Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Tuishi nayo hiyoHatujawahi kuwa na upungufu wa maji bali tuna upungufu wa akili! Hilo ndio tatizo letu la msingi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuishi nayo hiyoHatujawahi kuwa na upungufu wa maji bali tuna upungufu wa akili! Hilo ndio tatizo letu la msingi.
SijuiMaji yatolewe??,Ili yapelekwe wapi sasa??
Km ni pamoja na umwagiliaji hapo sawa;Lkn je watu wote wanafanya umwagiliaji?, Vipi watoto,nao wanatumia hizo lita mia moja kwa Siku??.Ni matumizi yote ya maji ya mtu kwa siku, kuoga, kufua, kuflash nk. Nafikiri hadi umwagiliaji.
Sawa MkuuMkuu ametolea mfano tu wa kimahesabu acha makasiriko na joto hili
Tanzania hatuna upungufu wa maji ni tatizo la watu wachache waliopewa mamlaka ya kuhamua mambo kukosa mipango madhubutu tu. Vile vile ziwa Tanganyika lina chumvi hivyo desalination haiwezi kukwepeka kitu ambacho hawataki kukisikia hili tuendelee kuteseka.Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
yale maji yana chumvi kwa mbali sana ,tena ka mtu mwengine unaweza sema haya chumvi kabisa. kama umeishi Dodoma unasema maji ya ziwa Tanganyika hayana chumvi kabisa.Tanzania hatuna upungufu wa maji ni tatizo la watu wachache waliopewa mamlaka ya kuhamua mambo kukosa mipango madhubutu tu. Vile vile ziwa Tanganyika lina chumvi hivyo desalination haiwezi kukwepeka kitu ambacho hawataki kukisikia hili tuendelee kuteseka.
Hizo lita 100 ni nyingi sana labda kama unaongelea watu wa class zajuu! Kikawaida tunatarajia mtu atumie wastani wa lita 20-30 kwa siku!Ni matumizi yote ya maji ya mtu kwa siku, kuoga, kufua, kuflash nk. Nafikiri hadi umwagiliaji.
Sijui swala la chumvi maana linahesabika ni freshwater. Lakini PH yake ipo juu japo bado ipo kwenye viwango vinavyofaa kwa binadamu.Tanzania hatuna upungufu wa maji ni tatizo la watu wachache waliopewa mamlaka ya kuhamua mambo kukosa mipango madhubutu tu. Vile vile ziwa Tanganyika lina chumvi hivyo desalination haiwezi kukwepeka kitu ambacho hawataki kukisikia hili tuendelee kuteseka.
Mkuu kwani ziwa Victoria na ziwa Nyasa hatujashare na nchi zingine?Kama Ziwa lingekuwa letu pekeyetu ingekuwa poa lakini Burundi,Drc,Zambia nao wamo.
Pa capita inambagua mtoto!?Km ni pamoja na umwagiliaji hapo sawa;Lkn je watu wote wanafanya umwagiliaji?, Vipi watoto,nao wanatumia hizo lita mia moja kwa Siku??.
Mambo makubwa kama yapi mkuu?kwa kuwakumbusha tu pia TANGANYIKA ndio ziwa pekee samaki wanakufa kwa uzee na kuna samaki humo tangu kuumbwa dunia wanaishi humo
na inahitajika MAARIFA ya ziada kuyatoa maji humo
hilo ZIWA lina mambo makubwa si mchezo
na tenda hiyo labda apewe MCHINA
Utaalamu wa maji na vyanzo vyake.
Daaaa nimecheka kama zuzuKatika maziwa yote nchini, Victoria linaongoza kwa kunyonywa, mpaka limelala aisee![]()
![]()
![]()
![]()
"Nyasa lina lita 8,500" ?Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Umeambiwa kutumiaSawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Nadhani kuna mikataba ya Kimataifa inayohusu kutumia Maji mengi mathalan kugawa maji kwenye miji mikuu yote.Mkuu kwani ziwa Victoria n Nyasa hatujashare na nchi zingine?
katika victoria ### Katika ziwa Victoria.Kina cha maji kuwa kidogo katika victoria kumechangia upatikaji wa samaki kuwa rahisi kulinganisha na ziwa Tanganyika na Nyasa yenye kina kirefu.
Kwa siku tunakunywa lita 100 za maji [emoji1783][emoji1783][emoji1783]Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.