Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine wenzetu was CCM wanamaanisha yale maji yetu yale....otherwise hawatutendei haki. Malagarasi kachimba 70m tu anapata maji safi, ila kuna vijiji kibao havina maji.Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Ccm hao, wanawaza kuiba chaguzi tuHatuna matumizi mazuri ya akili zetu
hiyo ni LUGHA ya tafsida kma utakuwa umemsoma kwa jicho la tatu utaelewa ni alikuwa anamaanisha kufikishaSawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Sawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazi 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Nabii Sulemani alimwomba Mungu hekima na maarifa ya kuwaongoza watu wake!Kabisa, badala ya kufunga kumuomba Mungu mvua, tufunge tumuombe akili ya kuweza kutumia rasilimali tulizonazo.
Hebu ita Uber nakupm location yangu uje nikupe dada yangu m'moja uwe shemeji yangu usijali ndoa nitagharamia. Lakini pia agiza mdudu na beer ule kabisa na kunywa muamala nakutumia.Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Ziwa lina kilomita za ujazo 18900, na tunamiliki 46% kwa kila mtanzania kutumia lita 100 kwa siku tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 tu kwa mwaka. Pamoja na hayo, kuna mikataba juu ya matumizi ya maji yanayomilikiwa na nchi zaidi ya moja.Kama Ziwa lingekuwa letu pekeyetu ingekuwa poa lakini Burundi,Drc,Zambia nao wamo.
Pamoja na hayo,sio kweli.Nadhani anamaanisha matumizi kwa ujumla sio kunywa tuu.
Ah wapi, kuna vitu vya Kutumia tafsida lkn sio maji Mkuu.Tafsida hutumika kupunguza ukali wa maneno, mfano badala ya kusema " Mboo"kwa kutumia tafsida Utasema"Uume"hiyo ni LUGHA ya tafsida kma utakuwa umemsoma kwa jicho la tatu utaelewa ni alikuwa anamaanisha kufikisha
Wana utalaamu gani ?Kwa hiyo unabishana na wataalamu wa DAWASA?
Maji yatolewe??,Ili yapelekwe wapi sasa??kwa kuwakumbusha tu pia TANGANYIKA ndio ziwa pekee samaki wanakufa kwa uzee na kuna samaki humo tangu kuumbwa dunia wanaishi humo
na inahitajika MAARIFA ya ziada kuyatoa maji humo
hilo ZIWA lina mambo makubwa si mchezo
na tenda hiyo labda apewe MCHINA