DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sijawahi kusikia kipimo kinaitwa kilometa za ujazo!
 
Hapo umenena kweli, kikwazo kikubwa cha maendeleo yetu ni sisi wenyewe. Ina maana siri ya kuendelea au kukwama iko kwetu wenyewe, hususan kwa wenye dhamana ya kutuongoza!

Viongozi ndiyo wabinafsi ,wanajiangalia wao tu na si wananchi,miradi wanayoifanya ya kuzima moto ni kwasababu wanapiga 20%.

Hawana plan.
 
Sasa kwa ufafanuzi huu, si bora tungekukabidhi tu Wizara ya Maji na Umwagiliaji ili utufanyie maajabu!

Uchambuzi umekwenda shule mpaka basi. Ningekuwa mimi ndiyo Rais wa Nchi hii, watu kama nyinyi mngepata shida sana! Maana ningezitumia akili zenu kwa manufaa ya Taifa, mpaka basi.
 
usimsumbue Mungu ...unamuomba akupe akili zipi?
 
Ukimpa Wizara mtu kama huyu hawezi fanya lolote atabakiwa kuchanganyikiwa tu
 
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ukitaka kujua tofauti ya maji Ziwa Victoria na Tanganyika, Chukua product hizo mbili uonje utapata majibu. Japo yote mnaita maji baridiiiiiiii


 
Amesema Kilomita za ujazo! Na sio Lita, soma vyema andiko lake.
 
Hapo kwenye kilomita za ujazo naona kama hapako sawa. Ninavyofahamu mimi kilomita ni kipimo cha urefu na siyo ujazo.
Hujawahi pokea Ankara ya maji kwa "meter cubic"? Uwingi unaongezeka kutokana na ukubwa wa kitu kinachopimwa na hasa ujazo. Ingekiwa maji ya kwenye ndoo ungetumia vipimo vidogo.
 
Hujawahi pokea Ankara ya maji kwa "meter cubic"? Uwingi unaongezeka kutokana na ukubwa wa kitu kinachopimwa na hasa ujazo. Ingekiwa maji ya kwenye ndoo ungetumia
Hesabu zilikuwa zinanipiga chenga. Kidato cha nne nusura nipate F. Lakini nikaambulia D.
 
Kwa nini mradi wa maji Tabora - Nzega walichukua ziwa Victoria badala ya ziwa Tanganyika, wakati ziwa Tanganyika lipo karibu na Tabora kuliko ziwa Victoria?

Na ninasikia mpango ni kufikisha maji ya Ziwa Victoria Dodoma.
We ni muongo watu tumezaliwa kigoma maji ya ziwa TANGANYIKA sio ya chumvi acha ujuaji wako ng'ombe wewe.
 
Ni ajabu nchi kama hii Ina maziwa makubwa Tanganyika, Nyasa, Victoria, Rukwa...na mito mikubwa kama Ruvu, Rufiji,Ruvuma, ugalla nk...eti ni Masikini na raia zake hawapati maji safi na salama! Yaani mtu anaweza kuona hii nchi ni ya mataahira!
 
Ziwa Victoria ni kubwa kuliko Ziwa tanganyika. Hizi data umezitoa wapi? Na hizo units ulizozitaja hapa ziko kwenye vipimo gani, vya nini?
Angalia hapa:



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…