komunisti
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 1,173
- 1,654
Sio maji chumvi mkuuZiwa Tanganyika lina majichumvi na hili ndo tunaona gharama kubadili maji yake kuwa matamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio maji chumvi mkuuZiwa Tanganyika lina majichumvi na hili ndo tunaona gharama kubadili maji yake kuwa matamu.
Amesema kunywa. Hajasema matumizi hayo uliyoyaorodhesha, au k-vant at work?Umeambiwa kutumia
Matumizi yanaweza kuwa
Kunywa
Kuoga
Kufua
Na mengineyo
Kwa siku ndio hizo lita 100
Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
Hebu soma tena vyanzo vyako upangilie vizuri wakilisho lako hili. Kuna vipimo/SI Unit vinakinzana. Au ung'eng'e umekupiga chenga uliko-copy & paste [emoji1][emoji1]Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Sibora tunge mpa KAZI ya kutusambazia maji kutoka ziwa Tanganyika mchina tuliyempata akichepusha maji sijui ya ruvu vile angeweza kuyatoa ziwani Tanganyika Hadi mtera, nyumba ya mungu hadi kidatu na mashine zake za kuchepusha maji🏃.Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo,
Hapo kwenye kilomita za ujazo naona kama hapako sawa. Ninavyofahamu mimi kilomita ni kipimo cha urefu na siyo ujazo.Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Atajua mwenyewe huyo mwana sgang, hata kama angesema maili za ujazo.Hapo kwenye kilomita za ujazo naona kama hapako sawa. Ninavyofahamu mimi kilomita ni kipimo cha urefu na siyo ujazo.
Ziwa Tanganyika lina majichumvi na hili ndo tunaona gharama kubadili maji yake kuwa matamu.
Wewe una shida kichwaniZiwa Tanganyika lina majichumvi na hili ndo tunaona gharama kubadili maji yake kuwa matamu.
mtera, n.k?Maji yatolewe??,Ili yapelekwe wapi sasa??
Anaweza kuimaanisha wastani wa matumizi kwa siku.Sawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Sawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Hiyo amejumlisha hadi hesabu ya Mama ya lita 40 za ng'ombe za wafugajiSawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Hata upungufu wa akili nao sidhani, mimi nadhani tunakosa utu, uzalendo na kujaliana. Tunapenda kufaidi na kunemeka ktk hali ya ubinafsi zaidi!Hatujawahi kuwa na upungufu wa maji bali tuna upungufu wa akili! Hilo ndio tatizo letu la msingi.
Hahaha amesema hivyo ili kukufanya uelewe kwa urahisi mkuu, haimaanishi kama kwa siku binadamu anaconsume.Sawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Takwimu iliyonishangaza ni hii ya nyasa kulizidi victoria karibia mara tatu na ushee!Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza
Anamaanisha kutumia: kuanzia kunawa, kuoga, kutawadhia chooni, kunywa, kufua na kuoshea vyombo anavyotumia.Sawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Duu!Chochote kinachopima urefu jua hata eneo na ujazo kinapima. Hujawahi kutana na hatua za ujazo😀😀