DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

DOKEZO Jinsi ziwa Tanganyika lilivyo na maji mengi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni matumizi yote ya maji ya mtu kwa siku, kuoga, kufua, kuflash nk. Nafikiri hadi umwagiliaji.
Km ni pamoja na umwagiliaji hapo sawa;Lkn je watu wote wanafanya umwagiliaji?, Vipi watoto,nao wanatumia hizo lita mia moja kwa Siku??.
 
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Tanzania hatuna upungufu wa maji ni tatizo la watu wachache waliopewa mamlaka ya kuhamua mambo kukosa mipango madhubutu tu. Vile vile ziwa Tanganyika lina chumvi hivyo desalination haiwezi kukwepeka kitu ambacho hawataki kukisikia hili tuendelee kuteseka.
 
Tanzania hatuna upungufu wa maji ni tatizo la watu wachache waliopewa mamlaka ya kuhamua mambo kukosa mipango madhubutu tu. Vile vile ziwa Tanganyika lina chumvi hivyo desalination haiwezi kukwepeka kitu ambacho hawataki kukisikia hili tuendelee kuteseka.
yale maji yana chumvi kwa mbali sana ,tena ka mtu mwengine unaweza sema haya chumvi kabisa. kama umeishi Dodoma unasema maji ya ziwa Tanganyika hayana chumvi kabisa.
 
Ni matumizi yote ya maji ya mtu kwa siku, kuoga, kufua, kuflash nk. Nafikiri hadi umwagiliaji.
Hizo lita 100 ni nyingi sana labda kama unaongelea watu wa class zajuu! Kikawaida tunatarajia mtu atumie wastani wa lita 20-30 kwa siku!
 
Tanzania hatuna upungufu wa maji ni tatizo la watu wachache waliopewa mamlaka ya kuhamua mambo kukosa mipango madhubutu tu. Vile vile ziwa Tanganyika lina chumvi hivyo desalination haiwezi kukwepeka kitu ambacho hawataki kukisikia hili tuendelee kuteseka.
Sijui swala la chumvi maana linahesabika ni freshwater. Lakini PH yake ipo juu japo bado ipo kwenye viwango vinavyofaa kwa binadamu.
 
kwa kuwakumbusha tu pia TANGANYIKA ndio ziwa pekee samaki wanakufa kwa uzee na kuna samaki humo tangu kuumbwa dunia wanaishi humo
na inahitajika MAARIFA ya ziada kuyatoa maji humo
hilo ZIWA lina mambo makubwa si mchezo
na tenda hiyo labda apewe MCHINA
Mambo makubwa kama yapi mkuu?
 
Katika maziwa yote nchini, Victoria linaongoza kwa kunyonywa, mpaka limelala aisee
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
Daaaa nimecheka kama zuzu
 
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
"Nyasa lina lita 8,500" ?
Hili ni ziwa au tank la maji lililo nyumbani kwa mtu?

Lakini pia wanaposema upungufu wa maji wanamaanisha kwenye vyanzo ambavyo wao ndio wameweka miundombinu.

Ikitokea mvua isinyeshe kwa muda mrefu watalazmika kujenga miundimbinu mipya kwenye vyanzo vingine
 
Mkuu kwani ziwa Victoria n Nyasa hatujashare na nchi zingine?
Nadhani kuna mikataba ya Kimataifa inayohusu kutumia Maji mengi mathalan kugawa maji kwenye miji mikuu yote.
 
Kina cha maji kuwa kidogo katika victoria kumechangia upatikaji wa samaki kuwa rahisi kulinganisha na ziwa Tanganyika na Nyasa yenye kina kirefu.
katika victoria ### Katika ziwa Victoria.

Hata hivyo umetoa komenti iliyo irrelevant na uzi uliopo hapa[emoji1783][emoji1783]
 
Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.

Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.

Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.

Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.

Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.

Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Kwa siku tunakunywa lita 100 za maji [emoji1783][emoji1783][emoji1783]
 
Back
Top Bottom