8,500" ?
Hili ni ziwa au tank la maji lililo nyumbani kwa mtu?
Lakini pia wanaposema upungufu wa maji wanamaanisha kwenye vyanzo ambavyo wao ndio wameweka miundombinu.
Ikitokea mvua isinyeshe kwa muda mrefu watalazmika kujenga miundimbinu mipya kwenye vyanzo vingine
Nani kakudanganya! Maji ya Ziwa Tanganyika ni Fresh unaweza hata kunywa.Ziwa Tanganyika lina majichumvi na hili ndo tunaona gharama kubadili maji yake kuwa matamu.
unatuabisha mkuuSio Bahari ya Hindi kweli?.
vi delta vidogo vidogo kutoka milima ya uluguruhivi chanzo cha mto ruvu ni wapi?
Amesema Kilomita za ujazo! Na sio Lita, soma vyema andiko lake."Nyasa lina lita 8,500" ?
Hili ni ziwa au tank la maji lililo nyumbani kwa mtu?
Lakini pia wanaposema upungufu wa maji wanamaanisha kwenye vyanzo ambavyo wao ndio wameweka miundombinu.
Ikitokea mvua isinyeshe kwa muda mrefu watalazmika kujenga miundimbinu mipya kwenye vyanzo vingine
Hujawahi pokea Ankara ya maji kwa "meter cubic"? Uwingi unaongezeka kutokana na ukubwa wa kitu kinachopimwa na hasa ujazo. Ingekiwa maji ya kwenye ndoo ungetumia vipimo vidogo.Hapo kwenye kilomita za ujazo naona kama hapako sawa. Ninavyofahamu mimi kilomita ni kipimo cha urefu na siyo ujazo.
Hesabu zilikuwa zinanipiga chenga. Kidato cha nne nusura nipate F. Lakini nikaambulia D.Hujawahi pokea Ankara ya maji kwa "meter cubic"? Uwingi unaongezeka kutokana na ukubwa wa kitu kinachopimwa na hasa ujazo. Ingekiwa maji ya kwenye ndoo ungetumia
We ni muongo watu tumezaliwa kigoma maji ya ziwa TANGANYIKA sio ya chumvi acha ujuaji wako ng'ombe wewe.Kwa nini mradi wa maji Tabora - Nzega walichukua ziwa Victoria badala ya ziwa Tanganyika, wakati ziwa Tanganyika lipo karibu na Tabora kuliko ziwa Victoria?
Na ninasikia mpango ni kufikisha maji ya Ziwa Victoria Dodoma.
Ziwa Victoria ni kubwa kuliko Ziwa tanganyika. Hizi data umezitoa wapi? Na hizo units ulizozitaja hapa ziko kwenye vipimo gani, vya nini?Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
www.visualcapitalist.com
geojango.com