DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Kaka tulivyo wavivu. Wapenda vya urahisi. Hodari kwa visingizio. Hatuwezi fanyia kazi hili. Labda tutawaliwe tena!
 
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
I salute you bro Red Giant
 
Kwa hiyo mtoto anatumia lita mia moja kwa Siku??.Hivi kwa familia yenye watu kumi kwamba watatumia lita 1000???.
Dah! Mkuu mbona hesabu ndogo inakutisha hii?

Lita 1000 ndiyo unit moja ama pipa 5!

Sasa, pipa 5 za maji kwa matumizi ya kawaida kwa kujinafasi hapo nyumbani kwako unaziona ni nyingi sana?

Tusiende mbali, embu tueleze wewe, matumizi yako nyumbani kuanzia kunawa, kuoga mabafuni na matumizi kuflash vyooni, kupikia, kufua, kumwagilia bustani na kunywesha mifugo ya nyumbani unatumia kiasi gani na kwa mwezi mzima unatumia unit ngapi ili tuweze calculate!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.

Mkuu ni kweli ,juzi nilisema hapa TZ hatuna shida ya maji wala umeme maana tuna sources za kutosha sana za umeme na maji,tatizo ni kipaumbele cha watu waliopora madaraka,wanajiangalia wao tu bila kujali maslahi mapana na wananchi na vizazi vijavyo.

Wao wanangalia kutumia mabilioni kwenye kununua V8 ,kujijengea majumba ya kuishi wao officers ,kuishi kiflamboyant tu ,wao wanawaza kupiga madeal tu.

Tuwe na mpango ya muda mrefu ya kusambaza umeme na maji nchi nzima kwa kutumia resources za kutosha ambazo mungu ametupatia....Tuna Gesi Mtwara ,tuna makaa ya mawe ya kutosha mchuchuma/liganga ,tuna upepo wa kutosha singida ,tuna uranium sehemu nyingi sana TZ mf Namtumbo,tuna jua la kutosha sana nchi nyingine jua hawalioni ,tukitumia tu Nuclear Reactor kugenerate Umeme tungeweza kuzalisha MW za kutosha kutuwezesha kufunga umeme hadi kwenye mbuga za wanyama huko porini.

Ukija kwenye maji hapa sisemi kitu ushamaliza.
 
Kwa vyanzo vya majitulivyojaliwa na Mwenyezi Mungu(mito, maziwa, etc.), tatizo LA maji kwa matumizi yote ingelikuwa historia. Maji ya kunywa na kilimo yapo ya kutosho. Lakini utakuta kiongozi mtu mzima analilia mvua. Huko Israel, Misri, etc. waseme nini?

Tatizo kubwa wataalamu wa nchi hii ni wanasiasi, watendaji hutekeleza mawazo yao tu ambayo Mara nyingi yana manufaa binafsi tu na siyo taifa.
 
katika victoria ### Katika ziwa Victoria.

Hata hivyo umetoa komenti iliyo irrelevant na uzi uliopo hapa[emoji1783][emoji1783]
Ukifuatilia vizuri utagundua ni relevant tena iko kimifano!achana na hiyo'katika'inakupotezea muda[emoji23]
 
"Nyasa lina lita 8,500" ?
Hili ni ziwa au tank la maji lililo nyumbani kwa mtu?

Lakini pia wanaposema upungufu wa maji wanamaanisha kwenye vyanzo ambavyo wao ndio wameweka miundombinu.

Ikitokea mvua isinyeshe kwa muda mrefu watalazmika kujenga miundimbinu mipya kwenye vyanzo vingine
Kilomita za ujazo mkuu
 
kwa kuwakumbusha tu pia TANGANYIKA ndio ziwa pekee samaki wanakufa kwa uzee na kuna samaki humo tangu kuumbwa dunia wanaishi humo
na inahitajika MAARIFA ya ziada kuyatoa maji humo
hilo ZIWA lina mambo makubwa si mchezo
na tenda hiyo labda apewe MCHINA
Halafu maji yamekuwa mengi mpaka yanakaribia fika livingstone, yaan limefloat
 
Dah! Mkuu mbona hesabu ndogo inakutisha hii?

Lita 1000 ndiyo unit moja ama pipa 5!

Sasa, pipa 5 za maji kwa matumizi ya kawaida kwa kujinafasi hapo nyumbani kwako unaziona ni nyingi sana?

Tusiende mbali, embu tueleze wewe, matumizi yako nyumbani kuanzia kunawa, kuoga mabafuni na matumizi kuflash vyooni, kupikia, kufua, kumwagilia bustani na kunywesha mifugo ya nyumbani unatumia kiasi gani na kwa mwezi mzima unatumia unit ngapi ili tuweze calculate!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unit 6 hadi 8
 
Sawa,lkn sikubaliani na usemi kwamba mtoto anaweza Kutumia maji lita mia moja kwa Siku.
Any ways tuseme lita100 ni dumu5 si ndiyo?

Kuna watoto wachafuzi wa mazingira, wacha!

Kuanza kumsafisha asubuhi, kumfulia nepkins zake na nguo za kumbadilishia kutwa nzima, kumuogesha nk, dumu tano sijui kama zitabakia, hiyo nimeisema kwa maxmum!

Kuna siku lazima jedwali la matumizi lishuke hadi dumu1 au 2 sikatai, maana siku zote hazilingani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom